Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
nyie majamaa acheni roho mbaya sasaMtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 umewasili leo Dara salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie majamaa acheni roho mbaya sasaMtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 umewasili leo Dara salama.
Soma maelezo ukielewa nitag👇👇
View attachment 1091132 This is what the Chinese use for testing in the Kenyan SGRView attachment 1091137 This is the cargo locomotive that was delivered. The apple 🍎 does not fall far from the tree 🌳!!!!! Ni rangi tu watabadilisha 😂😂😂😂
Kama ya Kenya ni mtungi wa changaa basi huu ni mtungi wa kinyesi. 😂 😂 😂 😂
cc. Geza Ulole tuusan joto la jiwe REDEEMER. eliakeem
Kama ulivyoweka akiba ya maneno ukijisifu eti zisi isi the modan burreti traini in Afrika sivyo? 😂 😂 😂Ahaaa haaa haaa
Siku zote napenda kuweka akiba ya maneno.
Wakati ukifika yoote yatakuwa bayana.
Hahahahaha, Tanzania sio Kenya, we are smart twice, can't do silly mistakes like you, andaa passport yako uje usafiri kwa bullet train, the first in Africa.Mtungi wa gongo uliotengenezwa mwaka wa 1892 umewasili leo Dara salama.
Hamsomi positives comment kutoka kwa msemaji wa serikali mnabaki kujiliza na madaraka express lenu humu hahaha my fren treni zetu haziwez kua kama yale masrepa yenu never ever
Leo ndo Nimegundua kenyans wa jf wako na akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haziwezi, ni mbovu zaidi.Hamsomi positives comment kutoka kwa msemaji wa serikali mnabaki kujiliza na madaraka express lenu humu hahaha my fren treni zetu haziwez kua kama yale masrepa yenu never ever
Wala usisumbuke, wanajua kila kitu wanachofanya ni kujipa matumaini ili waseme hata Tanzania nayo imefanya makosa kama waoTazama vizuri hicho kichwa sio cha TRC bali ni mali ya mkandarasi anayejenga (Yapi Merkezi) kwa ajili ya kufanyia testing. Angalia logo pembeni. Treni za TRC zinanuliwa toka kwa OEMs through a separate tender process.
Itakuwa umeme wa Stigilaz Goji mkuu si ndiyo?Wana test mitambo.
Burret train zitakuja baada ya kuwekwa umeme.
Unausomi gani wewe kenge hadi ujikute as vitabuni?Kwa sababu wewe ni msomi na mimi pia ni msomi. Si rahisi kupatana na Mt.z aliyebobea kwenye vitabu.
Kifaa cha mkandarasi cha kazi icho treni zikija sitegemei kuwaona humu losersHaziwezi, ni mbovu zaidi.
Ona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haziwezi, ni mbovu zaidi.
Ona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe subiri hutawaona hawa daimaKifaa cha mkandarasi cha kazi icho treni zikija sitegemei kuwaona humu losers
Is that final product???
Kwa hivo kikiwa cha Yapi Merkezi ndio linaondoa facts zangu? Malenge
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Pitia juu huko wenzako wameandika vizuri. Hata kuwa ina tu inakushinda? Halafu unaeingia jukwaa hili kubishana na Wakenya?!