Asante sana JPM!! Maono yako japo yalipigwa mawe lakini soon nchi inakwenda kupona!!
Kuna mbwa walisema eti umefyeka miti kitakuwa na ukame lakini leo nchi inaelemewa na mvua!!
Wakasema huo mradi utakuwa ni white elephant lakini leo hata CHAWA wa Wahuni uliowakataa wanaupigia chepuo mradi.
JPM pumzika Mzalendo wa kweli; ulisingiziwa mengi kuhusu watu kuuliwa, pumzika baba kwani hata Leo kafariki Ole Thadei, kama ungekuwepo wangesema ni wewe.
Pumzika jembe letu, tutakukumbuka kupitia utitiri wa miradi uliyoiacha!!
Ila jua tu kwamba hatuna tena miradi mipya, ila tunauza Mbuga na rasilimali zingine kwa wageni