Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

hii repoti inatolewa wauzaji wa silaha duniani
labda kama tz tunatengeneza makombora lugalo ila vichwa vya hayo makombora hatununui njee?

uko sahihi...lakini hii ni report ya CIA ambayo wanabase sana kwa wauzaji wa america....sidhani kama ukinunua silaha urusi, warusi wataanika taarifa hiyo kirahisi rahisi kama wamarekani walivyo.....ingekuwa hivyo Iran, Pakistan, India, Korea ya Kaskazini wasingeweza kufikia hatua ya kutengeneza nyuklia.
 
Sijajua mleta uzi ni wakala wa nani hata hajiulizi eti pwrindex za nchi kama Sudan ambako jeshi letu liko kulinda usalam
Lakini unataka tujadlili siri zetu humu? Tangaza kwako kuwa huna hata nondo uone kama vibaka hawatakuingilia
 
Toka lini nidhamu tu ishinde vita?

Bila nidhamu hushindi vita huenda hata chipukizi au mgambo hujajifunza waambieni hao wenye powerindex nzuri kama hatutakunywa chai kwao
 
Bila nidhamu hushindi vita huenda hata chipukizi au mgambo hujajifunza waambieni hao wenye powerindex nzuri kama hatutakunywa chai kwao

nidhamu tuu, nidhamu tu, nidhamu tu...ndio inashinda vita!? ktk shule ya mbinu za kivita sija Iona hiyo!
 
Hizo takwimu sina uhakika nazo,leta chanzo cha uhakika ndio nicomment
 
Embu watuchokoze ndo utakapoona wanatupita au vip ijapo hatuombei ila jesh letu liko vzr sana tena sana.
 
kumbe ndio hivyo..
lakini si vyema kulinadi hili..
Wanyarwanda na Wamalawi pia wapo JF...
 
vita ya sasa akiri kidog ndio inaitajik,ila siraha za kisasa ndio mpango mzim.uwez ukapigan vita pasipo kuw na sirah xa uwakika,izo ndeg wanazopit nazo jwtz ni ndeg za miak mingi san mpak waliotengenez wamesahau kuw walitengenez kitu kam icho.ndeg za sasa ivi inauwezo wa kusimam angani na kutaget sehem husika
 
Back
Top Bottom