Tetesi: Tanzania kununua Ndege mpya 5(regional jets) aina ya Bombadier

Tetesi: Tanzania kununua Ndege mpya 5(regional jets) aina ya Bombadier

K.m. Ethiopia ni nchi masikini kuliko yetu lakini shirika lao linaongoza kwa kupata faida Afrika. Soko wanalotegemea ni Afrika nzima. Wametengeneza mtandao mkubwa unaounganisha majiji makubwa duniani na majiji mengi ya Afrika kupitia Addis Ababa kama kiungo kikuu "transit hub".
...Ethiopia sio nchi maskini kuliko sisi. They rank 9th kwa gdp ya 55bn usd. Sisi tuna rank 10th kwa gdp ya 49bn. In Africa.

...By the way, issue si umasikini au uwezo, bali mipango. Rwanda ina rank 35th kwa gdp ya 8bn usd na ina shirika la ndege linalokua.
 
Dhana ya serikali hii ni kubana pesa na kuirudisha serikalini.. Hukumsikia hata Magufuli mwenyewe alivyowaambia wanajeshi juzi juu ya kuwapa tender za ujenzi?? Tusishangae tukarudi kwenye old tendering system tuwe na duka moja tu la serikali... Kwa mtindo huo pesa itabaki serikalini na kiasi kidogo tu cha mishahara ndio kinaingia kwenye system..
Sasa huko ndio tunapelekana kubaya hiyo sera ilishafeli ,tumeshindwa kuangalia ni wapi tilipofeli na tuje na mpango gani mbadala kututoa hapa tulipo ?? China miaka ya 2000 mwanzoni hakukua na mabilionea wengi ila walipo badili sera zao nadhani kutoka kwenye ujamaa typically wakachanganya na ubepari ,wakapata system nzuri ,maendeleo ya china kutoka 2000-2015 ni ya kutisha ,ila ndio shida pia ya nchi hii wasomi wetu wameshindwa kuweka sera ambazo zitafuatwa kama taifa badala yake kila Raisi anayekuja anafanya vile yeye anaona inafaa ,leo tuunganishe Physics na chemistry kuwa somo moja haya kesho tufute mfumo wa division tuje na GPA ,mara hapana ni BRN ,ilmradi vurugu mechi tu
 
Ina wezekana hiyo, nilisikia siku nyingi kidogo, nikiwa kwenye mishe town nika kutana na mdau mkubwa wa ATC , baada ya kumpa salamu nika anza kumtania , kwa ku mwambia mzee naona shirika letu hali tete, akaniambia kijana usi hofu tuna fanya mpango wa kuleta ndege mpya kabisa za shirika, ni kasema ita kua ndoto kwa Tanzania , akaniambia hii nakuhakikishia , inaweza kuwa kweli Yale maneno ya mzee yule ni kweli , ingawa niliona hadithi za abunuasi maana ilikua bado kipindi kileee cha yule jamaaa
 
Sasa kwanini hiyo ya kuwa bail out PW haikua benchmark ya wao kufanya biashara ya ndege kama tatizo ni kutengeneza mazingira mazuri kwanza nyumbani ndio waweze kwenda kimataifa ?? Si wangekaa na Shirima na wenzake na kumwambia kwa sababu wewe umeshatengeneza jina ,tunalipa hiyo hela then tunafanya kuchukua hisa kadhaa ,na sisi tutatoa mathalani Boeing 2 kwa kuanzia ,kidogo kidogo tungesogea tu

Mkuu...Air Tanzania ni National Carrier...Naona kungekuwa na changamoto hasa kwa kuzingatia ownership structure ya PW yenye 41 % ya KQ...Ambayo ni National Carrier ya Kenya....Alafu kukawa na Argument why should the government get into the Private businesses?

upload_2016-1-25_15-5-6.png
 
Mhh...wakuu hizi sio zile DC 10?? Hizi DC 10 ni rejects, pilots wanaziogopa sana mpaka wanaziita "Death Chamber number 10"...kwa wanaofutilia Aircrash investigations watakuwa wanafahamu hilo
...Hapana, ni CRJ, pengine CRJ700 series, kwa idadi hiyo ya abiria. Rwandair wanazo pia. Safety record zake ni nzuri.
 
