Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

Kukosa pesa mkuu. Mwajiriwa kapewa na ofisi m7 mkopo anataka anunue gari na chenji ibaki.
Ni sawa hali zetu tunazifahamu lakini kabla hajachukua huo mkopo kwanini asidundulize kwanza hicho kiasi kilichobaki cha milioni 3 halafu ndo achukuwe mkopo wa milioni 7, sababu akinunua hiyo gari kwa mtu kwa milioni 7 au chini ya milioni 7 atajiingiza katika ulipaji wa mkopo mara mbili. Gari ya kununua kwa mtu nyingi ni pasua kichwa ingawa sio zote, tena uzuri wa hawa SBT au beforward haulipi pesa yote mpaka pindi gari yako itakapofika Bandarini ndo unaenda kumalizia gharama za ushuru ila cha kwanza utakamilisha taratibu za CIF tu, gharama za ushuru unalipa gari ikishaingia nchini.
 
Ni sawa hali zetu tunazifahamu lakini kabla hajachukua huo mkopo kwanini asidundulize kwanza hicho kiasi kilichobaki cha milioni 3 halafu ndo achukuwe mkopo wa milioni 7, sababu akinunua hiyo gari kwa mtu kwa milioni 7 au chini ya milioni 7 atajiingiza katika ulipaji wa mkopo mara mbili. Gari ya kununua kwa mtu nyingi ni pasua kichwa ingawa sio zote, tena uzuri wa hawa SBT au beforward haulipi pesa yote mpaka pindi gari yako itakapofika Bandarini ndo unaenda kumalizia gharama za ushuru ila cha kwanza utakamilisha taratibu za CIF tu, gharama za ushuru unalipa gari ikishaingia nchini.
Kweli mkuu
 
Ila Mkuu reg # dd ni 5 years back ndo iliingia nchini, 7.8m+ ni tofauti ya 3m kwa gari aina hiyo hiyo Japan na ushuru umelipa. Ni kwann gari imeshakaa 3years to 4 years plus nchini ila zinakuwa na bei karibu sana na gari mpya plus ushuru? Hii price value huwa inatokana na nn?
Gari ndogo ndogo resale value ipo juu maana zina soko na watu wanazitafuta sana sababu hazili mafuta. Gari kama Brevis, mark x watu wanaziogopa maana zinakula mafuta na matengenezo yapo juu so sokoni demand sio kubwa na bei zipo chini. Mark x unanunua 15M au zaidi kuuza around 7
 
Gari ndogo ndogo resale value ipo juu maana zina soko na watu wanazitafuta sana sababu hazili mafuta. Gari kama Brevis, mark x watu wanaziogopa maana zinakula mafuta na matengenezo yapo juu so sokoni demand sio kubwa na bei zipo chini. Mark x unanunua 15M au zaidi kuuza around 7
Okey mkuu. Nimekuelewa.
 
Gari ndogo ndogo resale value ipo juu maana zina soko na watu wanazitafuta sana sababu hazili mafuta. Gari kama Brevis, mark x watu wanaziogopa maana zinakula mafuta na matengenezo yapo juu so sokoni demand sio kubwa na bei zipo chini. Mark x unanunua 15M au zaidi kuuza around 7
GARI YA KUNUNUA KWA MTU KWA HAPA KWETU TANZANIA NI MAJANGA TU JAMAA YANGU KWANZA UTAPIGWA BEI, PILI UIMARA WA HICHO CHOMBO BADO HUKO MASHAKANI, SIWEZI MSHAURI MTU ANUNUE GARI KWA MTU LABDA KAMA UNAUZIWA NA NDUGU AU JAMAA WA KARIBU, LKN WALIOBAKI HAWEZI KUKWAMBIA UKWELI KWANINI ANAUZA HIYO GARI.
 
Ila Mkuu reg # dd ni 5 years back ndo iliingia nchini, 7.8m+ ni tofauti ya 3m kwa gari aina hiyo hiyo Japan na ushuru umelipa. Ni kwann gari imeshakaa 3years to 4 years plus nchini ila zinakuwa na bei karibu sana na gari mpya plus ushuru? Hii price value huwa inatokana na nn?
SA SI UAGIZE NA WEWE???
 
Jazba.....
Niliuliza ili nipate majibu na nimeyapata kuwa si magari ya aina zote ni baadhi tu kama ist, runx na raum ndo yapo juu sababu ya demand.
Kwa bei hiyo umeambiwa yapo?? we unataka kulinganisha ni ya ng'ambo?
 
Wanaoharibu hizi biashara ni madalali mkuu wapuuzi sana wanataka piga cha juu kikubwa kuzidi hata muuzaji.....
 
Na wauzaji wa magari mapya yaliyotumika nje, si wanapata changamoto sana kushindana na bei hizi za magari yaliyotumika hapa?
Hakuna Changamoto hapo...ndiyo wanafaidi zaidi, maana wengi watataka kununu ya nje. Isije ikawa wao ndiyo wanafanya magari yaliyotumika ndani yawe ya bei juu!? Ili wao waendelee kuangiza...( Maelezo yangu haya yanategemea kama nimemuelewa sawasawa mleta mada!)
 
