Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

1. Tuliambiwa Bwawa la mwalimu Nyerere likikamilika, Bei ya umeme itashuka na tutauza mwingine nje ili kuongeza pato la Taifa.

2. Bwawa lilipokamilika tukaambiwa Bei ya umeme haitashuka kwa sababu nyongeza ya umeme itauzwa nje ya nchi.

3. Ghafla tunamuona Mtoto wa boss na rais Museveni, tukaambiwa wanajadili namna ya kujenga kituo shirikishi Cha umeme ili watu wa Kagera wapate umeme Bei nafuu.

4. Leo tena tunaambiwa tutanunua umeme wa Ethiopia ili kukidhi mahitaji ya ndani.

CCM 🖕🏿
Hivi bwawa limeshajaa maji? Au zile tetesi za bwawa kupasuka nyufa ni za kweli? Muhongo alisema tunazalisha umeme mw 1750 na matumizi yetu ni mw 1350, hapo ni nje ya kinyerezi I and II. Leo tuna nunua kutoka huko, yakitukumba ya Niger tusipayuke, wakisema fulani asipokuwa rais tunazima umeme itakuwaje?
 
Issue siyo wingi wa maziwa na mito, issue ni flow ya kutosha ya maji pamoja na height drop (how far the water falls) ili pessure ya maji iweze kuzungusha turbines za kuzalisha umeme.
Ndiyo maana huwezi kukuta hydrostations kule Ziwa Victoria.
Kwahiyo rusumo hydropower inatoa maji msumbiji? Jinja maji yanatoka wapi? We kenge kalale
 
Hii nchi hata kuiombea Dua ni sawa na kupoteza muda
VIHEREHERE CHADEMA NAONA WAMEPATA PAHALA PA KUTUKANIA,
Hao Ethiopia uzalishaji wao ni mkubwa mno wapo kwenye GW, sisi na Nyerere dam yetu tutapata 2115mw, nimesikitika wakenya kwa dependence yao ya 70%,Tanzania watuletee hakuna ubaya tukawa na reserve, lakini usizidi 20%.
 
Issue hapo ni upigaji,mama alichokosea ni kuwasogeza na kuwakumbatia wale wasio na huruma na maisha ya watanzania,nchi inaenda kununua umeme ethiopia wakati huo huo kuna dam kama la ethiopia linajengwq rufiji na kwa madai yao umeme utakaopatikana pale rufiji utauzwa nje ya nchi na hapa ndani bei ya umeme aitoshuka!
Nchi imezungukwa na mchwa.
 
Issue siyo wingi wa maziwa na mito, issue ni flow ya kutosha ya maji pamoja na height drop (how far the water falls) ili pessure ya maji iweze kuzungusha turbines za kuzalisha umeme.
Ndiyo maana huwezi kukuta hydrostations kule Ziwa Victoria.
Sawa mtaalam
 
Ndio utajua Tanzania ni comedian,maana nchi imezungukwa na maziwa makuu,mito,maporomoko kila Kona ila umeme utanunuliwa toka Kushi.
Nchi yetu, ni nchi ya punguani. Ukiwa punguani hata ukajengewa daraja, utapita kusiko na daraja, kwenye maji ya kina kirefu, na kuteketea kwa kuzama.

Ukinyimwa akili, umenyimwa kila kitu hata kama utakuwa umezungukwa na kila aina ya neema.
 
Hivi sisi kama nchi tunaweza kwenye nini hasa!
Tunaongoza kwa ushirikina. Tunaweza sana kuiba kura, kubambikia kesi wanaokosoa CCM, Rais na Serikali yake, na ufisadi wa kidogo kinachopatikana. Na unafiki wa kusifia kila kotu kinachofanywa na mtawala hata kama kitakuwa hakina maana.
 
Me naona tatizo sio CCM, tatizo ni malezi tuliyo pitia utotoni.
Hapo hata akiingia nani kutawala, kama ni mtanzania basi tegemea mambo kutobadilika.

Kuna kipindi hisia zinaniambia wenda huu uhuru wakwenye makaratasi ndio chanzo cha haya yote.
Naunga mkono, nazan tatizo la kwanza ni elimu tunapewa shule, tatizo la pili ni elimu xa din maana tumeshuhudia viongoz w wadini wanagiki kupita maelezo. Na tatizo la tatu ni malez kama ulivyosema tangu tukiwa watoto, japo huwez acha chama tawala jins kinatumia nguvu kubwa ku deal na tuvitu badala ya mavitu.
 
Mjilaumu wenyewe, nyie ndio mnachagua mandondocha na vibaka wawatawale.
Nchi hii imejaa mataahira
 
Poor poor Tanzania my country!

Hivi mbona niliwapa ushauri wa Safi kabisa!!?

Bas poa
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Za
 
Kwahiyo rusumo hydropower inatoa maji msumbiji? Jinja maji yanatoka wapi? We kenge kalale
Dogo, Hili ndilo tatizo la kukurupuka!
Your comment is completely irrelevant; yawezekana hata ulichoandika hukijuhi.
Narudia kwa mara ya mwisho.
Nimeandika kwamba, kumiliki mito mingi au maziwa mengi siyo suluhisho la kupata umeme wa kutosha, inategemea.
Kuna factors nyingi zinazoangaliwa wakati wa kujenga hydropower plants.
Moja ya factors ni kuwa na upland gradients pale HEP schemes zilipolengwa kujengwa.
Inahitajika a height difference to make the turbine work.
Hii ndiyo ilikuwa point yangu. Inawezekana ukawa layman ktk hili.
 
Tuna change kutoka kuuza na kwenda kununua
Kama pesa ipo achaa tununuwe hakuna namna hali ni mbaya kwa sasa makali ya mgao wa umeme yanazidi kuongezeka masaa kwa masaa badala ya siku kwa siku!!
 
Back
Top Bottom