ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hayo ma Sgr sio miradi ya gharama? Wanaokuza uchumi sio maskini ni matajiri lazima waleleweHaina watu....
Na hiyo kauli yako ndiyo inaonesha unavyosema elimu nyuma na kuweka siasa mbele....
Unalenga miradi ya gharama ,huku ukijua zaidi ya 80% ya raia wako hawafikii hiko kipato.
Sekta ya ujenzi wa nyumba ilikufa(real estate was deadSekta ya Ujenzi ilikufa 😂😂😂
Leta miradi hata mitano ambayo imeleta faida kiuchumi kwa NHIF...
Wacha porojo wewe, unadhani occupancy rate ya Sasa ni sawa na kipindi hicho Yako tupu kabisa? Posta yote iligeuka makumbusho ila Kwa Sasa inarejea kwenye Hali yake ya awali.Njoo ujionee Majengo yalivyotupu....
Palm Village tu ,ipo empty....
Apartments za Msasani zote zipo empty
Apartments za Kigamboni empty
Morocco square Empty
Hiyo miradi ni white elephants, Heri wawaletee Pembejeo Mbeya.
Kwa hiyo pesa za serikali zilienda wapi? Mbona saizi hatusikii Benki Wala kikoba kikifilisika? Kwa nini awamu Ile? Maskini wa akili na Mali mna nongwa sana nyieMabenki yanafanyia biashara pesa za serikali.
Yani watu wanafungua Fixed account kwenye benki binafsi na kuweka pesa za Halmashauri huko....
Kulikuwa na Kilimo gani enzi za kikwete 😂😂😂
Mpaka useme kilikufa....
Huyo kazi yake kuimba ujinga ujinga tu! Hata NHC Morocco iko wazi hakuna wapangaji hata nusu na mradi haujaanza!Wewe upo Mbeya ,haujui hali ya soko la real estate ya Dar....
Maghorofa ya apartments na ofisi kibao yapo empty....
Eti Samia 80% limechukuliwa, ngoja ujenzi mishe ndiyo uone....
Biashara ipi iliyorudi zaidi ya upigaji.
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Ukisoma hizi takwimu hapa za imports huwezi shangaa,
View attachment 2993894
punguzeni kuzaana hovyo,ongezeni uzalishaji(long term process) na anzeni kuwaamini wakandarasi wenu wa ndani ikiwemo kuwawezesha Ili pesa nyingi mnazowalipa Wachina Kwa Dola msevu Kwa kuwalipa wazawa Kwa Shilingi vinginevyo shida itaendelea licha ya uchumi kuimarika ila hauendeani na Kasi ya ongezeko la watu na uzalishaji.
Hakuna mwizi hapo, mkuu hakuna mtu anaweza iba pesa ya Serikali... Kama wabisha tulia, mbona litaisha, sana sana watahamishwa, wako wapi waloiba 400ml. Kwa dakika 4????Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Mjinga wewe, unashadadia MIKOPO?Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz
Stress za kuendesha familia yako unaniletea mie...Mjinga wewe, unashadadia MIKOPO?
Si pesa nyepesi hata hazitolewi jasho,hawaojiwi...HIvi kwanini waswahili wakipewa madaraka lazima wachoshe watu akili na mikopo inajazwa kama kuna mtu atalipa?? Wakitoka madarakani yaani unakuta hazina hakuna
Ile Morocco Complex nikiwa Nyumbani kwa Mzee ,usiku inawaka taa moja tu kila siku...Huyo kazi yake kuimba ujinga ujinga tu! Hata NHC Morocco iko wazi hakuna wapangaji hata nusu na mradi haujaanza!
Hii miradi ya NHC chini ya Mchechu ilikuwa ni upigaji tu!
Dege Eco Village kule Kigamboni nayenyewe hola hakuna kitu!
Ufisadi ufisadi!
NI keroo sana wanakeraaSi pesa nyepesi hata hazitolewi jasho,hawaojiwi...
Halafu watu wanawatetea...NI keroo sana wanakeraa
HII NCHI MPAKA 2030 ITAKUWA IMEUZWA PAMOJA NA MATOZO BADO KOPA KOPA INAENDELEAKuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani.
Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar...
Kuanzia tarehe 17 May 2024,mkopo utakuwa tayari ushaanza kupokelewa.
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
GENTAMYCINE
source:the citizen
IMF to provide $150 million to Tanzania, cautions against prolonged foreign currency shortages
IMF warns that foreign currency shortages will persist in Tanzania this year, posing risks to economic growth.www.thecitizen.co.tz