Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

Imategemeana na source ya info yako, kuna moja niliiona, Tz iko top 10 Afrika!!

Tanzania inashuka katika kila kitu hata jeshi letu limekuwa la kisiasa sana angalia jinsi nafasi za kwenda jeshini zilivyogubikwa na rushwa, kumbuka kauli ya mnadhimu mstaafu wa jeshi GENERALI SHIMBO wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 alipogeuka kuwa kada wa chama tawala wakati sheria haimruhusu, RAIS KIKWETE wakati amealikwa kwenye sherehe za uhuru wa taifa la MSUMBIJI alikiri kuwa uwezo wa jeshi la MSUMBIJI ni mkubwa kuliko alivyokuwa anafikili tunapaswa tujue TANZANIA ni yetu sote tusipinge kila kitu tukidhani ndio uzalendo.
 
Jeshi la kenya linazidiwa nguvu hata na Alshaabab wanaovaa yeboyebo wakati wanapambana na wanajeshi wa kenya.

Nigeria ndio usiseme, kikundi cha boko haram kinatoa kamasi kila siku.

TPDF is a powerful Army in East Africa.
 
Kutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.

Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya & Uganda.

===============================


African Powers Ranked by Military Strength - 2015

Tanzania tumezidiwa kila kitu kasoro unafiki tu kwasababu ya umbumbumbu wa serikali ya CCM.

Hata kama linazidiwa nguvu za kivita, lakini linawazidi wote hao kwa nidhamu, kitu ambacho ni muhimu sana.

Sniper asante kwa kuwaelewesha. kuanzia mleta mada mpaka na wachangiaji wengi hawajaelewa chochote kwenye hiyo content iliyoletwa humu. hii ni aibu kwa taifa kuwa na watu wenye uelewa mdogo kiasi hiki!

kidogo zemasala amejaribu kujiuliza swali logic kidogo based kwa kile alichoongezea mleta mada. at least!


Hizo ni takwimu zilizozingatiwa na nguvu za silaha na budget ya ulinzi, ukubwa wa jeshi na vifaa gani wanavyo kwa mfano angani, baharini, na nchi kavu na sio nguvu ya kupigana
Takwimu na za CIA. Egypt inaongoza duniani kwa bajeti ya ulinzi na ukubwa wa jeshi

Hata DRC sio kweli KABISA HUO NI UFALA TU

Vita si silaha pekee. Maarifa na ujasiri wa wanajeshi vina umuhimu mkubwa.

Kwa nilichokisoma karibuni, angola na ghana ndo nchi zilizoinvest sana last two years kwenye majeshi yao ya anga. Sasa zinazidiwa hadi na zimbabwe wasioweza hata kulipa mishahara hadi tarehe 42!

hizo listi za kwenye madaftari tu, kama hao malofa wanajiweza waombe mechi za kirafiki na sisi

Imategemeana na source ya info yako, kuna moja niliiona, Tz iko top 10 Afrika!!
 
Ashabaab is not a joke Tanzania tunachemshwa mpaka na wahuni wa tanga andeni Kyle acheni utanipa Kenya wako timamu
 
Jeshi la kenya linazidiwa nguvu hata na Alshaabab wanaovaa yeboyebo wakati wanapambana na wanajeshi wa kenya.

Nigeria ndio usiseme, kikundi cha boko haram kinatoa kamasi kila siku.

TPDF is a powerful Army in East Africa.

never in a thousand years terrorism ni vita vya kichinichini hamjui wakati watatokelezea ww bumbu
 
Mfalme mmoja aliwauliza askari wake " mnajua kwanini tutashinda?" hawakujibu.
akawaambia "wao wanapigana wakiwa hawako tayari kufa wakati sisi tutapigana hadi tone letu la dam la mwisho.
 
Ethiopian air line zile Boeing unadhani kiwanda chake kipo Ethiopia?
 
Rank wanaangalia silaha , bajeti ya jeshi, idadi ya personnel,

Lakini kushinda vita ni zaidi ya hapo.
Nidham, umahiri, uvumilivu,,,,, kuwa tayari kumwaga dam kwaajili ya nchi yako. morale ,ushirikiano. uongozi bora... Vipo vingi ambavyo kama hauna itakuwa ni ndoto kwako kuishinda TZ
 
Tanzania inashuka katika kila kitu hata jeshi letu limekuwa la kisiasa sana angalia jinsi nafasi za kwenda jeshini zilivyogubikwa na rushwa, kumbuka kauli ya mnadhimu mstaafu wa jeshi GENERALI SHIMBO wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 alipogeuka kuwa kada wa chama tawala wakati sheria haimruhusu, RAIS KIKWETE wakati amealikwa kwenye sherehe za uhuru wa taifa la MSUMBIJI alikiri kuwa uwezo wa jeshi la MSUMBIJI ni mkubwa kuliko alivyokuwa anafikili tunapaswa tujue TANZANIA ni yetu sote tusipinge kila kitu tukidhani ndio uzalendo.

Unacheza wewe
 

Attachments

  • 1440692232183.jpg
    1440692232183.jpg
    87.1 KB · Views: 207
Tanzania tumezidiwa kila kitu kasoro unafiki tu kwasababu ya umbumbumbu wa serikali ya CCM.

Mkuu siasa acha kwenye mambo ya msingi we unauhakika kenya na uganda kijeshi wametuzidi je unavyo vigezo ya kuvitoa hapa tukavikubali
 
Hiyo yawezakuwa ni kweli. Sisi tunajisifia Mwl. Aliondoka na vitu vyake. Ubunifu wa majeshi yetu ni Zero. Leo hii gari ya jeshi ikiharibika inapelekwa gereji za mtaani.
 
Kenya wametuzidi kwa kila kitu kasoro taarabu na Vigodoro,HASWAHASWA KWENYE UCHUMI:-MIUNDOMINU,ELIMU,AFYA,UTALII,SHIRIKA BORA LA NDEGE,VIWANDA N.K hii nchi tupotupo tu.
 
Hizi takwimu hazina ukweli wowote. Kama kweli Congo wana nguvu kwa kuizidi Tanzania kiasi hicho, ilikuwaje basi wakakung'utwa na M23 kiasi cha kusaidiwa ili kuwashinda?
 
Mwaka 1978, Tanzania ilikuwa na uchumi gani mzuri ? Kwanza ndo ilikuwa na umri wa miaka 17 tangu ipate uhuru, kama ingekuwa binadamu hata kura ilikuwa haina uwezo wa kupiga.


uganda ilikuwa na miaka16
 
Jeshi la kenya linazidiwa nguvu hata na Alshaabab wanaovaa yeboyebo wakati wanapambana na wanajeshi wa kenya.

Nigeria ndio usiseme, kikundi cha boko haram kinatoa kamasi kila siku.

TPDF is a powerful Army in East Africa.

Mkuu usiongee sana, hili jambo ni nyeti mno. Uwezo wa kila jeshi ni siri nzito kwa jeshi lenyewe, hao wanaleta hizo rankings ni sawa na wapiga ramli tu. DRC tumewasaidia kuwaondoa M23 eti nao leo wako na nguvu kuliko sisi. Ni vyema Africa na Dunia ikaamini kuwa TZ ina jeshi dhaifu halafu mtu aingie kichwa kichwa akione cha moto.

Mungu ibariki Tanzania.
 
tz na dhani hata vikundi kama hisbullah au isis au al shabab vinaeza kutuchakaza tukijaribu game kama vingekuwa nchi
 
Back
Top Bottom