Tanzania Mining Act of 2010 (Vain Politics)

Tanzania Mining Act of 2010 (Vain Politics)

@KIchunguu, I have earlier stated that the ownership requirement refers to gemstone mining.

Since 2010 have you heard of a single investor who came to Tanzania, invest $100m in equity and gave away half of the company equity? Hakuna hisa hata moja iliyoptolewa bure to the Government na kampuni mpya na hata TanzaniteOne wakifanya hivyo itakuwa kwa sababu wamegeuziwa kibao. Huwezi kujenga mazingira ya biashara kwa 'kuwategeshea' wawekezaji kwa kugeuza masharti kama vile unabadilisha shati, ukifanya hivyo rating ya taifa as an investment destination inashuka.

Kama serikali haikudai hisa za dezo lakini inagawana faida lets say nusu kwa nusu ama kwa percentages ambazo zinaridhisha kupitia mfumo wa kodi why would u consider mining land to be valueless wakati inaingiza mapato?

Kutodai hisa haimaanishi hata kidogo kutoipa ardhi thamani kwa sababu bado unapata mapato from tax.

Ukiwa na shamba lako na unapata malipo kutokana na mavuno haimaanishi shamba lako halina thamani eti kwa kuwa huna hisa katika kampuni inayovuna from your farm.

By defination an asset ama wealth ni kitu chenye manufaa na una legal right to it na kinakupatia manufaa kama vile mapato na sio lazima uwe unamiliki hisa. Serikali yoyote ile duniani ni 'silence mwanahisa' shareholder of any business operatimng in its jurisdiction kwa sababu ina mamlaka kamili ya kutumia sheria kuifanya kampuni ilipe kile ambacho serikali inaona is reasonable. From economic standpoint Serikali tayari ni mwanahisa wa makampuni yote nchini klwa sababu ina uwezo wa kutoa amri za kisheria wafanye lolote lile linalohusiana na mapato ama regulation.

The mining land is not valueless that is why it can attract investors and u can get revenue from investments.

Mtu binafsi ndio analahitaji kuwa shareholder wa kampuni ili awe legally eligible to mapato ya kampouni, serikali ina eligibility amabyo ni natural bila ya kumiliki hisa.

Is that clear? So why all this politics about demanding free shares? That is why I am saying that is vain politics and not economics. Umenifahamu?

Kuhusu umiliki wa share; je umesoma post yangu ya nyuma kabla ya hiyo uliyokwoti? Kuna nchi nyingi sana zinazodai 35% hadi 50% ya revenues za mining ama kwa kupitia taxation au kwa kupitia dividends. Unless sheria hiyo inataka serikali ichukue 50% ya dividends baada ya kulipwa kwa kodi, lakini kama serikali imeamua kujipatia share ya mapato yake kwa kupitia didends na kuachana na kodi kama ambavyo imekuwa haikusanyi kodi, basi sioni ubaya wake. Ngoja nitasoma tena sheria hiyo vizuri kuhusu mgawanyo huo wa mapato; issue pekee inayoweza kusimamisha antennas zangu ni iwapo serikali itakuwa inadai kodi kubwa ya mapato, halafu pia ikadai 50% ya after-tax dividends!

Kumbuka kuwa serikali kumiliki share za biashara yoyote siyo kosa mradi tu haiingilii shughuli za biashara hiyo kiutendaji.
 
Ndg Zitto,

Ninaamini utakubaliana na mimi kwamba mada hii ni mada muhimu sana kwa sababu tuna rasilimali nyingi nchini lakini wananchi wana hali ngumu sana ya maisha.

Kutokana na unyeti wa mada hii ninaomba tuwe na mdahalo on Tanzania Mining Act of 2010 ambayo ulishiriki kuupitisha na ambao unaamini una faida kwa wananchi.

Kimsingi mimi na Ndg J. Mashaka tunachokiona katika sheria hiyo ni siasa endelevu na hakuna faida ya kiuchumi, as a matter of fact tunachokiona ni sheria yenye madhara makubwa sana on the economy.

