Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona.

Waandishi hao ni Clinton Isimbu (22) na Kaleria Shadrack (23) wa kituo cha Elimu TV.

TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha Sheria.

A71530CB-4997-4FF4-8E28-74B42904E5EA.jpeg


 
Hamna mambo ya umeme kukatika. Mbona mimi nina umeme?
Naomba wafungwe nyoko zenu!
Kunyaland is in total darkness





















MY TAKE
No wonder there is this witch-hunting on Tanzania over coronavirus from their tabloids claiming to be mainstream nedia but can't talk a thing about this crisis!


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Aibu gani wakati karibia wagonjwa wote waliyoko karantini wanakaribia kupona na watalii washajaza ndege Tayari kwa kuja kutalii mwezi wa nane.yaani hali ni nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwana Uhuru amesema mipaka umefungwa kwa abiria wote sasa hao walifika huko Arusha kama mizigo? na wanafanya kazi ya uandishi wa habari TZ kwa Kibali kutoka kwa nani?

Hio ndio faida ya kukurupuka, watalia na kusaga meno...
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


 
Kamwana Uhuru amesema mipaka umefungwa kwa abiria wote sasa hao walifika huko Arusha kama mizigo? na wanafanya kazi ya uandishi wa habari TZ kwa Kibali kutoka kwa nani?

Hio ndio faida ya kukurupuka, watalia na kusaga meno...
Hiyo tu tayari ni jinai,sneak in and violation of immigration act,ni jela miezi sita,bado hatujaona content iliokuwemo kwenye vitendea kazi vyao
 
Back
Top Bottom