Mbwa kala mbwaa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 218
- 389
Madhara zaidi ya haya tuliyonayo?!...haya ni ya magufuli kupinga demokrasia lakini hayo ya USA/EU lengo lake ni kumlainisha mbabe wetu aruhusu watu tupige SIASA sio kuwafunga viongozi wetu gerezaniUnajua madhara ya kiuchumi wew
Hivi nikweli magu anaminya demokrasiaBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Waisraeli ndio wataalam hawa waarabu Aswan dam yao walijengewa na warusi.Kwahiyo kuwapa kazi ni lazima,shenzi zao
Madhara zaidi ya haya tuliyonayo?!...haya ni ya magufuli kupinga demokrasia lakini hayo ya USA/EU lengo lake ni kumlainisha mbabe wetu aruhusu watu tupige SIASA sio kuwafunga viongozi wetu gerezani
Bashe kaminywa korodani,Tundu Lissu kapigwa shehena ya risasi Huenda Ben Saa8 alifanyiwa Kashoogi Style Azory na wengineo wengi wamepotezwa kwa kuuwawa.Hivi nikweli magu anaminya demokrasia
Ndio wenyewe huoDuh huu uandishi vp
Hata kupiga mabomu kama Afghanistan!Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Mumebaki wachache huko ngoja tuchukue dola tukawafungie Mafia kisiwani.Ndoto za mchana
Mabomu hapana viongozi wote wa CCM wawekewe vyikwazo vya kusafiri nchi za nje Pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoaHata kupiga mabomu kama Afghanistan!
Unadhani Mulla na osama bila mabomu wangelinyooka? Vikwazo havitawaathiri maana watapata kila kitu wanachokihitaji, sisis makabwela ndio tutaumia. Lkini bomu litamshitua sana.... atabadilikaMabomu hapana vuongozi wote wa CCM wawekewe vyikwazo vya kusafiri nchi za nje Pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa
Spika wa Bunge nae vikwazo tuone
Tetesi zimetanda ufipa.
Unaishi china?Hivi nikweli magu anaminya demokrasia