Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

"... Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga ... "[/QUOTE]
Mmmmmmmm
 
Nchi huru haitishwi na kelele za wahisani. Tuna raslimali nyingi za kutosha. Land, Capital and Labours
 
Hivi inamaana hali ya democracia, uhuru wa vyombo vya habari ni mbaya sana hapa Tanzania kuliko Congo DRC, Rwanda na Uganda? Mimi naona hapa kuna kitu sio bure, hawa wafadhili hawapedi maendeleo yetu, wanataka watupe hela tuzichezee, ukifanyia maendeleo hawataki..
Miaka yote wamepugia kelele rushwa sasa imeanza kwisha na walarushwa wamebwana, wanaibuka na hoja zingine.

Mungu atasimama upande wa mwenye haki siku zote.
 
Nchi huru haitishwi na kelele za wahisani. Tuna raslimali nyingi za kutosha. Land, Capital and Labours

Mkuu hizo rasilimali tutazitumiaje kama tutawekewa vikwazo?...kwa Marekani hii ya Trump ikikuwekea vikwazo hata China anakimbia, Afrika yenyewe itatukimbia tupambane na hali yetu
 
Naona pia kuna kamgomo kwenye Bomba la mafuta la Hoima wawekezaji na shareholders wao wamestuka.....atang'oka tu.
Hili bomba halijii, take it feom me Total ndiyo wenye dhamana na hawata kubali financing from china na kuharibu interest zao , kumbuka wao ni french, sisi ni punguwani
 
Ndugu yangu usiombe. Angalia Venezuela na Iran. Usiombe yatufike. Bora jiwe atoke
Tujiungeni pamoja
maxresdefault.jpg

United front
 
Nairobian, naamini hoja yako ni hii Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo tu katika bandiko lako. Mwenye kuuondoa uongozi madarakano Serikali ni wananchi na hapo kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Pamoja na bandiko lako Tanzania iko imara kiusalama na kiuchumi kuliko nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Stupid statement
 
Hivi hawa wanaotuwekea vikwazo huwa hawajui kuwa makabwela ndio tunaoumia.Viongozi wataendelea kula viyoyozi tu.Watumie mbinu ya kuwatoa viongozi hata sisi wananchi tutatoa ushirikiano.Au wanafanya hivyo ili kutupa akili?
 
Hawana shida sababu takwimu inasomeka pesa wanayo kumbuka account ni moja haijalishi fungu kubwa ni la nini tutajiendesha na kodi tutabuni
 
Huu wema uchwara
Nakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Huu ni ushauri mujarab sana lakini matutusa wa Lumumba hawasikii la mwadhini wala la mzegazega. Ipo siku nchi hii itatumbukia shimoni jumla. Hapo ndipo kila mtu atalia na kusaga meno. Mungu tuepushie mbali huu utawala wa kidikteta.

CC: MOTOCHINI, jingalao, Ruttashobolwa, Lizaboni, TataMadiba, Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, stroke imhotep Magonjwa Mtambuka Mgambilwa ni mntu Musiba
 
Back
Top Bottom