So let us find some time to have a live debate kupitia radio for about an hour na mdahalo unaweza kuwa coordinated na JF.

Me and Ndg. John Mashaka Vs Ndg Zitto and any MP(s) of your choosing who see economic value in that legislation.

Eagerly waiting for your response and confirmation. Upon your confirmation we shall go over other modalities.
Ndugu H.S,

Ingeongezwa kodi au shareholding, bado matokeo yangekuwa yaleyale. Unachoshindwa kukubali ni kuwa Umiliki binafsi siku zote utakuwa unapambana na umiliki wa umma. Kwa dunia ya sasa hivi gesi asilia na mafuta ndiyo maliasili ambazo umma unaweza kuwa na bargaining power based on scarcity. Kuna mifano ya Venezuela, Russia na Equador ambapo public imekwapua maliasili kutoka kwa watu binafsi na kufanikiwa kuongeza pato la taifa. But the key factor here is Scarcity.

Kwenye mifano ya dhahabu na other gemstones, scarcity is not really a factor na ndiyo maana umebase sana kwenye failure ya uwekezaji kutoka kwa watu binafsi. lakini sielewi kwanini hukutoa mifano ya uwekezaji kwenye nishati kama vile migodi ya Kiwira na mgodi kama wa Mchuchuma.

Mwisho kabla sijaenda nje ya mada labda nikuulize,
1. Tatizo lako ni ufanisi wa serikali hii ya CCM au serikali yeyote ile?? Maana inaonyesha tatizo ulilo nalo kwenye uwekezaji wa serikali katika madini ni efficiency pamoja na transparency ... a government can be transparent and efficient. Not all governments lack transparency and efficiency.

2. Mbona umekazia sana mfano wa Mugabe na Indigenization?? Na hukutolea mfano wa Morales na Indigenization?? Au mfano wa serikali za Putin na Equador? .. Tatizo ni mfumo uliopo duniani, when you freeze credit to a country like Zimbabwe, what do you expect?? Na unapowakataza watu kufanya biashara na nchi eti kwa sababu wameamua kuhodhi mali zao kwa pamoja kama nchi, what do you expect?? ..failure of course.... kwa hiyo tatizo siyo policies ila ni mfumo wa maisha uliopo duniani hivi sasa.

3. Unaweza kutuambia aina ya watu watakaonunua hisa DSE? Other than wealthy, corrupt leaders and bussinessmen.Unadhani hii itamsaidiaje mtanzania masikini wa kule kijijini? It's way better kwa serikali through STAMICO na NDC kuingia ubia na makampuni ya uwekezaji kwenye madini, bearing in mind that the government is constitutionally obliged to build a socialist and a self-reliant society.
 
@KIchunguu, I have earlier stated that the ownership requirement refers to gemstone mining.

Since 2010 have you heard of a single investor who came to Tanzania, invest $100m in equity and gave away half of the company equity? Hakuna hisa hata moja iliyoptolewa bure to the Government na kampuni mpya na hata TanzaniteOne wakifanya hivyo itakuwa kwa sababu wamegeuziwa kibao. Huwezi kujenga mazingira ya biashara kwa 'kuwategeshea' wawekezaji kwa kugeuza masharti kama vile unabadilisha shati, ukifanya hivyo rating ya taifa as an investment destination inashuka.

Kama serikali haikudai hisa za dezo lakini inagawana faida lets say nusu kwa nusu ama kwa percentages ambazo zinaridhisha kupitia mfumo wa kodi why would u consider mining land to be valueless wakati inaingiza mapato?

Kutodai hisa haimaanishi hata kidogo kutoipa ardhi thamani kwa sababu bado unapata mapato from tax.

Ukiwa na shamba lako na unapata malipo kutokana na mavuno haimaanishi shamba lako halina thamani eti kwa kuwa huna hisa katika kampuni inayovuna from your farm.

