KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Kule kwenye 'platforms (sic) huwa unasikiliza tu au na wewe huchangia mkuu?Shida IPI sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kwenye 'platforms (sic) huwa unasikiliza tu au na wewe huchangia mkuu?Shida IPI sasa
That's in actuality a myth, just like most that are propagated to inflate egos.Bro you are lost and mistaken ...ever heard of human resource?Kenya prides itself for that .we have one of the best human resources in Africa and it's exported all over the world.
Alikosa nauli 😂😂😂Hivi yule jamaa aliyetaka kutoka na taulo kipindi kile kwnd kuwakosoa Knight Frank bado hajafika tu. 😂😂😂😂😂
Yaani wewe kweli ni kiazi aisee.sababu zipi za kisiasa wakati headquaters za ORACLES, GOOGLE, FACEBOOK zote wamekimbilia kenya? siasa gan sasa apa
View attachment 1394889
hizi ni baadhi ya investment tu upande wa tech kenya! i can guarantee you tanzania has a long way to go! Do you know kenya has elecric cars already? self driving cars also! anyway nahitimisha, i have dealt with tech miaka mingi sana and nkikwambia hawa jamaa ni moto wa kuotea mbali i mean it, Tanzania hata zile gari za kuchora google maps hakuna, you cant move along the streets with google maps, whatever utakavochukulia kama ni siasa or whatever but to the level of investment kenya, we have a long way to go
😂😂😂😂 kuna Watanzania walijitolea kumchangia hiyo nauli.Jazba ilikuwa kali sana.Doooh.😂😂😂Alikosa nauli 😂😂😂
Ni sisasa kwa kuwa haya makampuni hayawezi kuwekeza nchi yoyote bila serikali yao kuruhusu. Nchi masikini za Afrika kuwa na hayo makampuni lazima ziwe koloni kwa namna fulani. Pale sheria za nchi hizo zitakapobadilika na kuwa huru kwa wananchi, hayo makampuni yatakimbia.sababu zipi za kisiasa wakati headquaters za ORACLES, GOOGLE, FACEBOOK zote wamekimbilia kenya? siasa gan sasa apa
People still reason like this in the 21st century🧐🧐🧐!!! Kazi iko. What’s with Tanzanians and this Mabeberu vybe? Is it something you are taught in school?Ni sisasa kwa kuwa haya makampuni hayawezi kuwekeza nchi yoyote bila serikali yao kuruhusu. Nchi masikini za Afrika kuwa na hayo makampuni lazima ziwe koloni kwa namna fulani. Pale sheria za nchi hizo zitakapobadilika na kuwa huru kwa wananchi, hayo makampuni yatakimbia.
Your naivety on these matters is beyond measure, so you really think these companies are in kenya because of a conducive environment? If Kenya is such a great country for business, how come you don't have more millionaires than us?People still reason like this in the 21st century🧐🧐🧐!!! Kazi iko. What’s with Tanzanians and this Mabeberu vybe? Is it something you are taught in school?
Ata nimechoka wewe endelea kulaumu mabeberu for every damn thing like you were taught in school. Wacha sisi tuchape kazi na hao hao mabeberu at the end of the day the economic numbers will speak for themselves.Your naivety on these matters is beyond measure, so you really think these companies are in kenya because of a conducive environment? If Kenya is such a great country for business, how come you don't have more millionaires than us?
Yamekushinda jomba...usijali, itabidi umezoea tu lkn lazima tuwape ukwelSasa hapo ndio jambo linashangaza dunia, kwanini Wakenya mnapenda kupika na kubadilisha mambo ambayo yako wazi kabisa
1)Mlima Kilimanjaro upo Kenya
2)Oldivai gorge ipo Kenya
3)Kenya kuna matajiri wengi kuliko Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo mwenzako akakwambia utembee kwanza kabla ya kupayuka mitandaoni..Ndio sababu nikakuambia umsikilize kwa umakini sana Dr. Ndii na usome article zake, uchumi wa Kenya ni Kama wa South Africa na Zimbabwe ya zamani, ambapo Uhuru wao ulibaki wa kisiasa pekee ambapo watu weusi ndio wanaongoza nchi lakini njia nyingi za uzalishaji Mali, hasa ardhi bado zipo mikononi wa wageni na wanasiasa, jambo ambalo EFF wanapigana kulibadilisha, na ANC wameshapeleka muswada bungeni.
