greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Fedha zitaenda kwenye hazina ya fedha za kigeni...Huo mkopo utaelekezwa kwenye mradi upi exactly
Unaweza labda kuniambia sababu Kubwa ya Mimi kunitaja hapa ni nini / ipi hasa?Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Una upeo mkubwa wa kujadili madaUnaweza labda kuniambia sababu Kubwa ya Mimi kunitaja hapa ni nini / ipi hasa?
Nchi mufilisi , hiyo mikopo inaishia kumrejesha matumbo ya wapumbavu wachacheKuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Ukisoma hizi takwimu hapa za imports huwezi shangaa,Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Umewahi fuatwa kwako kudaiwa hela ya Mkopo?Kama kawaida tunaendelea kuongeza umasikini Kwa vitukuu vyetu kwa kukopakopa hovyo hovyo na hizo hela zinaishia Kwa wahuni na mwisho wasiku matatizo yanabaki pale pale.
So Waziri Muigulu ndiyo kaona hiyo ndiyo solution...Ukisoma hizi takwimu hapa za imports huwezi shangaa,
View attachment 2993894
punguzeni kuzaana hovyo,ongezeni uzalishaji(long term process) na anzeni kuwaamini wakandarasi wenu wa ndani ikiwemo kuwawezesha Ili pesa nyingi mnazowalipa Wachina Kwa Dola msevu Kwa kuwalipa wazawa Kwa Shilingi vinginevyo shida itaendelea licha ya uchumi kuimarika ila hauendeani na Kasi ya ongezeko la watu na uzalishaji.
Hela ambayo ingetumika kwenye maendeleo inaenda lipa mikopo...Umewahi fuatwa kwako kudaiwa hela ya Mkopo?
Kwani huo Mkopo unaenda kutumika wapi kama sio maendeleo? ππHela ambayo ingetumika kwenye maendeleo inaenda lipa mikopo...
Mwishowe watu wanakosa Ajira, wanaanza kupata msongo...
Ndio ni sukusheni ya mda mfupi, sukusheni Yako ni ipi?So Waziri Muigulu ndiyo kaona hiyo ndiyo solution...
Unadhani ni Suala la overnight? Waziri amewahi weka wazi kwamba Nchi inatekeleza miradi Mingi mikubwa ambayo Ilianza Kwa pamoja ,hili nalo ni chanzo.Kwanini nini Tsh inashuka thamani na dola imeadimika? YAANI TUMESHINDWA KULIFANYIA KAZI HILI SWALI NA TUMEONA SULUHU NI KUKOPA?
LOW PRODUCTION ambayo mwisho wa siku inaleta low exportation, matokeo yake tumebaki kuwa Taifa la wachuuzi, wadangaji, na consumers.
Unahitaji watu serious na utawala wa mkono wa chuma kuwaweka watu kwenye mstari na kutoka kuwa wachuuzi na kuwa wazarishaji.
Wengi humu tunapiga zumari na kusifia ujinga ujinga na kusahau in long term huu ujinga unakwenda kutafuta vizazi na vizazi.
WAKOPESHAJI WANAJUA WANACHOKIFANYA ILIHALI WAKOPESHWAJI NI HOHEHAHE HAKUNA WAJUALO.
TUACHE HUU UCCM NA UCHADEMA, TUACHE HUU UKRISTO NA UISLAMU TUSIMAME PAMOJA KUKEMEA UJINGA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU NA VIZAZI KUMI MBELE.
Toka na kichogo chako hapaUnaweza labda kuniambia sababu Kubwa ya Mimi kunitaja hapa ni nini / ipi hasa?
hii awamu inamendeleo yapi boss ??hiyo pesa itaisha kwa sababu msimamizi hamna ccm watatwambia nn?Kwani huo Mkopo unaenda kutumika wapi kama sio maendeleo? [emoji38][emoji38]
Dah aisee, inasikitisha Sana.Umewahi fuatwa kwako kudaiwa hela ya Mkopo?