By defination an asset ama wealth ni kitu chenye manufaa na una legal right to it na kinakupatia manufaa kama vile mapato na sio lazima uwe unamiliki hisa. Serikali yoyote ile duniani ni 'silence mwanahisa' shareholder of any business operatimng in its jurisdiction kwa sababu ina mamlaka kamili ya kutumia sheria kuifanya kampuni ilipe kile ambacho serikali inaona is reasonable. From economic standpoint Serikali tayari ni mwanahisa wa makampuni yote nchini klwa sababu ina uwezo wa kutoa amri za kisheria wafanye lolote lile linalohusiana na mapato ama regulation.

The mining land is not valueless that is why it can attract investors and u can get revenue from investments.

Mtu binafsi ndio analahitaji kuwa shareholder wa kampuni ili awe legally eligible to mapato ya kampouni, serikali ina eligibility amabyo ni natural bila ya kumiliki hisa.

Is that clear? So why all this politics about demanding free shares? That is why I am saying that is vain politics and not economics. Umenifahamu?
Serikali imedai hisa za dezo kivipi?? TanzaniteOne iliomba kibali kwa muda fulani, huo muda ukaisha ..si waondoke waende kwao?
Kama hawataki kuondoka, basi tunegotiate new terms ... that will benefit both of us, kama hawataki, they are free to go.

Na unaposema serikali siku zote ni silent shareholder unapotosha ukweli, shareholding is more than getting a certain percentage of the benefits ... it's about incorporating the factors of production to the best way that suit you as a shareholder, the more share you have, the more decisions you make in Labor, capital, Enterpreneurship and Land. international trade agreements and their corresponding courts tend to award those powers to private ownership.
 
Kuhusu umiliki wa share; je umesoma post yangu ya nyuma kabla ya hiyo uliyokwoti? Kuna nchi nyingi sana zinazodai 35% hadi 50% ya revenues za mining ama kwa kupitia taxation au kwa kupitia dividends. Unless sheria hiyo inataka serikali ichukue 50% ya dividends baada ya kulipwa kwa kodi, lakini kama serikali imeamua kujipatia share ya mapato yake kwa kupitia didends na kuachana na kodi kama ambavyo imekuwa haikusanyi kodi, basi sioni ubaya wake. Ngoja nitasoma tena sheria hiyo vizuri kuhusu mgawanyo huo wa mapato; issue pekee inayoweza kusimamisha antennas zangu ni iwapo serikali itakuwa inadai kodi kubwa ya mapato, halafu pia ikadai 50% ya after-tax dividends!

Kumbuka kuwa serikali kumiliki share za biashara yoyote siyo kosa mradi tu haiingilii shughuli za biashara hiyo kiutendaji.
Kichuguu, tunapofanya jambo ni lazima tuwe na uwezo wa kutetea na kuelezea faida zake, hoja ya wengine wamefanya inaweza kuwa ni hoja ya ziada lakini isiwe hoja ya msingi. Sheria hii pamoja na kwamba inataka serikali ipatiwe nusu ya hisa za dezo bado inataka kampuni ilipie corporate tax on faida za muwekezaji na pia kuna withholding tax kwa muwekezaji on dividends.

Muwekezaji akipata faida ya $100, ina maana kwanza $50 ni ya serikali na anabakiwa na $50, hapo anatwangwa na kodi ya $15 (30%) na anabakiwa na $35, katika hiyo $35 akijipa dividend tena anatwangwa kodi ya $3.5 (10%) so anabakiwa na kama 31.5%, if you factor in the 4% royalty it gets even worse. On top of that kama aliwekeza $100m maana yake ni kwamba 'alishaliwa' $50m.


Muwekezaji gani mwenye akili timamu atakubali hayo? Huu ni mwaka wa tatu na hakuna hata mmoja aliyekubali habari hizo.

Sasa hii sheria ni ya kiuchumi ama sheria ya kisiasa?!!!
 
Serikali imedai hisa za dezo kivipi?? TanzaniteOne iliomba kibali kwa muda fulani, huo muda ukaisha ..si waondoke waende kwao?
Kama hawataki kuondoka, basi tunegotiate new terms ... that will benefit both of us, kama hawataki, they are free to go.

