Nimekupa jibu haulikubali nikujibu Nini Kama umechagua jibu sahihi kwako ni kile unachofikiria.Jibu suali kwanini biashara za waislamu na watu wa makabila mengine zinakufa.
Haiwezekani kuwa waislamu pekee ndio hawajui hiyo elimu ya masoko unayosema.
Iwapo waislamu hawajui elimu ya masoko kiasi hicho hiyo ni takwimu nyengine inayohitaji kuangaliwa na chanzo chawezekana ni katika ubaguzi wa utoaji elimu.Japo binafsi nashikilia pale pale kwenye njama maalum.Nimekupa jibu haulikubali nikujibu Nini Kama umechagua jibu sahihi kwako ni like unachofikiria.
Labda TendeWiki hii lazima bidhaa moja muhimu sana ipande bei,
Siendi popote ardhi ni ya Mungu siyo ya mtu wala taifa fulani!Kiufupi watu warudi kujenga makwao .
Tatizo utamaduni, mila na desturi.Iwapo waislamu hawajui elimu ya masoko kiasi hicho hiyo ni takwimu nyengine inayohitaji kuangaliwa na chanzo chawezekana ni katika ubaguzi wa utoaji elimu.Japo binafsi nashikilia pale pale kwenye njama maalum.
Hivi wewe jamaa unajua hauna akili?Toa sababu za kitafiti kuonesha kwanini biashara za waislamu katika kipindi cha miaka 10 iliyopita zinakufa kwa kasi na zile za wakristo hasa makabila fulani ndio zinapanda juu sana japo wameanzisha siku za karibuni tu.
Mkifa mnatumia sana gharama kusafirishwa, mimi binafsi nitakapokufa nizikwe hapo hapo .Siendi popote ardhi ni ya Mungu siyo ya mtu wala taifa fulani!
Nipo Dar nakimbizana na wazaramo walishanikatia kipande cha ardhi wakitaka tufukuzane tufukuzane kimaendeleo siyo eti kisa mimi siyo mzawa.
Vita iliyopo ni kati ya ccm na wapambe wake, na Taifa,Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.
Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.
TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.
Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.
Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.
Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.
Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
Jamaa ni mfanyakazi wa muarabu au muhindi aliyefilisiwa kwa kukwepa kodi hana analojua kuhusu biashara na sheria za kodi za biashara!yaani kwa jinsi ninavyokandwa na TRA na mimi mkristo, ukiniambia TRA inapendelea wakristo nakuona kama umetumwa na shetani. acha udini, tafuta pesa.
... UNAFIKI WA KULIITA KOLEO KIJIKO KIKUBWA UTALIANGAMIZA TAIFA HILI!Hii vita IPO kichwani mwako zaid
So upo hai leo lakini unaanza kugwaya gharama za kusafirishwa kwenu kwenda kuzikwa,kwa hiyo watu waogope kutoka makwao kwenda miji yenye fursa kisa wakifa wanasafirishwa kwa gharama kubwa?Mkifa mnatumia sana gharama kusafirishwa, mimi binafsi nitakapokufa nizikwe hapo hapo .
Kwetu fursa zipo kwa nn niende mbali? KIufupi sijaona kipya cha kuzunguka labda nje ya nchi.So upo hai leo lakini unaanza kugwaya gharama za kusafirishwa kwenu kwenda kuzikwa,kwa hiyo watu waogope kutoka makwao kwenda miji yenye fursa kisa wakifa wanasafirishwa kwa gharama kubwa?
Maiti inasafirishwa India mpaka Tanzania uje kuogopa 800klms za bongo?u must be kidding masta na hata nikifa sijisafirishi mimi watakaobaki ni jukumu lao na pia ni utaratibu upo umetumika kwa muda mrefu umeleta tija that's why huoni ukibadilishwa.
Hofu ya kisiasa hasa Uhakika was kushika dola ulimfanya Baba wa taifa afanye makosa Fulani makubwa Sana ambayo yanaligharimu Taifa Hadi leo!!Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo kutimia.Muda mfupi baadae nchi ikapata msiba mkubwa wa meli ya MV Bukoba kuzama.Vita ikashika kasi sana wakati wa Magufuli na bado inaendelea wakati wa Samia.
Vita hii wakati wa Magufuli na Samia inafanyika kwa ufanisi na kwa kuzubaisha kupitia mkono wa TRA.
TRA kwa muda mrefu ilikuwa ni kama idara ya kabila fulani la watu wa dini fulani.Kama kuna mfanyabiashara asiyekuwa wao wanataka kumfilisi na kuchukua nafasi yake,huwa mwenzao mmoja anafungua biashara kama ile mbele au jirani yake.
Baada ya hapo yule mfanyabiashara mkongwe anafuatwa na kubambikiwa kodi na kupigwa faini zisizokwisha mpaka anainua mikono juu.
Kupitia mawakali wa TRA wasio mwenzao, mfanyabiashara mkongwe anazushiwa madeni ya miaka iliyopita na kupigwa faini za mashine za EFD kwa makosa yale yale wanayofanya wafanyabiashara waliochomekwa kimkakati.
Hii vita ni vita ya kishetani na kwa sura ya nje inaweza kufanyika kwa vigezo vinavyoonesha ni halali.Kwa sababu vigezo na kanuni zote za TRA utaona kama ni sawa kwani vimo kwenye utendaji wao.
Kwa maana hiyo anayedhulumiwa wala hawezi kuhoji na kujitetea.Tatizo ni kuwa hicho kinachofanywa huwa kinafanyika kwa njama na dhidi ya watu fulani waliolengwa kufilisiwa ili kuwanyang'anya biashara zao na kuwadhalilisha kiuchumi.
Hiyo uliyobold ndhio sehemu ya kicwa cha habari.Hivi wewe jamaa unajua hauna akili?
Unajua hii mada nimetoka nayo huko juu naisoma nikawa natafuta content ya aliyeiandika ilikuwa ni nini nikakosa hapa ndiyo nimekuelewa,unataka kusema nini fafanua kwenye bold hapo.
mbona ka mlongo karibia mmoja kamishna general wa TRA wamekuwa waislam, wakuu wa TRA mikoani wengi sana waislam, tunawajua ni ndugu zetu na marafiki zetu, na rais wenu, na waziri wenu mkuu ni muislam. hivi kama icho kitu kingekuwepo si mngeshasema zamani? sidhani kama wakristo wanawabagua waislam kama ninyi mnavyotubagua sisi kuwa ni makafiri. tafuta pesa, acha kulalamika, ramadhan ijayo imekaribia utatoa miayo na malalamiko juu.Kama wewe ni mkristo itakuwa walikufikiria ni muislamu