Tanzania kuna sheria inaruhusu au kukataza binadamu kumwita mwenzake KAFIRI?

Tanzania kuna sheria inaruhusu au kukataza binadamu kumwita mwenzake KAFIRI?

Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”
hili neno ni gumu sana, unajua kuna watu hakika wameasi na kumkana Mungu kiasi kwamba wameshaandikiwa kuwa ni watu wa motoni tu hata uwahubirie vipi unapoteza muda, wao wamejiandikisha ni watu wa motoni. hawa ndio wengi wanaoikataa injili ya kweli na kukimbilia imani za kuchinja watu. Mungu awasaidie.
 
hili neno ni gumu sana, unajua kuna watu hakika wameasi na kumkana Mungu kiasi kwamba wameshaandikiwa kuwa ni watu wa motoni tu hata uwahubirie vipi unapoteza muda, wao wamejiandikisha ni watu wa motoni. hawa ndio wengi wanaoikataa injili ya kweli na kukimbilia imani za kuchinja watu. Mungu awasaidie.
Kuna mambo ambayo unatakiwa uyafanye na kuna mambo ambayo hauwezi kuyabadalisha umeumbiwa nayo. Neno kafiri haliambatani na katika mambo uliyoumbwa nayo bali ni katika yale uliyotakiwa uyafanye na mengine uyaache.
Ikiwa wewe umezaliwa na kuwa mwafrika hilo jambo hauwezi kuwa kafiri kwa kuwa wewe ni mwafrika, lakini umeambiwa muabudu Mungu mmoja tu na Yesu kristo aliyemtuma, sasa ukimshirikisha kiumbe mwingine katika Uungu wa Mungu hapo ndipo utakuwa umekanusha ile amri ya kumuabudu Mungu mmoja na ujumbe wa Yesu utakuwa pia umeukanusha hivyo basi jina la KAFIRI litakuhusu.
 
Back
Top Bottom