Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Tanzania Mbioni Kununua Umeme Kutoka Ethiopia

Ndio utajua Tanzania ni comedian,maana nchi imezungukwa na maziwa makuu,mito,maporomoko kila Kona ila umeme utanunuliwa toka Kushi.
Issue hapo ni upigaji,mama alichokosea ni kuwasogeza na kuwakumbatia wale wasio na huruma na maisha ya watanzania,nchi inaenda kununua umeme ethiopia wakati huo huo kuna dam kama la ethiopia linajengwq rufiji na kwa madai yao umeme utakaopatikana pale rufiji utauzwa nje ya nchi na hapa ndani bei ya umeme aitoshuka!
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Kichekesho. Nchi inayojidai itaanza kuuza umeme nje inazungumza wakati huo huo kununua umeme kutoka nje. Nchi haiwezi kabisa kuendelea ikiongozwa na wapigaji. Kuuza au kununua umeme yote inasukumwa na upigaji tu. Hakuna msukumo wa maslahi ya umma.
Nchi imewekeza sana umeme wa gesi na sasa bwawa la nyerere tunategea ndio limalize shida ya umeme. Kabla ya hapo jk aliliambia taifa gesi ndio ilikua muarobaini wa upungufu wa umeme na tatizo litakua historia. Sijui nini kilimtuma kudanganya taifa.
Kwa ufupi wapigaji ni watu waovu sana. Hawafai kuongoza nchi hata kwa tone. Tulibahatika kua na jpm hatutomsahau milele.
 
Kichekesho. Nchi inayojidai itaanza kuuza umeme nje inazungumza wakati huo huo kununua umeme kutoka nje. Nchi haiwezi kabisa kuendelea ikiongozwa na wapigaji. Kuuza au kununua umeme yote inasukumwa na upigaji tu. Hakuna msukumo wa maslahi ya umma.
Nchi imewekeza sana umeme wa gesi na sasa bwawa la nyerere tunategea ndio limalize shida ya umeme. Kabla ya man hapo jk aliliambia taifa gesi ndio ilikua muarubaini wa upungufu wa umeme na tatizo litakua historia. Sijui nini kilimtuma kudanganya taifa.
Kwa ufupi wapigaji ni watu wsovu sana. Hawsfsi kuongoza nchi hata kwa tone. Tulibaharika kua na jpm hatutomsahau milele.
Kwani kuuza umeme Nje ni sifa?
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Kuwa na gesi nyingi inabidi tujiwekee alama ya kuuliza ? kwakushindwa kufua umeme wa kutosha
 
Wakati ni ukuta, katika kipindi cha miaka 40 policy makers wote wanaweza kuwa mavumbini Allahu Aalam , watoto wetu wenye akili, dot com watashika mamlakà na hawatakuwa wajinga kama haya mazee yenye akili za kikoloni yanayoshindwa Kila kitu maana mengi kati Yao yalichapwa bakora na mzungu na kuaminishwa kuwa ni dhaifu na hayawezi kujiongoza!

Shame on wizara ya nishati Yani nchi kame yenye njaa Kila wakati ndo ituuzie umeme? Kuna wakati utafika ukiulizwa kwenu hasa ni wapi unasema Ethiopia! Tukumbuke Ethiopia wameshahau hasa ni ligi walianza kutumia treni za umeme sisi SGR imefika ngerengere miaka kumi ya ujenzi! Aibu sana kwa serikali!
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Sasa hakuna cha Bwawa la Julius Nyerere wala nini. Drama za serikali chini ya CCM zimegeuka ghafla na kuwa ni kununua (import) umeme toka Ethiopia!!

Tunaposema viongozi hawa wa kimagumashi ya kuiba kura kujishindisha ktk chaguzi zote tulionao chini ya serikali ya CCM yao akili zao zimeshazeeka na haziwezi tena kutatatua matatizo ya nchi hii waliyoyatengeneza wenyewe muwe mnaelewa..!
 
