Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Hizo ni namba tu ambazo genge la "wahuni" limekaa likaamua kuandaa hizo takwimu..usifanye mchezo na jeshi letu! Nilikuwepo...
Kuwepo si tija
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni namba tu ambazo genge la "wahuni" limekaa likaamua kuandaa hizo takwimu..usifanye mchezo na jeshi letu! Nilikuwepo...
Tanzania tumezidiwa kila kitu kasoro unafiki tu kwasababu ya umbumbumbu wa serikali ya CCM.
Natafuta pikipiki ya kununua ila iwe used ya hali nzuri mawasiliano#0763744181
never in a thousand years terrorism ni vita vya kichinichini hamjui wakati watatokelezea ww bumbu
Mkuu Amka,Kutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.
Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya & Uganda.
===============================
African Powers Ranked by Military Strength - 2015
Mkuu usiongee sana, hili jambo ni nyeti mno. Uwezo wa kila jeshi ni siri nzito kwa jeshi lenyewe, hao wanaleta hizo rankings ni sawa na wapiga ramli tu. DRC tumewasaidia kuwaondoa M23 eti nao leo wako na nguvu kuliko sisi. Ni vyema Africa na Dunia ikaamini kuwa TZ ina jeshi dhaifu halafu mtu aingie kichwa kichwa akione cha moto.
Mungu ibariki Tanzania.
Mkuu Amka,
Nafikiri umeona jinsi ambavyo tumeistukia CCM kwamba walikuwa wakituburuza miaka yooote hiyo kwa kuwa tu watu walikuwa wamelala hawajui chochote,sasa hivi watu wamesoma,wafuatiliaji wa mambo na Bbongo zinachemka haswa ona ccm inavyoumbuka hadi wanaamua kutumia mbinu chafu wazi wazi ili kuendelea kutawala
Lengo langu ni kukujulisha kuwa the Same Scenario applies to the so called western world,for years tulikuwa hatujastukia how they run this world,ila sasa hawatudanganyi.Hizo taarifa hapo juu ni za kupikwa tu kutegemea na una urafiki kiasi gani na wazungu,unafanya nao biashara kiasi gani,There is no way Jeshi la Kenya likawa strong kuliko la Tanzania in any way hata wakenya wenyewe wakiongozwa na rais wao wanalijua hilo,ngoja nitarudi na source lakini kuna mahali nilisoma walimnukuu hata Museveni mwaka jana akisema Kenyan Army is a joke in East Africa at the same time he gave respect to our TZ army japo hakutaka kukiri kuwa tumempita na yeye(hii inaeleweka huwezi kujidharau hata kama ni weak kweli),So amka mkuu sio wakati wa wazungu kutupeleka peleka na mapropaganda yao kwa manufaa yao
Natafuta pikipiki ya kununua ila iwe used ya hali nzuri mawasiliano#0763744181