GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Cc: PaygeToka na kichogo chako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc: PaygeToka na kichogo chako hapa
Katika Baraza la mawaziri pale kuna majembe yangu nayaaminia...Ndio ni sukusheni ya mda mfupi, sukusheni Yako ni ipi?
Wapi iliposemwa Mkopo utafanya hayo uliyoeleza wewe?Dah aisee, inasikitisha Sana.
Unafikiri kuna Mtanzania atafuatwa nyumbani kudaiwa mkopo wa Serikali? Bali utapandishiwa gharama za maisha wewe na vitukuu vyako kufidia madeni ya wakoloni ilihali mkopo wenyewe ulitumika kuendeshea uchaguzi, kununulia magari ya kifahari viongozi, kujenga Barabara zisizo na viwango, nyingine kuibiwa na kurudishwa hukohuko zilikokopwa, watu kuziiba kulewea na kuhonga malaya.
Hii hapa unadhani ni nini? 👇👇hii awamu inamendeleo yapi boss ??hiyo pesa itaisha kwa sababu msimamizi hamna ccm watatwambia nn?
Je,baada ya kulijua hilo,,ameleta sera gani mpya ya kuinua uchumi...Unadhani ni Suala la overnight? Waziri amewahi weka wazi kwamba Nchi inatekeleza miradi Mingi mikubwa ambayo Ilianza Kwa pamoja ,hili nalo ni chanzo.
The root is kule Kwa Mzee wa kukurupuka apate sifa,kaacha msala yeye kajifua lawama Kwa wengine 😁😁
Hii hapa unadhani ni nini? 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7JAC3ttxc9/?igsh=MXF1OGo2MTgxa28yZQ==
Kwako maendeleo ni nini? Kugawiwa hela au?
Wapi iliposemwa Mkopo utafanya hayo uliyoeleza wewe?
Magu wako aliacha hela za kulipia hiyo miradi?Kijana hiyo ni miradi ya Magu,Tuambie mama yako kafanya nini zaidi ya kuchelewesha miradi ya Magu na kuiongezea gharama?
Nioneshe waliposema wanakopa kuongeza thamani ya Shilingi.Sasa wewe unaona ni sawa kukopa kuongeza thamani ya shillingi?
Unafikiri kuna mtu atakwambia tunakopa kwenda kununua V8VXR au kulipa wabunge posho? au kuongeza safari za nje Kwa viongozi wa umma? JIONGEZE NDUGU.
Magu wako aliacha hela za kulipia hiyo miradi?
Hiki hapa ni nini? 👇👇
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1791850020410400832?t=cGRUCjzOWt9aaqU95WgBVA&s=19
Soma hiyo habari ya mleta Uzi na hiyo attachment ya Gazeti.Nioneshe waliposema wanakopa kuongeza thamani ya Shilingi.
Pili unajua logic yake kwenye hicho unachoongea Kwanza?
Wacha porojo ,soma maelezo ya uhakika hapa 👇Soma hiyo habari ya mleta Uzi na hiyo attachment ya Gazeti.
Hakuna cha logic, ni uleule ujinga wetu.
Ingekuwa tuna Logic basi Shillingi ingekuwa stable na dollar zingeonekana mitaani.
Kwanza kwani Kuna shida gani kununua hizo VX?Hivi zile VX mpya za Wakuu wa Wilaya,nazo alinunua Magu ama...?
Umbea tu kwani umetukanwa?
Wewe utalipaMama yule ni mkopaji na sijajua nani atakuja kulipa hizo fedha😳
Kama kawaida 50/50 zenji/TanganyikaKuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
![]()
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Kwa nchi ambayo tuna shida chungu nzima,,,gari la 200Millioni haitakiwi iwe priorityKwanza kwani Kuna shida gani kununua hizo VX?
Pili Aliyesema Mkurugenzi wa Kahama na Geita waachwe wanunue ma VX eti wamekusanya pesa nyingi ni nani?
Hayo magari Yako mangapi?Kwa nchi ambayo tuna shida chungu nzima,,,gari la 200Millioni haitakiwi iwe priority