Na unaposema serikali siku zote ni silent shareholder unapotosha ukweli, shareholding is more than getting a certain percentage of the benefits ... it's about incorporating the factors of production to the best way that suit you as a shareholder, the more share you have, the more decisions you make in Labor, capital, Enterpreneurship and Land. international trade agreements and their corresponding courts tend to award those powers to private ownership.

Ndio maana nimesema hapo awali kwamba wa TZ wanapenda sana hoja za siasa at the expense of economics. The government did not negotiate the new terms, the government dictated new terms.

Mmoja kati ya wawekezaji wa TanzaniteOne ni kampuni inaitwa Blackrock, hii ni moja ya makampuni makubwa duniani na waliowekeza Blackrock sasa hivi wanafahamu kwamba their investments are vulnerable to lose half the value kwa sababu Tanzania inataka kutaifisha hisa zao. Kumbuka kwamba wawekezaji do exchange notes, pia kumbuka kwamba makampuni yanayo manage investments huwa yana rate risk na uamuzi huu unaifanya Tanzania iwe destination ya high risk. What is the cost, maana yake ni kwamba investors will find it not appropriate kuja kuwekeza katika miradi ya muda mrefu kwa kuwa serikali haitabiriki, they will be more interested in short time high return opportunities.

Ni muhimu ukaelewa global investments and how countries are rated from risk perspective kabla ya kutoa kauli za 'kama hawataki waondoke'. Hii sheria inawafurahisha wapenda siasa.

Shareholder and entrepreneur are not synonimous. Anaye incorporate factors of production ni entrepreneur sio shareholder. Please fanya utafiti. MImi nimesema serikali ni 'silent shareholder' sikusema serikali ni 'silent entrepreneur'.
 
Nilifuatlia mazingira ya kutungwa kwa sheria hii nikawa najua kuwa maana yake ilikuwa ni kuondoa makosa yaliyofanywa na serikali ya Mkapa ya kuruhusu makampuni kuchimba madini bila serikali kupata chochote kutokana na ardhi yake. Baada ya hapo sikuwahi kuisoma tena. Hata hivyo baada ya thread hii nimeipitia kwa haraka haraka, and indeed it is just doing that; inatoa priorities kwa citizens katika kuchimba madini ambayo hayahitaji teknolojia na investment kubwa kama ilivyokuwa Tanzanite.

Mheshimiwa H.S. anakosea kudai kuwa mwekezaji wa nje analazimika ku-cede 50% ya equities za investment yake; sheria hiyo kama nilivyoibandika hapa haisemi hivyo. Kama tunavyojua makampuni yote ya madini tangu yameingia nchini, yalichofanya ni kuwa-displace artisan miners waliokuwapo badala ya kutafuta na kuchimba madini kwenye maeneo mapya. Sheria hii inazuia hivyo isipokuwa kwenye zile Special Mining Licenses ambapo makampuni ya nje yanaruhusiwa. Participation ya serikali siyo 50% kama inavyoelezwa.

10.-(1) The Minister may, on behalf of the United Republic
and subject to subsection (3), enter into a development agreement,
not inconsistent with this Act, with the holder of, or an applicant for,
a mineral rights for which he is the licensing authority relating to the
grant of such a mineral right or mineral rights, the conduct of mining
operations under a special mining licence the grant of the
Government free carried interest and State participation in mining,
and the financing of any mining operations
under a special mining
licence.
(2) The level of free carried interest and State participation
in any mining operations under a special mining licence shall be
negotiated upon between the Government and a mineral rights
holder depending on the type of minerals and the level of
investment
.

..

...

