kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
Nakushauri ujitahidi kufikiri negativities za mkulu kwa uwezo wako na si uwezo wa wanasiasa.Think out of the box mkuu !
Lia kwa kilio chako, usilie kwa kilio cha wanasiasa, hoja/kelele zao ndio mishahara yao..!!!