Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Kwanini tununue wakati vyanzo tunavyo? Wakati ethiopia wanajenga 10,000mw sie tunajenga 2000mw.

Uganda na Bukina faso wanajenga 15,000mw kila mmoja sie tunawaza kuagiza kutoka ethiopia, makubwa!
Inasikitisha na kufikirisha sana!🙁
 
1. Tuliambiwa Bwawa la mwalimu Nyerere likikamilika, Bei ya umeme itashuka na tutauza mwingine nje ili kuongeza pato la Taifa.

2. Bwawa lilipokamilika tukaambiwa Bei ya umeme haitashuka kwa sababu nyongeza ya umeme itauzwa nje ya nchi.

3. Ghafla tunamuona Mtoto wa boss na rais Museveni, tukaambiwa wanajadili namna ya kujenga kituo shirikishi Cha umeme ili watu wa Kagera wapate umeme Bei nafuu.

4. Leo tena tunaambiwa tutanunua umeme wa Ethiopia ili kukidhi mahitaji ya ndani.

CCM 🖕🏿
Mkuu haingii akilini hata kidogo!
 
energies-14-03360-g001.png
Huo ndiyo mchanganuo wa vyanzo vya umeme kwenye gridi ya taifa Ethiopia (2019) ambayo inauzia majirani zake!

Hapa kwetu kuna "wadau" walikuwa wanakandia mradi wa HEP at umeme wa maji umepitwa wakati.

Leo nimesikia mnajisifia REA kuunganisha 90% ya vijiji badala ya kututajia idadi ya kaya kwenye hivyo vijiji!

Si tuliambiwa lengo la sensa ni serikali kupata taarifa za watu na makazi kwa ajili ya kuwapatia maendeleo,mbona hamzitumii hizo takwimu sasa?
 
Kichekesho. Nchi inayojidai itaanza kuuza umeme nje inazungumza wakati huo huo kununua umeme kutoka nje. Nchi haiwezi kabisa kuendelea ikiongozwa na wapigaji. Kuuza au kununua umeme yote inasukumwa na upigaji tu. Hakuna msukumo wa maslahi ya umma.
Nchi imewekeza sana umeme wa gesi na sasa bwawa la nyerere tunategea ndio limalize shida ya umeme. Kabla ya hapo jk aliliambia taifa gesi ndio ilikua muarobaini wa upungufu wa umeme na tatizo litakua historia. Sijui nini kilimtuma kudanganya taifa.
Kwa ufupi wapigaji ni watu waovu sana. Hawafai kuongoza nchi hata kwa tone. Tulibahatika kua na jpm hatutomsahau milele.
Mkuu ukiwa na chuki usikose kumbukumbu, makubaliano ya kununua umeme kutoka Ethiopia hayakufanywa na Rais Samia wala Ndugu Kikwete.

Mkuu yalifanywa na Ndugu Magufuli Tarehe 04.04.2017 wakati Waziri Mkuu wa Ethiopia alpoitembelea Tanzania. Kama kuna mtu wa kulaumiwa kuhusu hii biashara ni Magufuli parse!
 
Mkuu ukiwa na chuki usikose kumbukumbu, makubaliano ya kununua umeme kutoka Ethiopia hayakufanywa na Rais Samia wala Ndugu Kikwete.

Mkuu yalifanywa na Ndugu Magufuli Tarehe 04.04.2017 wakati Waziri Mkuu wa Ethiopia alpoitembelea Tanzania. Kama kuna mtu wa kulaumiwa kuhusu hii biashara ni Magufuli parse!
Jpm atatakasa kila dhambi
 
Nchi yetu, ni nchi ya punguani. Ukiwa punguani hata ukajengewa daraja, utapita kusiko na daraja, kwenye maji ya kina kirefu, na kuteketea kwa kuzama.

Ukinyimwa akili, umenyimwa kila kitu hata kama utakuwa umezungukwa na kila aina ya neema.
Hivi ni Kweli tumenyimwa akili au TUNAJITOA AKILI?na kuweka tamaa mbele?
 
Ni mambo ya ajabu na aibu sana,sio kutamka Bali hata kupata tu Hilo wazo la kwenda kununua Huo umeme Ethiopia
Tuna viongozi ambao upeo wao wa kufikiri umefika mwisho, Kama wanaweza kukopa bilioni 70 kwa ajili ya njia za umeme ni aibu kwa Taifa. Diplomasia yetu no ya uchumi, wakiongea na mrusi anaweza kutengeneza umeme wa nyuklia kwa Bei rahisi, Rwanda, Kenya wote wanakimbilia huko.
 
Kwanini tununue wakati vyanzo tunavyo? Wakati ethiopia wanajenga 10,000mw sie tunajenga 2000mw.

Uganda na Bukina faso wanajenga 15,000mw kila mmoja sie tunawaza kuagiza kutoka ethiopia, makubwa!
Mmmmh karudie data za ethiopia tena, wamejenga kubwa kuliko sisi.
 
Ethiopia wanatumia maji ya mto nile unaoanzian ziwa Victoria lisilokauka kutengeneza umeme. Sisi ziwa lipo kwetu tunasubiri mvua zinyeshe vijaze mito ya pwani kufuata umeme huku tukiogopa ziwa letu kwa mkataba wa misri na izrael eti tusitumie maji hayo bila kibali Chao , wao wanazalishia umeme, wanafanya kilimo Cha umwagiliaji ila sisi tunavua dagaa ,mumwi na degere tuu
 
Badala ya Kununua Umeme wafanye mbinu ya Kununua Akili na Maarifa ya hao watunga Sera au Tukodishe viongozi toka nje tuwape contract (waliopo hakuna value for money tunazowalipa)
 
Ethiopia wanatumia maji ya mto nile unaoanzian ziwa Victoria lisilokauka kutengeneza umeme. Sisi ziwa lipo kwetu tunasubiri mvua zinyeshe vijaze mito ya pwani kufuata umeme huku tukiogopa ziwa letu kwa mkataba wa misri na izrael eti tusitumie maji hayo bila kibali Chao , wao wanazalishia umeme, wanafanya kilimo Cha umwagiliaji ila sisi tunavua dagaa ,mumwi na degere tuu
Kwa hiyo mkuu unataka kusema Tanzania tunaweza kuzalisha umeme kupitia ziwa Victoria?

Haya nimaajabu...!!
 
Kwa hiyo mkuu unataka kusema Tanzania tunaweza kuzalisha umeme kupitia ziwa Victoria?

Haya nimaajabu...!!
Shida Iko wapi? Ni rahisi Sana na tunapata umeme wa milele. Yatolewa hapo yalipo yanatengenezewa slope na bwawa jingine artificial
 
Back
Top Bottom