(4) The agreement under subsection (1) shall be in the
standard model as prescribed in the regulations and may contain
provisions binding on the United Republic and the mineral right
holde
r relating to a special mining licence or mining operations to be
conducted under a special mining licence:

(a) which guarantee the fiscal stability of a long term
mining project,
by reference to the law in force at
the effective date of the agreement, with respect to
the range and applicable rates of royalties, taxes,
duties and levies and the manner in which liability
in respect thereof is calculated and for that purpose

and not otherwise, may contain special provisions
relating to the payment of any such fiscal impost
which shall take effect in the event of change in the
applicable law;


Nadhani hapa walalamikaji ni kwa sababu ya kutokujua sheria yenyewe.
 
Kichuguu, tunapofanya jambo ni lazima tuwe na uwezo wa kutetea na kuelezea faida zake, hoja ya wengine wamefanya inaweza kuwa ni hoja ya ziada lakini isiwe hoja ya msingi. Sheria hii pamoja na kwamba inataka serikali ipatiwe nusu ya hisa za dezo bado inataka kampuni ilipie corporate tax on faida za muwekezaji na pia kuna withholding tax kwa muwekezaji on dividends.

Muwekezaji akipata faida ya $100, ina maana kwanza $50 ni ya serikali na anabakiwa na $50, hapo anatwangwa na kodi ya $15 (30%) na anabakiwa na $35, katika hiyo $35 akijipa dividend tena anatwangwa kodi ya $3.5 (10%) so anabakiwa na kama 31.5%, if you factor in the 4% royalty it gets even worse. On top of that kama aliwekeza $100m maana yake ni kwamba 'alishaliwa' $50m.


Muwekezaji gani mwenye akili timamu atakubali hayo? Huu ni mwaka wa tatu na hakuna hata mmoja aliyekubali habari hizo.

Sasa hii sheria ni ya kiuchumi ama sheria ya kisiasa?!!!

Nimeibandika sheria hiyo; hebu nionyeshe kifungu kinachoonyesha kuwa serikali inadai 50%. Sheria inasema kuwa mining rights ni kwa watanzania isipokuwa special mining ambayo inahitaji capital kubwa. Inaruhusu watu wa nje kushiriki kwenye mining iwapo watashirikiana na watanzania kwa ratio ya at least 50% wawe watanzania. Haijalazamisha wawekezaji wagawe share bure kama unavodai.

Kwenye special mining ambapo makampuni ya nje yanaruhusiwa, bado sheria inasema kuwa kutakuwapo na makubaliano baina ya kampuni inaoomba kibali cha mining, na serikali kuhusu rights za serikali kulingana na level ya investment; makubaliano hayo yatafanyika wakati wa kuomba leseni na kuandikiana mkataba. Ingawa ninaona udhaifu wa provision hiyo, bado siyo kweli kuwa serikali inalazimisha kuchukua 50%.

hilo swali jekundu unalitoa kama vile kabla ya sheria hiyo watu walikuwa wakitoka nje kila mwaka na tukawa tufaidika sana na tangu hapo wamesimama na kutukusesha uhondo. Unasahau kuwa makampuni yote yaliyokuja kabla ya sheria hiyo yalivamia machimbo yaliyokuwa yakiendeshwa na wachimbaji wadowado; hawakuja na investment kubwa ya zaidi ya $100m kama invyotakiwa na special mining licence.
 
Ndg Kichuguu,

Mr Zitto has already affirmed what I am saying and he even clarified that the law is retrospective, please see Mr. Zitto's quote below.

'The Law is very clear that only Tanzanians can own licences to mine gemstones. Foreigners will only be allowed if 50% of the shares are held by Tanzanians. I insist 'licences issued to Tanzanians only'.

I have also quoted the statements of the Deputy Minister, amesema bila ya kuchanganya maneno kamba TanzaniteOne lazima waachie nusu ya hisa as a condition for license renewal. Kauli hii ya Waziri went viral katika several investment/finance outlets, kwa kifupi TZ imejishushia rating yake kwa kutaka kukamata hisa za wawekezaji bure.

Please read this link: TanzaniteOne rejects calls to give 50pc stake to govt firm - News - www.theeastafrican.co.ke

If you were an investment consultant and a client is telling you he does not want to invest in Tanzania because the Government cannot be trusted and that they keep making drastic changes detrimental to investor value utamjibu nini your client who is also welcomed to invest in Singapore, United Arab Emirates and Namibia ?
 