Sasa huko ndio tunapelekana kubaya hiyo sera ilishafeli ,tumeshindwa kuangalia ni wapi tilipofeli na tuje na mpango gani mbadala kututoa hapa tulipo ?? China miaka ya 2000 mwanzoni hakukua na mabilionea wengi ila walipo badili sera zao nadhani kutoka kwenye ujamaa typically wakachanganya na ubepari ,wakapata system nzuri ,maendeleo ya china kutoka 2000-2015 ni ya kutisha ,ila ndio shida pia ya nchi hii wasomi wetu wameshindwa kuweka sera ambazo zitafuatwa kama taifa badala yake kila Raisi anayekuja anafanya vile yeye anaona inafaa ,leo tuunganishe Physics na chemistry kuwa somo moja haya kesho tufute mfumo wa division tuje na GPA ,mara hapana ni BRN ,ilmradi vurugu mechi tu

Kinachoiharimu nchi hii ni aina ya Elimu

China wamesomesha vijana wao nje wakarudi wakafanya kazi kwenye viwanda vyao
 
Sasa huko ndio tunapelekana kubaya hiyo sera ilishafeli ,tumeshindwa kuangalia ni wapi tilipofeli na tuje na mpango gani mbadala kututoa hapa tulipo ?? China miaka ya 2000 mwanzoni hakukua na mabilionea wengi ila walipo badili sera zao nadhani kutoka kwenye ujamaa typically wakachanganya na ubepari ,wakapata system nzuri ,maendeleo ya china kutoka 2000-2015 ni ya kutisha ,ila ndio shida pia ya nchi hii wasomi wetu wameshindwa kuweka sera ambazo zitafuatwa kama taifa badala yake kila Raisi anayekuja anafanya vile yeye anaona inafaa ,leo tuunganishe Physics na chemistry kuwa somo moja haya kesho tufute mfumo wa division tuje na GPA ,mara hapana ni BRN ,ilmradi vurugu mechi tu
Nchi ya kipuuzi hii, juzi alinishangaza sana alivyotamka yale matamshi.. Huoni hata hao wanaomsupport wanasema FastJet iondolewe ibaki hiyo ndege yao tu wakati hiyo FastJet ilivyoua operation za PA walikuwa wanashangilia tu sasa sijui huo uzalendo ni kwa mali za serikali pekee na haihusu kulinda kampuni za wananchi wake..
 
Duh....Kweli sie ni hamnazo..
Wakati IRAN inanunua ndege 150 za Airbus zenye kubeba abira kuanzia +150 sie tunahangaika na vidaladala..
Bombardier ni ndege nzuri tu kwa soko la kubeba idadi hiyo ya watu bombardier ndio wanaoongoza kwa kuuza ndege kumbuka hizi sio cessna!
 
Mkuu...Air Tanzania ni National Carrier...Naona kungekuwa na changamoto hasa kwa kuzingatia ownership structure ya PW yenye 41 % ya KQ...Ambayo ni National Carrier ya Kenya....Alafu kukawa na Argument why should the government get into the Private businesses?

View attachment 319158
Mkuu ni kweli hilo unalosema ila wanaposema why should government get involved into private businesses kwani mnunuzi wa kwanza wa kwenye private sector ni nani kama sio serikali ??? Sawa 41% ni ya KQ lakini hizo 59 ni za PW ila PW ingeingia kwenye mufulisi kwa mfano wakauza ndege zao ,uchumi wa nchi hii ungeathirika vibaya kuliko wa Kenya ,sina nalolijua kuhusu uchumi ila nadhani kuwe na namna ya kuwasaidia wafanya biashara wazalendo
 
Habari kutoka chanzo kisicho rasmi sana.. inasemekana ATCL inategemea kuleta ndege 5 (regional jets) aina ya Bombadier zenye uwezo wa kubeba abiria 50 hadi 70 ili kufufua biashara yake hasa kwa safari za ndani na nchi za jirani.
Fedha hiyo inasemekana ni mkopo toka TIB..
na wewe unaamini???
 
Sasa mkuu kama pesa ya mauzo ya bidhaa za kilimo peke yake tena kilimo cha jembe la mkono iliweza kutoa ruzuku kwa mashirika ya umma ,hivi sio zaidi kwa sasa hivi ambazo tuna rasimali chungu nzima achilia mbali na gesi na mafuta na pia tuna wataalamu wengi wazawa pengine kuliko wakati wowote ule katika historia ya nchi yetu ?? Hilo la sera ya mashirika kujiendesha kwa faida sioni ni tatizo ,kwani KQ au ET zinajiendesha vipi ???
... UncleBen, kwa kuanzia hii shirika lazima liendeshwe kwa ruzuru -au namna yeyote itakavyotaka kuitwa hiyo financing ya shughuli zake- ili liweze kusimama lenyewe baadae, likifanikiwa.

... Hamna kinachoshindikana. Ila, sekta ya utalii ni muhimu sana kwa ukuaji wa shirika hili. Maana yake ni uboreshaji wa vivutio vya utalii, huduma za hoteli (skills, services, and assets), n.k..
 