Kuna muda ukiwasikiliza hawa wanasiasa unaishia kumkabidhi Mungu maisha. Ila ukweli Magufuli alitufaa sana aisee basi tu haikuwa rizki
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Utakua unatania mkuu
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
dr namugari usipoteze kabisa muda wako Kuisoma hii Taarifa muhimu iliyoandikwa kwa hii Lugha ngumu Kwako ya Kiingereza kwanii hukijui kabisa.

Kwa hiki Kiingereza chako Kibovu na kilichokutia Aibu na Kukuchoresha ambacho nakinukuu hapa chini ni Uthibitisho tosha kuwa hujui Kiingereza......

"Otherwise these is absolutely rubbish" by dr namugari

Halafu ni kwanini tokea ile Juzi ulipoandika hiki Kiingereza chako Kibovu na cha Aibu ukijitutumua Kunijibu Mimi unabadili tu Avatar yako? Avatar yako unayohangaika Kuibadili kila mara inahusika nini na Wewe kama Kukosea / Kutokujua Kiingereza?

Mimi nina Wewe tu hadi Uombe Poo!!

Kudadadeki.....!!
 
Hiyo ndio habari kamili ambapo mazungumzo na Serikali ya Ethiopia yanaendelea.

=======

Addis Abeba – Ethiopian Electric Power (EEP) has announced plans to boost electric power export to neighboring countries and earn more revenue in the current fiscal year.

Last year, the country exported 1701 GW of electricity to three neighboring states namely Sudan, Kenya and Djibouti, and planned to increase the export amount to 2993 GW this year to earn 182 million USD, according to the EEP.

Furthermore, efforts are being made to export power to more foreign countries and talks are ongoing with Tanzania, Moges Mekonnen, Corporate Communication director of EEP told Ethiopian Press Agency (EPA). “If the agreements are completed as per the scheduled date, more electricity will be exported to Tanzania this fiscal year,” he said.

Following a deal that was signed in November last year, Ethiopia has been exporting electricity to Kenya at 6.5 US cents per kilowatt, and in the eight months to August Ethiopia’s export accounted for 70% of Kenya’s nearly 600 GW of electric power import.

An agreement that will enable export of initial 100 MW of electricity after three years has been reached between Ethiopia and South Sudan in May last year. Somaliland, Rwanda and Burundi are other countries who have shown interest to import power from Ethiopia, according to EEP.

The power company has planned to increase its overall revenue including from domestic electricity sales and various services from 22.3 billion birr last year to 30 billion birr this fiscal year. AS
Tununue umeme kwa 6.5cent hii ni sawa na tshs260. Mbona biashara ya kijinga
 
Hao CCM munawaonea tu.
Naomba siku moja CCM atoke madarakani, ili kauli yangu idhihiri.

Uhuru wa kwenye makaratasi ndio tatizo, laiti tungechukua uhuru kwanjia ya mtutu haya yote yasingekuwepo.
Ingekuwaje mkuu ndio ingekuwa kila mara tunapindua serikali?
 
kilakitu wabongo mnataka mvimbe wakati hamuwezi.achieni wanaoweza wawafanyie mazuri.

mbona kwenye mpira mnashangilia wachezaji na makocha wakigeni kuliko wazawa na kweli mpira umekuwa kiasichake kisa hawa wageni

wabongo akili mtapata lini?

mkinunua umeme mnapata muda wakuboresha wakwenu nakujifunza wenzenu mbinu wanazo tumia hadi wakawauzia.

mataahira nyie.
Kwa mtazamo kama huo usiulete kwenye ndoa za watu.
 
Kariakoo leo yote majenereta yananguruma jitu limekaa linazurura na kurembua tu
 
Kariakoo leo yote majenereta yananguruma jitu limekaa linazurura na kurembua tu
 
Back
Top Bottom