Last edited by a moderator:
Nimeibandika sheria hiyo; hebu nionyeshe kifungu kinachoonyesha kuwa serikali inadai 50%. .

Kama ulikuwa unafuatilia hali ya uwekezaji nchini hasa katika sector ya madini utakuwa umeshasoma ile statement ya Ambassador Mpungwe kwamba haiwezekani kuchukua hisa za kampuni 'by a simple announcement'.

Hata kama mwisho Serikali na TanzaniteOne watakubaliana Serikali ipate 20% ya hisa bure na nyingine 30% ziuzwe DSE. It will be a factual that the Government nationalized 20% of TanzaniteOne shares.

katika ulimwengu wa uwekezaji ni bora kusema corporate kodi ya gemstone mining imepanda from 30% to 50% kuliko kusema 20% ya hisa zimekuwa nationalized kwa sababu the former maana yake future return on investment will shrink but the later means you are losing 20% of your investment on the day the Govt grabs equity. Neno 'nationalization' is one of the worst nightmares any investor wants to hear.

Tanzania ingeweza kuongeza mapato bila ya kujichafulia jina as taifa linalokusudua kutaifisha hisa za wawekezaji. Neno hili (nationalization) lina gharama kubwa sana, watu wengi hawafahamu.
 
Ndg Kichuguu,

Mr Zitto has already affirmed what I am saying and he even clarified that the law is retrospective, please see Mr. Zitto's quote below.

'The Law is very clear that only Tanzanians can own licences to mine gemstones. Foreigners will only be allowed if 50% of the shares are held by Tanzanians. I insist 'licences issued to Tanzanians only'.



Soma sheria hiyo vizuri. Special licence inaruhusu watu wa nje na investement zaidi ya $100m mradi wawashirikishe watanzania. Hata Namibia wanafanya hivyo.


I have also quoted the statements of the Deputy Minister, amesema bila ya kuchanganya maneno kamba TanzaniteOne lazima waachie nusu ya hisa as a condition for license renewal. Kauli hii ya Waziri went viral katika several investment/finance outlets, kwa kifupi TZ imejishushia rating yake kwa kutaka kukamata hisa za wawekezaji bure.

kuachia nusu ya hisa haina maana kuwa wagawe bure, bali wanatakiwa waziuze kwa watanzania kwa vile uchimbaji wa Tanzanite siyo capital intensive, kwa hiyo Tanzaniteone hawana special mining licence.
Please read this link
http://www.theeastafrican.co.ke/new...ovt+firm/-/2558/1532564/-/qdn3qd/-/index.html

If you were an investment consultant and a client is telling you he does not want to invest in Tanzania because the Government cannot be trusted and that they keep making drastic changes detrimental to investor value utamjibu nini your client who is also welcomed to invest in Singapore, United Arab Emirates and Namibia ?
Ukiwa consultant mzuri utamfahamisha sheria inasemaje siyo kutumia lugha ya jumla jumla. Singapore hakuna mining, ule ni mji mdogo sana unaotegemea viwanda. Investement ya viwanda siyo sawa na investement ya madini. UAE wana mafuta na gas tu, hawana gemestones. na hata katika uchimabaji huo wa mafuta wanatumia kampuni yao wenyewe ya ADNOC. Sheria ya madini ya Namibia nayo ni sawa kabisa na hiyo hiyo ya Tanzania kwa baadhi ya madini kwa mfano Uranium.
 


Soma sheria hiyo vizuri. Special licence inaruhusu watu wa nje na investement zaidi ya $100m mradi wawashirikishe watanzania. Hata Namibia wanafanya hivyo.




kuachia nusu ya hisa haina maana kuwa wagawe bure, bali wanatakiwa waziuze kwa watanzania kwa vile uchimbaji wa Tanzanite siyo capital intensive, kwa hiyo Tanzaniteone hawana special mining licence.

