Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chifu, pamoja na kukubaliana nawe katika uliyoyaongea, lakini ili la kusema Ethiopia ni nchi maskini kuliko Tanzania haupo sawa.K.m. Ethiopia ni nchi masikini kuliko yetu lakini shirika lao linaongoza kwa kupata faida Afrika..
Boeing auHabari kutoka chanzo kisicho rasmi sana.. inasemekana ATCL inategemea kuleta ndege 5 (regional jets) aina ya Bombadier zenye uwezo wa kubeba abiria 50 hadi 70 ili kufufua biashara yake hasa kwa safari za ndani na nchi za jirani.
Fedha hiyo inasemekana ni mkopo toka TIB..
Roho mbaya haijengi, sina hakika na uwezo wako wa kufikiri, maake pointing zako nyingi ni fitna kama za wake wenza
Kama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!
Sasa ufinyu wa mawazo unawapelekeafa lumumba kuwa wavivu wa kufikiri na mmebobea kwenye utaalamu na uzandiki wa uporajiKama ni kweli safi sana lkn kwanza FastJet ni lazima wasepe, iwe kwa hujuma ya moja kwa moja au ya chini chini lkn ni lazima waondoke kwetu ili Ndege yetu iweze kumea na kukua, yaani soko la ndani kwa asilimia zaidi 90% liwe la ndege yetu!
Ruzuku ndiyo imeifikisha hapo lilipo maana halifanyi kazi kwa ufanisi kwa sababu litapata ruzuku. Ukiangalia kwa umakini mashirika yote yanayoendeshwa kwa kutegemea ruzuku ya serikali yanakosa ufanisi katika uendeshaji ndo maana yanaendeshwa kwa hasara na hayawezi kujiendesha yenyewe bila kuyegemea ruzuku.... UncleBen, kwa kuanzia hii shirika lazima liendeshwe kwa ruzuru -au namna yeyote itakavyotaka kuitwa hiyo financing ya shughuli zake- ili liweze kusimama lenyewe baadae, likifanikiwa.
... Hamna kinachoshindikana. Ila, sekta ya utalii ni muhimu sana kwa ukuaji wa shirika hili. Maana yake ni uboreshaji wa vivutio vya utalii, huduma za hoteli (skills, services, and assets), n.k..
Kama hilo linapaswa kufanyika ili Shirika letu likuwe na kumea basi na iwe hivyo, Dunia nzima wanafanya hivyo!
Hivi unafahamu ni kwa nini Mashirika ya Uarabuni kama Emirates, Qatar &Co. yanashamiri? Unafikiri yanafwata kanuni za kibiashara?
Yanashamiri kwa sababu yanaendeshwa na ruzuku kubwa ktk Serikalini yaani hayajiendeshi jambo ambalo halitakiwi kulingana na taratibu za WTO na ndio maana Umoja wa Ulaya unataka kuwapiga faini hasa kwenye njia zao za Ulaya!
Amka wewe Dunia haiendi hivyo, kila mtu anatetea chake, hata Wazungu wanalinda vyao kuua washindani wageni, unafahamu ni kwanini Mkulima wa Ulaya analipwa fedha na Serikali yake?
Ni kwa sababu aweze kushindana na bidhaa za bei rahisi ktk nje, yaani maziwa kama yalipaswa yauzwe shili 1000 yanauzwa 300 halafu Serikali yao inamlipa shilingi 700 zilizobakai, sasa hii utaiita ni nini?
Chifu, pamoja na kukubaliana nawe katika uliyoyaongea, lakini ili la kusema Ethiopia ni nchi maskini kuliko Tanzania haupo sawa.
Check latest GDP ranking za World Bank (December 29 2015) http://databank.worldbank.org/data/download/GDP.pdf
Ethiopia wapo nafasi ya 79 kati ya chumi 214 wakiwa na GDP ya USD 55.61 billions. Tanzania ipo nafasi ya 88 kati ya chumi 214 ikiwa na GDP ya USD 48.06 billions...
Nilikuwa sijui kumbe kule Kenya, Ethiopia ,,,afrika kusini,,ulaya hata america kuwa barabara zao ni mbovu ndo maana mashirika yao ya ndege yanafanya vizuri,,nashukuru mkuu kwa kunijuzaBarabara zilikuwa mbovu kwahiyo watu ambao walikuwa na kipato kidogo waliopt kusafiri kwa ndege kwa kujibana hivyo hivyo.. Sasa hivi barabara zinapitika nchi nzima kwahiyo kama sio safari ya haraka mtu anaopt kutumia basi au usafiri binafsi
...Ruzuku hutolewa kwa kipindi fulani na lengo maalum. A means to an end. That "end" being shirika kujiendesha lenyewe baadaye.Ruzuku ndiyo imeifikisha hapo lilipo maana halifanyi kazi kwa ufanisi kwa sababu litapata ruzuku. Ukiangalia kwa umakini mashirika yote yanayoendeshwa kwa kutegemea ruzuku ya serikali yanakosa ufanisi katika uendeshaji ndo maana yanaendeshwa kwa hasara na hayawezi kujiendesha yenyewe bila kuyegemea ruzuku.
Ukisema kuwa shirika linashindwa kuimarika kwa sababu hatujaboresha miundombinu ya utalii itakuwa umekosea, kwa mfano Rwanda wanakitu gani walichotuzidi katika utalii mbona shirika lao linazi kuimarika??
Tabutupu mi naona kwanza Mheshimiwa aende akawatumbue kwa kufilisi Shirika la ndege la Tanzania maana majipu yao yameota midomo miwili na kila siku yanapakwa mafuta yanameremeta ile mbaya,vinginevyo hizo ndege zitahujumiwa tenaHabari kutoka chanzo kisicho rasmi sana.. inasemekana ATCL inategemea kuleta ndege 5 (regional jets) aina ya Bombadier zenye uwezo wa kubeba abiria 50 hadi 70 ili kufufua biashara yake hasa kwa safari za ndani na nchi za jirani.
Fedha hiyo inasemekana ni mkopo toka TIB..
Hivi sisi hatuna shirika la ndege lenye uwezo kwasababu eti tuna Barbara nzuri kuliko mataifa kama Kenya,Marekani na nchi za ulaya? Mimi sijaona barabara yenye uwezo wa kukidhi sekta ya usafirishaji Tz. hatuna barabara bali tunajifariji tuu.Nilikuwa sijui kumbe kule Kenya, Ethiopia ,,,afrika kusini,,ulaya hata america kuwa barabara zao ni mbovu ndo maana mashirika yao ya ndege yanafanya vizuri,,nashukuru mkuu kwa kunijuza