ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hayo ma Sgr sio miradi ya gharama? Wanaokuza uchumi sio maskini ni matajiri lazima waleleweHaina watu....
Na hiyo kauli yako ndiyo inaonesha unavyosema elimu nyuma na kuweka siasa mbele....
Unalenga miradi ya gharama ,huku ukijua zaidi ya 80% ya raia wako hawafikii hiko kipato.