inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ni halali,serikali inatoa vibali na kukusanya kodiHalali kwa misingi ya uhalali wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni halali,serikali inatoa vibali na kukusanya kodiHalali kwa misingi ya uhalali wake.
Inasikitisha sana unapoona chombo kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi kinajihusisha na masuala ya kamari. TBC ndio waasisi wa kamari hapa nchini chini ya maelekezo ya CCM; ndio walikuwa wa kwanza kuchezesha kamari kwenye TV kwa jina la 'vunavuna' na waliwavuna kweli watanzania kabla ya wananchi kushtuka na kuachana na huo ushetani.Tbc a media state wakihimiza cheza pesa. Sijui madam boss ten sijui djaro arungu.. n.k. for sure tupo kwenye vicious cycle [emoji22]
Hii dhambi imeenezwa na CCM hadi kijijini. Wananchi wanatopea kwenye umasikini lakini hata ile Tsh 200 waliyobaki nayo kujikusuru na ukali wa maisha, CCM wanaimezea mate na kuichukua. Inauma sana.Illiteracy IPO kubwa Tanzania,inasikitisha sana kuona vijijini mpaka zile 200Tsh zao watu wanazitamani Kwa kuwaketea madude kama haya.
View attachment 2665574
Pombe inasababisha utajiri!?Kukusanya kodi na kufilisi wananchi na kuwasababishia uteja kipi bora?
Inakera mno tena sana. Na kibaya zaidi kamari inachezeshwa 24/7. Hii nchi CCM wameiharibu sana. Itachukua miaka 100 kusahihisha huu uraibu ulioingizwa vichwani mwa watanzania. Sijawahi kuona uongozi wa kiqumer hapa ulimwenguni kama uongozi wa CCM. Hawa jamaa ni zaidi ya mbwa!kwakweli hili tama mimi nilkuwa naliwaza mnoo. yaani tbc redios mdq wote wanahimiza kamali badala ya kuhimiza watu wafanye kazi. inakera mnoo mnoo. viongozi ebu mwambie huyo mkurugenzi wa tbc kama hawezi kazi aondoke mara moja mjinga mmoja tu. tunajenga taifa gani hili?
Tatizo wacheza kamari wanatukwaza kwa kutuibia mali na kutukaba kutupora pesa ili wapate pesa ya kuchezea kamari. Wewe huoni hili ni tatizo mkuu?Kila mtu afanye kile anachodhani kwake kitampa maisha na faraja ilimradi tu usimkwaze mwingine na kuvunja sheria.
Hawa vijana wadogo, wengine under 18, wanaoharibiwa na betting sio uchaguzi wao bali wamemasikinishwa na CCM hadi wakawa hawana chaguo lingine zaidi ya kujiingiza kwenye betting.Kila mtu atavuna alichopanda,kama wao wamepanda mbegu ya betting basi watavuna betting,na wewe kama umepanda kutobetting basi utavuna kuto betting!.
Asante mkuu kwa kugundua hili. Wazazi inabidi wachukue maamuzi ya kuwazuia watoto wao wasijiingize kwenye kamari kwa kuwa lengo la serikali ni kuharibu kizazi cha vijana kwa kuwabetisha kamari ili waendelee kukaa madarakani. Inauma sana.Kamari imeharibu vijana. Wengi wanapenda sana mtelemko. Kamari imezaa vibaka wengi mitaani wana ulaibu kuliko hata watumiaji wa mihadarati. Wazazi tushituke. Tuwafanyie concealing vijana wetu.
We fanya yako usiingilie maisha ya watuHawo unaojifananisha nao wanalingana na wewe kiuchumi au unataka kutetea ujinga kwa hoja dhaifu?
Mbona sisi raia wacheza kamari wanaingilia maisha yetu kwa kutukaba na kutunyanganya fedha za kuchezea kamari? Ina maana mpaka hapo hujaona madhara ya kamari kwenye jamii au mpaka uje upigwe roba uvunjwe meno ndipo ujue ubaya wa kamari?We fanya yako usiingilie maisha ya watu
BiLa shaka,siwezi kupingaAsante sana mkuu. Hili jambo nimelifanyia utafiti yakinifu kabla ya kulileta kwa walaji hapa JF.