SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Kwa nini wanakimbilia kampuni ya kikanada wanaacha boeing ya america au a320neo ya airbus?Navyojua mm wanapanga kuagiza ndege aina ya Bombadier CRJ 1000 nne zenye kubeba abiria kati ya 90 na 100.Hapa muhimu waondoe middle men