Hizo gari zenye cc ndogo zinagombaniwa mno kutokana na ubahili wa kuweka mafuta, chanzo kikubwa ni ubahili wa mafuta, kaulizie gari yenye CC 3000, hata kama ina mwaka tu, unapata kwa hiyo 6.5m
 
Mleta mada Hebu tueleze kwanza wewe ungenunua IST toka nje ikakucost max 11.5mil
ukaitumia let's say miaka mitatu,
ukitaka kuiuza utafanya bei gani.
Ili tuone kama na wewe huna double standard
Au umenunua Landcruiser V8 2020 total
coast 179 mil
ushuru ikafika 106 mil
Jumla 281mil

Ukitaka kuiuza baada ya miaka 5 utauzaje?
By the way ushuru wa magari kwa Tz ni mkubwa sana unaumiza, yani gari mamlaka zetu zinasoma kama anasa au ndio ile sera ushuru uwe mkubwa kupunguza importation wakati sisi humu ndani hatutengenezi magari.

Lakini sio makosa ya muuzaji. Shida iko hapa

Kuna watu kufikiri kwao kuko chini sana wanaangalia kupiga pesa leo tu.

Ukiweka ushuru chini importation ya magari itakua kubwa
THUS
1. Clearing agent watapata pesa

2. Wauzaji wa petrol watauza zaidi, (utapata Kodi itakayozalishwa na kuuza petrol ndani na kodi ya kuingiza petrol toka nje), Ajira za wauza petrol station

3. Wauza matairi, vipuri, waosha magari,

Hivi ni baadhi ya vitu tu ambavyo vita-inject income kwa Central government.

Na ushuru huu kama ukipunguza wa uingizaji bidhaa nyingine tena kama nguo, viatu, (bidhaa zote zinazoagizwa nje) utaongeza wigo wa wafanyabiashara kupunguza bei na kuwauzia nchi jirani yani badala ya sisi kwenda Uganda kununua chupi na sidiria, Waganda ndio waje kwetu kununua

But kwa sasa hivi sisi tunakwenda kununua Uganda baada ya wao kupitisha mizigo yao hapa bandarini kwetu. Silly

Amin nakwambia bandari yetu ina uwezo wa kuilisha nchi bila kutegemea hata ndege.

Kwa waliosomea biashara

Law of maximizing sales
Sales maximisation is a theoretical objective of a firm which involves selling as many units of a good or service as possible, without making a loss. This means sacrificing some short-term profit with a view to achieving a longer term gain.

You reduce price--You raise sales---Higher profit at a short period of time

Higher price--lower sales--higher profit after a long period.

Nilikimbia IFM kwa sup lakini nilitoka na kitu
Mimi nadhani waongeze ushuru mara mara 10 zaidi, halafu watoe msamaha wa kodi wa miaka mi5 kwa waunganishaji magari (assembly plant) watakaotaka kuja kuanzisha kiwanda, tukiona bado hawataki kuja tunaongeza tena mara 2 yake, hivyo hivyo, hadi kieleweke, tukishapatavile technology transfer, tunaunda wenyewe
 
Mimi nadhani waongeze ushuru mara mara 10 zaidi, halafu watoe msamaha wa kodi wa miaka mi5 kwa waunganishaji magari (assembly plant) watakaotaka kuja kuanzisha kiwanda, tukiona bado hawataki kuja tunaongeza tena mara 2 yake, hivyo hivyo, hadi kieleweke, tukishapatavile technology transfer, tunaunda wenyewe
Hio assembly plant watuuzie bei zilezile kama tununuavyo mtumba. Kuwe na gari za 10M to 15M vinginevyo kiwanda kitakuwa useless.

Kama itashindikana watuachie mfumo huu huu wa kununua gari chakavu zilizo katik kiwango kinachokbalika
 
Hizo gari zenye cc ndogo zinagombaniwa mno kutokana na ubahili wa kuweka mafuta, chanzo kikubwa ni ubahili wa mafuta, kaulizie gari yenye CC 3000, hata kama ina mwaka tu, unapata kwa hiyo 6.5m
Lazma iwe hivyo maana kinachopendwa sokoni ndo chenye thamani siku zote iko hivyo.

Na ndio maana ni rahisi mtu kulanguliwa kwenye uuzaji wa toyota IST kuliko kwenye gari kama Crown,Brevis au Mark X. Dalali anatoa bei ya kuropoka gari ikiwa IST number D hata kama ni gari ya 2015 utalabuliwa 8.5M wakati thamani ya gari hio hio kwa kuagiza ni 10.5M! Kimsingi kwa miaka iliotumika hio gari ilipaswa iuzwe hata 4.5M ila tatizo ni nguvu ya soko.
 
Hizo gari zenye cc ndogo zinagombaniwa mno kutokana na ubahili wa kuweka mafuta, chanzo kikubwa ni ubahili wa mafuta, kaulizie gari yenye CC 3000, hata kama ina mwaka tu, unapata kwa hiyo 6.5m
Mkuu upo sahihi sana, mfano x Nissan Xtray No D unaipata kwa mpaka M 6 mkononi, au Bravis, lakin gari zenye kutakiwa na watu wengi ni low fuel consumption ambazo na bei sasa ibakuwa juu, mfano IST,Allex, Suzuk Jimmy nk
 
Binafsi nilitaka kununua Altezza lakini bei ilikua kuanzia m7.5 na kuendelea wengine wanaweka m8.8..nikaona wakati unakuta Altezza ya 1998-1999 ushuru wake ni m3.97 za 2000-2001 ni 4.2m-4.45 nikaona isiwe tabu ngoja nivute mwenyewe
 
Hakuna Changamoto hapo...ndiyo wanafaidi zaidi, maana wengi watataka kununu ya nje. Isije ikawa wao ndiyo wanafanya magari yaliyotumika ndani yawe ya bei juu!? Ili wao waendelee kuangiza...( Maelezo yangu haya yanategemea kama nimemuelewa sawasawa mleta mada!)
Nimeelewa sana tu. Hii biashara ni nzuri maana gari haliozi.
 
Back
Top Bottom