Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Shida Iko wapi? Ni rahisi Sana na tunapata umeme wa milele. Yatolewa hapo yalipo yanatengenezewa slope na bwawa jingine artificial
Ni ngumu kutengeneza slope..
Slope ipo upande maji yanapotokea kule Uganda
 
Ni ngumu kutengeneza slope..
Slope ipo upande maji yanapotokea kule Uganda
Umayatoa na kwenda kutengeneza bwawa Lingine artificial hapo ndio unayatengenezea slop. Kwani haiwezekani maji haya kufika bwawa na mtera au hili kipya la Nyerere? Kama inawezekana basi Mwanza, kagera au mara linaweza kutengenezwa hydroelectric dam kwa kutumia maji ya ziwa victoria
 
Umayatoa na kwenda kutengeneza bwawa Lingine artificial hapo ndio unayatengenezea slop. Kwani haiwezekani maji haya kufika bwawa na mtera au hili kipya la Nyerere? Kama inawezekana basi Mwanza, kagera au mara linaweza kutengenezwa hydroelectric dam kwa kutumia maji ya ziwa victoria
Maji kutoka ziwa Victoria ndio kwanza yapo Tabora.. na hapo zinatumika pump ..

Mkuu pia jua maji yana kitu kinaitwa current... Yaani ukisema utengeneze bwawa artificial.. Lazima utengeneze mkondo... Ili yasiache kuja..
Utajikuta unatumia nguvu kubwa kuyasukuma yaende sehemu ambayo sio asili yake.. Kisha yakifika huko yakijaa uyatafitie njia nyingine ya kutoka.. Ni kazi kubwa..

Kwa Tanzania ni umeme wa gesi, joto ardhi, upepo.. Baadae hata uranium itatumika...
Lakini maji ni matatizo matupu mito mingi imepungukiwa na maji...

Uganda na Ethiopia wana current ya maji ya kutosha ambapo kwao umeme wa maji ni uhakika tofauti na sisi
 
Tuna viongozi ambao upeo wao wa kufikiri umefika mwisho, Kama wanaweza kukopa bilioni 70 kwa ajili ya njia za umeme ni aibu kwa Taifa. Diplomasia yetu no ya uchumi, wakiongea na mrusi anaweza kutengeneza umeme wa nyuklia kwa Bei rahisi, Rwanda, Kenya wote wanakimbilia huko.
Nilimsikia His excellence Kagame akielezea mkakati wake wa vyungu vya nyuklia Kwa ajili ya uchakataji umeme,I hope project ikikamilika Tanzania tutakuwa wateja wao nambari one
 
Hakuna adui tulienae mkubwa ndani ya nchi hii zaidi ya CCM. Bora tungemuacha mzungu aendelee kutawala kuliko hawa panya road.
SEMA sioni watu WA maana wakuwapa nchi, chadema yamejaa majambawazi tuu, act no hope , CCM angalau
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1715100841084940698?t=KkD_rz63F4D1151H6ZvFJw&s=19
 
Back
Top Bottom