Tanzania kuna sehemu nzuri, ona hii hotel kisiwani, ziwa Tanganyika

Tanzania kuna sehemu nzuri, ona hii hotel kisiwani, ziwa Tanganyika

Kweli sana inaaminika hivyo, hata mimi niliwahi fika hapo tulikuwa na wenzangu kuna kazi tulikuwa tunafanya,
Basi katika mahijiano na meneja wa hotel hiyo tukamuuliza kama ni kweli mmiliki ni. Anorld akasema Hapana ila aliwahi kujaga hapo kutembea,
mmiliki wa hoteli hiyo ni mzungu na wazungu ndo wateja wa hoteli hiyo.,pia kuna kiwanja cha ndege ndogo hapo
Ni ngumu sana kuwabadilisha wenyeji wa Kigoma, Katavi na Sumbawanga kwamba hiyo Hotel siyo ya Swazinigga. Maana amekuwa akifika hapo Hotelini mara kadhaa na Last tym ilikua 2016. Pia inaaminika kwamba Misitu inayoonekana kwenye zile Movie zake pia ni ya huko Tongwe Forest Mpanda ambako alikuwa akija kurecord kazi zake na Hotel hiyo pia ilitumika sana kama Camping site wakati wa kurecord Kazi za Anold.
 
Ni ngumu sana kuwabadilisha wenyeji wa Kigoma, Katavi na Sumbawanga kwamba hiyo Hotel siyo ya Swazinigga. Maana amekuwa akifika hapo Hotelini mara kadhaa na Last tym ilikua 2016. Pia inaaminika kwamba Misitu inayoonekana kwenye zile Movie zake pia ni ya huko Tongwe Forest Mpanda ambako alikuwa akija kurecord kazi zake na Hotel hiyo pia ilitumika sana kama Camping site wakati wa kurecord Kazi za Anold.
Embu tuone hizo clip za hizo muvi zikionyesha hilo eneo
 

Attachments

  • IMG-20201024-WA0009.jpg
    IMG-20201024-WA0009.jpg
    53.1 KB · Views: 9
Kweli sana inaaminika hivyo, hata mimi niliwahi fika hapo tulikuwa na wenzangu kuna kazi tulikuwa tunafanya,
Basi katika mahijiano na meneja wa hotel hiyo tukamuuliza kama ni kweli mmiliki ni. Anorld akasema Hapana ila aliwahi kujaga hapo kutembea,
mmiliki wa hoteli hiyo ni mzungu na wazungu ndo wateja wa hoteli hiyo.,pia kuna kiwanja cha ndege ndogo hapo
 

Attachments

  • IMG-20201024-WA0009.jpg
    IMG-20201024-WA0009.jpg
    53.1 KB · Views: 8
Kweli sana inaaminika hivyo, hata mimi niliwahi fika hapo tulikuwa na wenzangu kuna kazi tulikuwa tunafanya,
Basi katika mahijiano na meneja wa hotel hiyo tukamuuliza kama ni kweli mmiliki ni. Anorld akasema Hapana ila aliwahi kujaga hapo kutembea,
mmiliki wa hoteli hiyo ni mzungu na wazungu ndo wateja wa hoteli hiyo.,pia kuna kiwanja cha ndege ndogo hapo
Tunaweza enda tena 😃😃
 
Ni ngumu sana kuwabadilisha wenyeji wa Kigoma, Katavi na Sumbawanga kwamba hiyo Hotel siyo ya Swazinigga. Maana amekuwa akifika hapo Hotelini mara kadhaa na Last tym ilikua 2016. Pia inaaminika kwamba Misitu inayoonekana kwenye zile Movie zake pia ni ya huko Tongwe Forest Mpanda ambako alikuwa akija kurecord kazi zake na Hotel hiyo pia ilitumika sana kama Camping site wakati wa kurecord Kazi za Anold.
2477640_2457376_JamiiForums-621070314.jpg
 
Panda gari hadi sumbawanga mjini, halafu upande gari za Kwenda kipili then upande boat 🛥 za kwenda huko kisiwani,
Ushampoteza nduguyo apande basi la Sumbawanga Majinja atafika huyo?ataishia S wanga
Toa ramani ya karibu kwa wanaotoka duniani sio hapo Bongo huyo we mpe ramani ya kwenda Kidimbwi beach au mikadi atakushkuru baadae huko kisiwani tuwekee mikakati tulete watu
 
Back
Top Bottom