Tanzania Kujeni Hapa... What are this? SGR update

Ahaaa haaa haaa
Siku zote napenda kuweka akiba ya maneno.
Wakati ukifika yoote yatakuwa bayana.
Kama ulivyoweka akiba ya maneno ukijisifu eti zisi isi the modan burreti traini in Afrika sivyo? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 umewasili leo Dara salama.
Hahahahaha, Tanzania sio Kenya, we are smart twice, can't do silly mistakes like you, andaa passport yako uje usafiri kwa bullet train, the first in Africa.
 
geza tuusan - I always told you guys will be disappointed at the final product. Kujisifu ndio zenu.
Hamsomi positives comment kutoka kwa msemaji wa serikali mnabaki kujiliza na madaraka express lenu humu hahaha my fren treni zetu haziwez kua kama yale masrepa yenu never ever
 
Hamsomi positives comment kutoka kwa msemaji wa serikali mnabaki kujiliza na madaraka express lenu humu hahaha my fren treni zetu haziwez kua kama yale masrepa yenu never ever
Haziwezi, ni mbovu zaidi.

Ona πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

 
Tazama vizuri hicho kichwa sio cha TRC bali ni mali ya mkandarasi anayejenga (Yapi Merkezi) kwa ajili ya kufanyia testing. Angalia logo pembeni. Treni za TRC zinanuliwa toka kwa OEMs through a separate tender process.
Wala usisumbuke, wanajua kila kitu wanachofanya ni kujipa matumaini ili waseme hata Tanzania nayo imefanya makosa kama wao
 
The truth is, GoT is smarter than Gikuyu government, hatupo sawa kabisa, hamuwezi kufanya makosa ya kijinga kama mnavyofanya ninyi. Andaa passport uje kupanda the first ever bullet train in Africa, acha kupoteza nguvu zako kupiga kelele.
Haziwezi, ni mbovu zaidi.

Ona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

 
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Pitia juu huko wenzako wameandika vizuri. Hata kuwa ina tu inakushinda? Halafu unaeingia jukwaa hili kubishana na Wakenya?!

Ahaaa haaa haaa
Hicho ndo pekee akili yako ilichoweza kukielewa?
HATA hizo sentensi zako ulizotumia kunikashifu zina makosa ya uandishi ya aina zote. Namaanisha katika sarufi, muundo, maudhui na herufi za maneno.
Mfano, sentensi iliyoandikwa kwa wino mzito wenye rangi nyekundu inamaanisha nini? Umeleta sentensi yenye muundo mbovu ambayo haileti maana.
Neno lingine ambalo wewe umekuwa miongoni mwa wengi wanaofanya makosa ni lile ambalo limeandikwa kwa wino mzito wa rangi buluu. Kwenye KAMUSI KUU YA KISWAHILI iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hakuna neno kama hilo. Neno utakalo likuta ni unayeingia na si unaeingia.
Maneno mengine ambayo mara nyingi huandikwa kimakosa ni kama ifuatavyo.
Ndio badala ya ndiyo
Sio badala ya siyo
Nae badala ya naye
Sie badala ya siye
Ndie badala ya ndiye
Alie badala ya aliye
Mwandiko badala ya muandiko
Mwandishi badala ya muandishi

Pia neno SWALA linachanganywa sana na neno SUALA.
Swala ni mnyama pori JAMII ya mbuzi. Lakini Suala ni jambo fulani.
Vivyo hivyo kuwa na kua.
Sasa katika uandishi mko wengi sana mnaoangukia kwenye mtego wa aina hii, yaani kuandika maneno yenye makosa.

.... orodha ni ndefu. Mpaka nachelea kusema napaswa kuanzisha uzi kuhusu muktadha huu.

Lastly, I can tell you. You can sometimes out perform the index. That is not because of your skill, but it's by chance.
This is an adage borrowed from behavioural finance.
 
Mojawapo wa sifa kubwa kwa Watanzania ni misifa hata kwa kitu hawana uwezo nacho, muda wote nilijua wataibuka na kituko kama hiki hivyo kwangu mimi sioni ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…