Tanzania limekuwa taifa la wacheza kamari (Tanbet)

Tanzania limekuwa taifa la wacheza kamari (Tanbet)

Mbona sisi raia wacheza kamari wanaingilia maisha yetu kwa kutukaba na kutunyanganya fedha za kuchezea kamari? Ina maana mpaka hapo hujaona madhara ya kamari kwenye jamii au mpaka uje upigwe roba uvunjwe meno ndipo ujue ubaya wa kamari?
Una ushahidi wote wanaokaba ni wacheza kamari? Je kamari ikifutwa ukabaji utaisha/kupungua?
 
Una ushahidi wote wanaokaba ni wacheza kamari? Je kamari ikifutwa ukabaji utaisha/kupungua?
Kamari kama bangi au madawa mengine ya kulevya yanayochochea uraibu kwa vijana, nayo ina mchango mkubwa kwenye uzalishaji wa mateja wa kamari ambao wakiishiwa fedha huwakaba raia ili wapate fedha za kuchezea kamari.
 
20230609_125703.jpg
 
Wacha watu wabet tuu kwanza wanasaidia sectir ya michezo hela inarudi tuu kwa jamii. Ambaye anabet unue ana hela. Kama huna hela huwezi kubet
Mkuu mbona unatetea udhalimu wa CCM? Kama kubet ni utajiri mbona Mo na Bakhresaa hawabet?
 
Mitaani ili hela ya kamari ipatikane... Uraibu upo ila kukaba not that sure
Kukaba kupo mkuu. Kumbuka vijana wengi wanashinda na kukesha kwenye kamari; hawana njia ya kuwaingizia kipato. Wakiishiwa hela lazima wakabe ili wapate pesa ya kuchezea kamari.
 
Kukaba kupo mkuu. Kumbuka vijana wengi wanashinda na kukesha kwenye kamari; hawana njia ya kuwaingizia kipato. Wakiishiwa hela lazima wakabe ili wapate pesa ya kuchezea kamari.
Okay. Lakini usitegemee serikali ifute kamari. Pesa ina nguvu sana
 
Back
Top Bottom