aye
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 2,102
- 709
Isije ikawa kama mv dar lakini
ivi iliishiaga wapi maana kimya hadi leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isije ikawa kama mv dar lakini
Kama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!
Duh....Kweli sie ni hamnazo..
Wakati IRAN inanunua ndege 150 za Airbus zenye kubeba abira kuanzia +150 sie tunahangaika na vidaladala..
Mkuu unataka kuniambia wakati huo Tanzania inamiliki Boeing watu wa uchumi wa kati walikuwepo wa kutosha ??? Kama iliwezekana wakati wa Nyerere ndio tushindwe sasa hiviJamani jamani...Biashara ya Ndege ni ngumu sana...Hao KQ wenyewe wana survive kwa sababu wana ndege nyingi....Precision wanapumulia mashine
Hii biashara inahitaji watu wengi wenye uchumi wa kati...wanaoweza ku afford....kama economy haina hao watu...usitegemee kusafirisha watu wa nchi za wenzako...........
Je...Tanzania ina hao watu wa kuwezesha shirika letu li survive?
Mkuu unataka kuniambia wakati huo Tanzania inamiliki Boeing watu wa uchumi wa kati walikuwepo wa kutosha ??? Kama iliwezekana wakati wa Nyerere ndio tushindwe sasa hivi
Fastjet ibakie ili ATC wasitoze nauli kubwa, ushindani wao ndo manufaa kwa abiria.Kama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!
Barabara zilikuwa mbovu kwahiyo watu ambao walikuwa na kipato kidogo waliopt kusafiri kwa ndege kwa kujibana hivyo hivyo.. Sasa hivi barabara zinapitika nchi nzima kwahiyo kama sio safari ya haraka mtu anaopt kutumia basi au usafiri binafsiMkuu unataka kuniambia wakati huo Tanzania inamiliki Boeing watu wa uchumi wa kati walikuwepo wa kutosha ??? Kama iliwezekana wakati wa Nyerere ndio tushindwe sasa hivi
Kuondolewa kwa fast jet sikubaliani na ushauri huuKama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!
Unamaanisha nchi hahihitaji wawekezaji binafsi kisa serikali inafufua ndege zake? Unahisi kwa karne hii tunahitaji kuwa na shirika moja pekee la serikali/ umma kuhudumia wananchi?
Huwezi amini moja ya route ambayo Air Tanzania ilikuwa inapata pesa sana enzi hizo ni route ya Dar-Mtwara... Sasa hivi barabara ziko safi nchi nzima wapanda ndege wamepungua sana..Mkuu...mimi sisemi kwa ubaya...Napenda sana shirika letu li perform
Lakini uliza challenge wanazopata mashirika ya ndege siku hizi hapa Tanzania
Ni kwamba watu hakuna ...wanaowezesha wao kufanya biashara endelevu especially kwa Safari za ndani