digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
(Kabula) ndo nini?...ndo maana mmefukuzwa kaziMm nimwajiliwa kampun( xx) inayotoa huduma ya chakula katk mgodi wa madin hapa nchin,mwajir kasitisha ajira kwakutangaza and then akaitaj wafanyakaz twende medical ku re-check up bt wafanyakaz tumeshindwa kukubaliana nae coz anadai twende medical and then turud kazin kufanya kaz?,je hii ni sahihi na vp tunaenda medical kabula hatujapewa termination letter???
medical check up kama walivyofanya kabla ya kuajiriwa pia ni vyema kufanya wakati wa kuachana na hiyo ajira ili kujua kama kuna tatizo lolote la kiafya lililosababishwa na hiyo ajiraKama amewaachisha kazi yeye medical check up itamsaidia nini?au kuna kitu sijakielewa hapo?
kabula= kablaMm nimwajiliwa kampun( xx) inayotoa huduma ya chakula katk mgodi wa madin hapa nchin,mwajir kasitisha ajira kwakutangaza and then akaitaj wafanyakaz twende medical ku re-check up bt wafanyakaz tumeshindwa kukubaliana nae coz anadai twende medical and then turud kazin kufanya kaz?,je hii ni sahihi na vp tunaenda medical kabula hatujapewa termination letter???
yule jini mkata kamba kaingilia kati kafanya yake.(Kabula) ndo nini?...ndo maana mmefukuzwa kazi
Medical check up haina umuhimu wowote ukiachishwa kazi, labda km anataka kuwaajiri tena kwa conditions nyingineMm nimwajiliwa kampun( xx) inayotoa huduma ya chakula katk mgodi wa madin hapa nchin,mwajir kasitisha ajira kwakutangaza and then akaitaj wafanyakaz twende medical ku re-check up bt wafanyakaz tumeshindwa kukubaliana nae coz anadai twende medical and then turud kazin kufanya kaz?,je hii ni sahihi na vp tunaenda medical kabula hatujapewa termination letter???