Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
S
siungi mkono hoja yako kwa kuwa tunahitaji ushindani Ili kufanya vizuri mambo ya monopoly Kama Tanesco no. Kama kweli wananunua ndege Ni habari njema Sana wapambane na walioko sokoni.Kama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!