Tanzania kuna vita ya kiuchumi isiyo rasmi kati ya dini na makabila

Tanzania kuna vita ya kiuchumi isiyo rasmi kati ya dini na makabila

mbona ka mlongo karibia mmoja kamishna general wa TRA wamekuwa waislam, wakuu wa TRA mikoani wengi sana waislam, tunawajua ni ndugu zetu na marafiki zetu, na rais wenu, na waziri wenu mkuu ni muislam. hivi kama icho kitu kingekuwepo si mngeshasema zamani? sidhani kama wakristo wanawabagua waislam kama ninyi mnavyotubagua sisi kuwa ni makafiri. tafuta pesa, acha kulalamika, ramadhan ijayo imekaribia utatoa miayo na malalamiko juu.
Hao waislamu unaosema wapo ni kama vivuli tu vya watu kujificha nyuma yao wakati wakitekeleza ajenda za kimkakati.Ni maarufu sana waislamu kukuta wapo sehemu lakini wakazubaishwa au kutokujiamini kuzuia ufisadi ulio karibu yao.Pengine ni kule kuamini sana kanuni za kazi zao huku wenzao wakizivunja waziwazi na mbele yao.
Hata mimi ninao ndugu ndani ya TRA lakini sijawahi kuwaona wakiwa na msaada wowote wa angalau kuzuia nisikandamizwe.
Ni mfano kama kile kinachotokea Gaza.Sasa kitakachosaidia ni kupata viongozi wa juu hata kama si waislamu au wa makabila yale ambao watakuwa ni waadilifu katika kazi zao.
 
Hao waislamu unaosema wapo ni kama vivuli tu vya watu kujificha nyuma yao wakati wakitekeleza ajenda za kimkakati.Ni maarufu sana waislamu kukuta wapo sehemu lakini wakazubaishwa au kutokujiamini kuzuia ufisadi ulio karibu yao.Pengine ni kule kuamini sana kanuni za kazi zao huku wenzao wakizivunja waziwazi na mbele yao.
Hata mimi ninao ndugu ndani ya TRA lakini sijawahi kuwaona wakiwa na msaada wowote wa angalau kuzuia nisikandamizwe.
Ni mfano kama kile kinachotokea Gaza.Sasa kitakachosaidia ni kupata viongozi wa juu hata kama si waislamu au wa makabila yale ambao watakuwa ni waadilifu katika kazi zao.
kwahiyo na samia na pm ni vivuli tu, ulitaka wawepo al shabab au boko haram ndio uridhike? ninyi hata mkipewa nchi yote mtalalamika tu kwasababu mmeumbiwa kulalamika na kulaumu. mkipewa madaraka yote mtalalamika kwamba mbona wakristo wapo hai, mtataka muwauwe wote ili mridhike.
 
kwahiyo na samia na pm ni vivuli tu, ulitaka wawepo al shabab au boko haram ndio uridhike? ninyi hata mkipewa nchi yote mtalalamika tu kwasababu mmeumbiwa kulalamika na kulaumu. mkipewa madaraka yote mtalalamika kwamba mbona wakristo wapo hai, mtataka muwauwe wote ili mridhike.
Alshabab na bokoharam ni wenzenu nyinyi hao.Wanaotakiwa hata wawe wakristo wasiwe mawakala wa madhalimu.
 
Back
Top Bottom