Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa ni mshuzi wa baba Yako ndio manaa unaropoka hata mil.2 huna.Bilioni 199 ni ushuzi rafiki.hata sio mradi wa kimkakati.Hebu Nipe impact ya huo mradi kwa uchumi wa Tanzania.
Utakuwa ni mshuzi wa baba Yako ndio manaa unaropoka hata mil.2 huna.
Pasuka zaidi basi hapa 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C7DxsMDt2s7/?igsh=dWs2bjRuZGltc3VxView attachment 2994067View attachment 2994068View attachment 2994069
Unajua aina ya magari ambayo yatanunuliwa? Hizi ni V8? 👇👇
View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1780548645961466153?t=y5XPIXOt-u6BKdiYn7lpuw&s=19
Sawa wewe ulitaka watembelee spacio au Harrier ama?Mkuu,
Mwezi wa 4,mwaka huu,wakuu wa Wilaya 3 za Kilimanjaro walikabidhiwa magari yenye thamani zaidi ya Millioni 600
WAKUU WA WILAYA WAKABIDHIWA MAGARI MAPYA KILIMANJARO
Katika kuongeza ufanisi wa utendaji na kuleta maendeleo ya mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amekabidhi magari matatu kwa Wakuu wa Wilaya ya Same, Mwanga na Rombo yenye thamani ya zaidi milioni 600. Akizungumza katika haflkilimanjaro.go.tz
Ni shirika la Serikali na Serikali ndio umewapa guarantee ya Mkopo wa kufufua shirika ambalo Mwendazake aliliua.NHC
Ni inafanya biashara, inatakiwa ijiendeshe yenyewe na siyo kwa fedha kutoka serikali...
So huo mfano hata haukutakiwa kuuweka mkuu
Majibu yako inaonesha kuwa hata nawe unaona wanazingua...Sawa wewe ulitaka watembelee spacio au Harrier ama?
Mungu ibariki TanzaniaKuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
![]()
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Wataalam waje na mikakati ya uzalishaji kwenye kilimo na viwandani. Kukopa ili kuinusuru shillingi ni temporary measure. Unakabili vili shilingi dhidi ya dola kama huna cha kukuingizia dola?Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
![]()
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Shirika lilikufa kabla ya Magu....Ni shirika la Serikali na Serikali ndio umewapa guarantee ya Mkopo wa kufufua shirika ambalo Mwendazake aliliua.
Wanawake wanaweza , wanaume zaidi ya majigambo,umalaya na kuhonga hakuna Cha maana wanaweza ndio maana huishia kujinyonga
Mhiguru,Tangia awe waziri wa fedha....amekuja na sera ipi yaWataalam waje na mikakati ya uzalishaji kwenye kilimo na viwandani. Kukopa ili kuinusuru shillingi ni temporary measure. Unakabili vili shilingi dhidi ya dola kama huna cha kukuingizia dola?
Wachumi wawasaidie viongozi waache siasa.
Kwenda huko,miradi yake yote alipiga marufuku ikaoza huko.Shirika lilikufa kabla ya Magu....
Liliuza Nyumba zake Oysterbay na Mikocheni kibao
Watu walikuwa wanapanhishana kindungu
Miradi isiyo na faida kwa nchi kibao
Kulipana mishahara mikubwa.
Mpaka sasa,hakuna kilichobadilika ,hali ni ile ile...Miradi ya apartments isiyo na tija kiuchumi.
Halafu unakaa na kusema Magu....
Waliosababisha hizo ambulance ziwe chache ni kina nani kama sio hao watu wenu wasio na akili za Uongozi?Majibu yako inaonesha kuwa hata nawe unaona wanazingua...
Hii nchi bado
Pesa zingeenda kununulia hivyo vitu, watu wangewaombea baraka zaidi.
- Ambulance ni chache
- Magari ya kuzimia moto hakuna
- Trekta chache
- Vivuko vichache
Viongozi wanataka kuishi kifahari kama mabilionea, nchi yetu bado haujafika huko.
