kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,075
Kutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.
Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya & Uganda.
===============================
http://www.globalfirepower.com/countries-listing-africa.asp
Wewe kama umelogwa vile jeshi letu lisikiage tu kwa mbali hizo takwimu zenu ni propaganda gusa unase