Mleta mada Hebu tueleze kwanza wewe ungenunua IST toka nje ikakucost max 11.5mil
ukaitumia let's say miaka mitatu,
ukitaka kuiuza utafanya bei gani.
Ili tuone kama na wewe huna double standard
Au umenunua Landcruiser V8 2020 total
coast 179 mil
ushuru ikafika 106 mil
Jumla 281mil
Ukitaka kuiuza baada ya miaka 5 utauzaje?
By the way ushuru wa magari kwa Tz ni mkubwa sana unaumiza, yani gari mamlaka zetu zinasoma kama anasa au ndio ile sera ushuru uwe mkubwa kupunguza importation wakati sisi humu ndani hatutengenezi magari.
Lakini sio makosa ya muuzaji. Shida iko hapa
Kuna watu kufikiri kwao kuko chini sana wanaangalia kupiga pesa leo tu.
Ukiweka ushuru chini importation ya magari itakua kubwa
THUS
1. Clearing agent watapata pesa
2. Wauzaji wa petrol watauza zaidi, (utapata Kodi itakayozalishwa na kuuza petrol ndani na kodi ya kuingiza petrol toka nje), Ajira za wauza petrol station
3. Wauza matairi, vipuri, waosha magari,
Hivi ni baadhi ya vitu tu ambavyo vita-inject income kwa Central government.
Na ushuru huu kama ukipunguza wa uingizaji bidhaa nyingine tena kama nguo, viatu, (bidhaa zote zinazoagizwa nje) utaongeza wigo wa wafanyabiashara kupunguza bei na kuwauzia nchi jirani yani badala ya sisi kwenda Uganda kununua chupi na sidiria, Waganda ndio waje kwetu kununua
But kwa sasa hivi sisi tunakwenda kununua Uganda baada ya wao kupitisha mizigo yao hapa bandarini kwetu. Silly
Amin nakwambia bandari yetu ina uwezo wa kuilisha nchi bila kutegemea hata ndege.
Kwa waliosomea biashara
Law of maximizing sales
Sales maximisation is a theoretical objective of a firm which involves selling as many units of a good or service as possible, without making a loss. This means sacrificing some short-term profit with a view to achieving a longer term gain.
You reduce price--You raise sales---Higher profit at a short period of time
Higher price--lower sales--higher profit after a long period.
Nilikimbia IFM kwa sup lakini nilitoka na kitu