Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.5m+ per day mkuu wewe tuHuku napeleka pisi kali soon [emoji3][emoji3]
Ipo Rukwa,Tarafa ya kirando kata ya kipili nandani iko sehemu ya kijiji kilichoko visiwa vya manda ulwileHii mbona haipo kigoma ipo mkoa wa rukwa au katav kama sijakosea
mkuu unaishi huko?Ipo Rukwa,Tarafa ya kirando kata ya kipili nandani iko sehemu ya kijiji kilichoko visiwa vya manda ulwile
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Dah umenikumbusha mbali sana aisee 😢😢😢, enzi za ujana wanguIpo Rukwa,Tarafa ya kirando kata ya kipili nandani iko sehemu ya kijiji kilichoko visiwa vya manda ulwile
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nimetoka kitambo kidogo,ila ni nyumbanimkuu unaishi huko?
Bushmamy unataka kusemaje kuhusu hilo danga lililokupeleka huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah umenikumbusha mbali sana aisee [emoji22][emoji22][emoji22], enzi za ujana wangu
Hapana Mkuu sinaga mambo ya madanga, kazi ndio iliyonifikisha mpaka hapoBushmamy unataka kusemaje kuhusu hilo danga lililokupeleka huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu wachawi,,🙄🙄 hapo sumbawanga,tutatoboa?Panda gari hadi sumbawanga mjini, halafu upande gari za Kwenda kipili then upande boat 🛥 za kwenda huko kisiwani,
Dah kiukweli hapo ndo penyewe, wenyeji wenyewe wanakuambia. Hapo ni balaa japo sikuwahi kukutana na shida yoyote hapoVipi kuhusu wachawi,,🙄🙄 hapo sumbawanga,tutatoboa?
😢 😢 😢 umenikumbusha enzi zangu naitwa Rasi 😢😢nilikuwa bado kijana mbichi kabisa hizo sehemu zote hapo napajua, good memories
Nyinyi wawili mmezoeana kwenye uzi wa Pisi kali akiwepo na anasbo. Naona mnatafuta chimbo sasa la kujichimbia alafu huyo anayesema huna hela anakosea sana.Wapemba wasema raha ya Nanga itoke na tope yakheeeeeeeeee.
vipi umesha kata nywele?😢
😢 😢 😢 umenikumbusha enzi zangu naitwa Rasi 😢😢nilikuwa bado kijana mbichi kabisa hizo sehemu zote hapo napajua, good memories
Ok, thanx, kumbe kuna lupita na lake shore