Kinachoiharimu nchi hii ni aina ya Elimu

China wamesomesha vijana wao nje wakarudi wakafanya kazi kwenye viwanda vyao
Sawa mkuu tutaishia kulalamika mpaka lini ??? Kwani kusomesha vijana nje ni rocket science ?? Kwanini sisi tusipeleke vijana wetu nje kusoma ??? Mbona mambo mengi tunayo lalamikia ni vitu ambavyo Nyerere na upeo wake alifanya mwaka 47 kama waswahili wasemavyo yaani zamani ,
 
Sasa huko ndio tunapelekana kubaya hiyo sera ilishafeli ,tumeshindwa kuangalia ni wapi tilipofeli na tuje na mpango gani mbadala kututoa hapa tulipo ?? China miaka ya 2000 mwanzoni hakukua na mabilionea wengi ila walipo badili sera zao nadhani kutoka kwenye ujamaa typically wakachanganya na ubepari ,wakapata system nzuri ,maendeleo ya china kutoka 2000-2015 ni ya kutisha ,ila ndio shida pia ya nchi hii wasomi wetu wameshindwa kuweka sera ambazo zitafuatwa kama taifa badala yake kila Raisi anayekuja anafanya vile yeye anaona inafaa ,leo tuunganishe Physics na chemistry kuwa somo moja haya kesho tufute mfumo wa division tuje na GPA ,mara hapana ni BRN ,ilmradi vurugu mechi tu

...Wasomi hawajashindwa. Una ushahidi hata mmoja tu?

...Tuache kutupiana lawama, kila mmoja katika eneo lake achape kazi!
 
...Wasomi hawajashindwa. Una ushahidi hata mmoja tu?

...Tuache kutupiana lawama, kila mmoja katika eneo lake achape kazi!
Hapa ndio naposhindwa kuelewa sisi watanzania tunataka nini ?? Unasema wasomi hawajashindwa ??? Hebu nikupe mfano tu wa kwenye Elimu kina Shukuru kawambwa na usomi wake aliambiwa nini na kina Mbatia kuhusu elimu ???badala yake tunafulisha watoto wasiojua kusoma na kuandika na BRN zao ili kuficha aibu ya serikali huoni huko ni kufeli
 
Nilidhani wangeongelea ma-Airbus na ma-Boeing ila hivyo vipanya havita-survive kwa Fastjet...
 
Kama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!


Acha utani bwana! kwani ATC hawajawahi kuwepo? inaonekana wewe ni msahaulifu. Ikiondoka fastjet tutahangaika sana. Kama unafikiri fasjet hawafayi vizuri, mbadala wake hawezi kuwa ATC. Hapo uzalendo unanishinda.
 
Duh....Kweli sie ni hamnazo..
Wakati IRAN inanunua ndege 150 za Airbus zenye kubeba abira kuanzia +150 sie tunahangaika na vidaladala..
Ficha ujinga wako Mbafu zako kwa hali iliyofikia huoni ni nafuu zaidi
 
Sawa kabisa. hao.middle men ndio watatuletea ndege kama meli ya bagamoyo..

Mara nyingi ni busara zaidi kusubiri taarifa ikamilike kabla ya kuileta hewani ili ziwe na ukweli na uhakika. Ni kweli pia hao middlemen hutumika makusudi kukamilisha commision za wakubwa nao ili wafaidike zaidi huagiza ndege na mitambo iliyotumika na kupakwa rangi. Hali hii imeliumiza sana taifa na kwa kipindi kirefu.Ndege kama hizo ziliagizwa na nyingi hazikuweza kuruka na zilipolazimishwa zilianguka na kusababisha maafa. Ipo mifano mingi ya vivuko,meli na mashine za kukatia tiketi kwa abiria haikufanya kazi zilizolengwa na wahusika wakaachwa bila kuchukuliwa hatua na kubaki kuwa hasara kwa wananchi.Menejiment mbovu hadi leo zipo madarakani zikivizia fursa kutokea. Ni wakati sasa raisi Magufuli kuchukua hatua kali na kukomesha uozo huu vinginevyo juhudi zako zitakuwa bure na hujuma zikiendelea. Mikataba mibovu ya madini ni majipu mengine pia na ubora duni usio na viwango na vipimo sahihi vya barabara za lami yote ni majipu. Magufuli,makamu wako na waziri mkuu mnayo kazi ila mna nguvu kubwa ya wananchi nyuma yenu.Wote waliofilisi nchi hii wapo wakamatwe na kufikishwa mahakamani na kama wapo waliofariki mali walizochuma kifisadi zitaifishwe.
 
Habari kutoka chanzo kisicho rasmi sana.. inasemekana ATCL inategemea kuleta ndege 5 (regional jets) aina ya Bombadier zenye uwezo wa kubeba abiria 50 hadi 70 ili kufufua biashara yake hasa kwa safari za ndani na nchi za jirani.
Fedha hiyo inasemekana ni mkopo toka TIB..
Watanzania tumeshapoteza kwa hilo shirika la ndege
 
Back
Top Bottom