Kuhusu gap kati ya masikini na tajiri, duniani kote kuna matajiri Sana na masikini Sana, Marekani kuna Bill Gate akiwa na $80B, Wakati kuna raia wanalala barabarani, lakini bado wanasema pengo Kati ya masikini na matajiri ni dogo, hii ni kwasababu halipimwi kwa kutumia Mtu mmoja mmoja.
Tanzania inaongoza katika nchi zilizo kusini mwa sahara katika Kigezo cha "Economic inclusivity", hii maana yake ni kwamba ushirikishaji wa wananchi, na mgawanyo wa kinachopatikana kwa wananchi wote ni mzuri kuliko nchi zingine, Kenya ni tofauti Sana, 52% ya mapanto ya nchi hutumika kulipa mishahara kwa watumishi wa serikali, ambao ni 2% wa raia wote, sasa huo ni mgawanyo gani?, tena kati ya hao watumishi wa serikali 70% wanataka makabila mawili au matatu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sisasa kwa kuwa haya makampuni hayawezi kuwekeza nchi yoyote bila serikali yao kuruhusu. Nchi masikini za Afrika kuwa na hayo makampuni lazima ziwe koloni kwa namna fulani. Pale sheria za nchi hizo zitakapobadilika na kuwa huru kwa wananchi, hayo makampuni yatakimbia.
Yaani wewe kweli ni kiazi aisee.
Kwa hiyo huu ndio utajiri uliousema ni mkubwa zaidi kushinda uchumi wote wa nchi ya Tanzania?
Kule kwenye 'platforms (sic) huwa unasikiliza tu au na wewe huchangia mkuu?
Nenda kawaambie wale hiyo GDP kama hawatakutoa ngeu.we mbna sio mwelewa? nmesema i have used tech as an example because ndo nliowork nayo! infact tech is even bigger, nkupe mfano,
View attachment 1396842
View attachment 1396843
View attachment 1396844
hii inamaanisha apple itself as a company is more valuable than all east africa combined! revenues za Tanzania from tourism alone ni around $2B, that means kila kitu nchini is less valuable than the company yoyote unayooiona apo!
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
afterall kwani unachobisha ni nn? kwamba Tanzania is rich than kenya ndo unachotaka kusema? thats very easy to prove to you ubishi uishe
Tanzania national budget is around $14.3B
Kenya national budget is around $30B
Mbna very easy apa hakuna mbwembwe zinazohitajik, the budget ni kipimo kizuri cha kujua tu uzito wa pesa kwenye nchi yako, sasa unataka kubisha nn?
Nibishane na wewe usiyejua kitu. Are you kidding, tafuta mpumbavu fulani ukabishane naye, hapo mtakuwa sawa.ata sielewi what are you talking about! ubishi umeisha for good
kwa nini Kenya na siyo Botswana?sio kweli. hizi kampuni hazifanyi kazi tu nchi za arfika, mfano google,facebook,apple ina headquaters nyingi sana duniani. mfano apple wameruhusu china kumanufacture simu zao kwa kutumia viwanda vya china which is very normal, most of the works wanafanya hazihusiani na politics, mfano ya izi nlizokutajia kwa africa hua znatumika kama support centers kwa wateja wao, ina maana unaweza ukawa na tatizo badala ya kwenda mpaka headquaters marekani ukapata msaada tu apo apo kwenye branch!
Tuletee na takwimu za za sasa za real GDP (PPP)we mbna sio mwelewa? nmesema i have used tech as an example because ndo nliowork nayo! infact tech is even bigger, nkupe mfano,
View attachment 1396842
View attachment 1396843
Nenda kawaambie wale hiyo GDP kama hawatakutoa ngeu.
Ndio maana nakwambia unaupungufu mkubwa katika uelewa wa haya mambo ya maendeleo.
Nibishane na wewe usiyejua kitu. Are you kidding, tafuta mpumbavu fulani ukabishane naye, hapo mtakuwa sawa.
kwa nini Kenya na siyo Botswana?
Tuletee na takwimu za za sasa za real GDP (PPP)