'Tanzania Military' ni nani?

'Tanzania Military' ni nani?

Pale nyumbu kwanini wasitengeneze mabus kama haya Kwa ajali ya Askari wetu baadala ya kununua?

Hizi bus za kisasa hatari kwa vyombo vya usalama, ni rahisi kuwa chipped na kutumika kwa ajili ya spying.

Tungeanza kupunguza utegemezi wa baadhi ya military facilities na hardware na baadala yake tungeanza kuwa tunatengeneza wenyewe.

Kuunda bodi na chasis sio kazi, sidhani kama nyumbu wangeshindwa, tungeagiza engine kutoka weichai au hata man etc pure mechanical, mechanical gearboxes, na differentials halafu tunaagiza nyingine as spares lakini ni kwa ajili ya kustudy (copy and paste) na kuanzia hapo watalaam wetu wanaanza kufyatua zakwetu wenyewe.

Pale liganga Kwa kuanzia tungeanza kuchimba kile chuma Kwa ajili ya malitary hardware tu, na kila kwenye copper tungefanya hivyo na wahusika ni hao hao wanajeshi, hiko chuma kingetumika kutengeneza vifaa vya kijeshi tu.
mkuu maono yako n makubwa sana, tatizo n hawa tulio waamini watuongoze..
 
Ungefanya ufuatiliaji kabla ya kuja huku.

Hiyo phrase " TANZANIA MILITARY" Iko sahihi kabisa ikimaanisha Jeshi la Tanzania ambalo kiuhalisia ni moja tu, yaani TPDF.
 
Tanzania hatuna Military na bado hatuna sifa hizo.
Hii nchi imejaa vichekesho kila sehemu.
 
Hao ni wachina wamekosea. Probably ni msaada, au malipo ya favor fulani za kiserikali.
Ila siyo kosa ambalo linaweza kuleta sintofahamu, ila lingewahiwa na ubalozi.
 
Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military".

Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania).

Je, ni kosa la kiufundi au?
Hayo mabasi si yameandikwa Tanzania Military Bus?
 
Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya Kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military".

Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania).

Je, ni kosa la kiufundi au?
Vitu vingine ni minor sana kupoteza muda kuuliza na kujibu.
 
Kama huitambui TANZANIA MILITARY, kwanini uitambue MILITARY POLICE na sio TPDF POLICE?


Military police inafahamiaka, sawa na idara mbali mbali ndani ya JWTZ ila hili ni jina linaloweza ashiria jina la jeshi letu ila si jina la jeshi letu
 
Pale nyumbu kwanini wasitengeneze mabus kama haya Kwa ajali ya Askari wetu baadala ya kununua?

Hizi bus za kisasa hatari kwa vyombo vya usalama, ni rahisi kuwa chipped na kutumika kwa ajili ya spying.

Tungeanza kupunguza utegemezi wa baadhi ya military facilities na hardware na baadala yake tungeanza kuwa tunatengeneza wenyewe.

Kuunda bodi na chasis sio kazi, sidhani kama nyumbu wangeshindwa, tungeagiza engine kutoka weichai au hata man etc pure mechanical, mechanical gearboxes, na differentials halafu tunaagiza nyingine as spares lakini ni kwa ajili ya kustudy (copy and paste) na kuanzia hapo watalaam wetu wanaanza kufyatua zakwetu wenyewe.

Pale liganga Kwa kuanzia tungeanza kuchimba kile chuma Kwa ajili ya malitary hardware tu, na kila kwenye copper tungefanya hivyo na wahusika ni hao hao wanajeshi, hiko chuma kingetumika kutengeneza vifaa vya kijeshi tu.

Hahaha kwani Waliweza kutengeneza hata toothpick waweze complicated project kama kuunda bus? Hujui nchi yako utakua mkubwa
 
Back
Top Bottom