Anadaiwa hela mkopo kupitia kodi na tozo kubwa na nyingiUmewahi fuatwa kwako kudaiwa hela ya Mkopo?
Kwenda huko,miradi yake yote alipiga marufuku ikaoza huko.
Lilikufa Kwa nini alishindwa kulifufua?
Kwanza mtu wenu yule hamnazo aliharibu uchumi kiasi kwamba private sector ikafa .
Samia katoa wapi pesa za kufufua? Mwendazake aliua Hadi mashirika ya pensheni.
View: https://www.instagram.com/p/C7FIBV6tEqb/?igsh=NWpmanpqbmViMGtm
JK hawezi kusingizia Kwa lolote,during his time biashara zilikuwa kedekede mjiniMashirika ya Pensheni yaliuliwa na Kikwete mkuu,inaelekea umemaliza chuo enzi za Magu ndiyo mana hata data kama hizi haujui enhe...
Kabla ya 2015
- Mashirika ya Mafao ndiyo yalikuwa yanaongoza kwa Miradi ya Ujenzi
- Yalikuwa na Ujenzi wa Magorofa makubwa kila mkoa
- Moja likajenga Daraja la Nyerere
- Lingine likataka kujenga Daraja la Dar to Zanzibar
- Mengine kutaka kuweka pesa kwenye Kigamboni New City
- Vyote vinafanyika bila Pesa kurudi na miradi kuwa hasara
- Kikwete akafanya mabadiliko ya sheria kwenye pensheni ili kuwabana watu kudai pesa zao....
- Mashirika yalikuwa yana madeni makubwa kuliko kiwango stahiki...
Kwenda huko,miradi yake yote alipiga marufuku ikaoza huko.
Lilikufa Kwa nini alishindwa kulifufua?
Kwanza mtu wenu yule hamnazo aliharibu uchumi kiasi kwamba private sector ikafa .
Samia katoa wapi pesa za kufufua? Mwendazake aliua Hadi mashirika ya pensheni.
View: https://www.instagram.com/p/C7FIBV6tEqb/?igsh=NWpmanpqbmViMGtm
Utakuwa ni mshuzi wa baba Yako ndio manaa unaropoka hata mil.2 huna.
Pasuka zaidi basi hapa 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C7DxsMDt2s7/?igsh=dWs2bjRuZGltc3VxView attachment 2994067View attachment 2994068View attachment 2994069
Ingekuwa white elephant zingeuzika? Mbona unaongea ujinga? Samia Scheme Hadi dakika hii Iko over 80% occupied.Aya hilo NHC
Inajenga miradi ambayo ni White elephant
Samia Housing pale Kawe....upo Karibu na mradi mwingine apartments pale Kawe Beach....
Mradi wa Dege Beach Kigamboni
Morocco Complex pale Mikocheni..
Hii yote ni white elephant projects.....
Wamejenga nyumba na kuziuza kwa million 70 (nyumba ndogo,vyumba viwili) ,halafu Millioni 100 mpaka 150 kwa nyumba ya vyumba vitatu....
Bongo Kuna uhitaji wa Nyimba lakini siyo kwa bei hizo....Mwishowe Majengo Yao mengi ni empty.
Una matatizo makubwa,Kuna Rais amewekeza hela nyingi kwenye irrigation kumzidi Samia toka Uhuru?Mdogo wangu,Haya majengo sio miradi ya kimkakati,Hapo mnahangaika kutafuta wapangaji mpaka yataoza.
It’s nikiwa Angalia nyie ma CCM Naona Hamnamnalolijua.
Miradi ya kimkakati ni kama kwa sekta zifuatazo labda nikupe elimu,
1.Upamuzi wa mashamba ya kawaha waajili ya kupromote export.
2.Ununuzi wa
haya bwana Nashukuru kwa kunitusi.