2) The level of free carried interest and State participation
Tafsiri ya kipengele hiki ni hisa za dezo. Did you say uchimbaji wa Tanzanite sio capital intensive? Please find TanzaniteOne latest audited balance sheet and look at how much they invested on equipments. All large scale mining is capital intensive.



Ukiwa consultant mzuri utamfahamisha sheria inasemaje siyo kutumia lugha ya jumla jumla. Singapore hakuna mining, ule ni mji mdogo sana unaotegemea viwanda. Investement ya viwanda siyo sawa na investement ya madini. UAE wana mafuta na gas tu, hawana gemestones. na hata katika uchimabaji huo wa mafuta wanatumia kampuni yao wenyewe ya ADNOC. Sheria ya madini ya Namibia nayo ni sawa kabisa na hiyo hiyo ya Tanzania kwa baadhi ya madini kwa mfano Uranium.

Hoja yangu ni vipi utamshawishi awekeze Tanzania where investment yake inaweza kutaifishwa wakati nchi nyingine hawana sera za utaifishaji, both kwa maandishi and in practice?
 



kuachia nusu ya hisa haina maana kuwa wagawe bure,

Tafsiri ya kipengele hiki ni hisa za dezo. Did you say uchimbaji wa Tanzanite sio capital intensive? Please find TanzaniteOne latest audited balance sheet and look at how much they invested on equipments. All large scale mining is capital intensive and the fact that it is capital intensive is one of the biggest challenges facing citizens.
 



kuachia nusu ya hisa haina maana kuwa wagawe bure, bali wanatakiwa waziuze kwa watanzania kwa vile uchimbaji wa Tanzanite siyo capital intensive, kwa hiyo Tanzaniteone hawana special mining licence.

.

sheria inasema 'free carried interest'.

kwa kiswahili chepesi maana ya maneno haya maana yake ni hisa za dezo.

Taifa masikini halitakiwi kujenga utamaduni wa kupenda vitu vya bure.
 
Kama sheria inasema vito vitachimbwa na wazawa ama la wawe wameweka ushirika kati ya mzawa na mgeni kwa 50%.

Je mwadui pale shinyanga wale Petradiamonds toka RSA wameshea na nani mgodi ule?

Tukija kampuni ya Tanzanite one ambayo na jina wamebadili siku hizi na inajulikana kama Richland kampani ambamo ndani yake tanzanite one imekuwa kama sub company,je huo urari wa 50% umezingatiwa wapi?

Pengine tukubaliane ya kuwa kuna ubutu wa utekelezaji wa sheria hii ingawaje tunaambiwa ipo na inafanya kazi.
 
Last edited by a moderator:
sheria inasema 'free carried interest'.

kwa kiswahili chepesi maana ya maneno haya maana yake ni hisa za dezo.

Taifa masikini halitakiwi kujenga utamaduni wa kupenda vitu vya bure.

Soma tena kipengele hicho vizuri hadi mwisho wake kuhusu maana ya hiyo "free carried interest;" hii ya kutafsiri sheria haraka haraka kwa lugha rahisi rahisi ndiyo inayosababisha misunderstanding.

Narudia tena kuwa ardhi ya Tanzania siyo ya bure, kwa hiyo nchi haitafuti vitu vya bure, inatafuta haki yake utokana na ardhi yake.

Ninaelewa kuwa historia ya Tanzania kuhusu utaifishaji inatumiwa vibaya sana na watu wengine ili kuionea Tanzania katika mambo ya investments.
 
Tafsiri ya kipengele hiki ni hisa za dezo. Did you say uchimbaji wa Tanzanite sio capital intensive? Please find TanzaniteOne latest audited balance sheet and look at how much they invested on equipments. All large scale mining is capital intensive and the fact that it is capital intensive is one of the biggest challenges facing citizens.
Hiyo ni tafsiri yako tu; siyo hivyo.

Eneo la Mererani lilikuwa linachimba Tanzania miaka yote; mimi niliwahi kufika hapo kununua Tanzania miaka ya themanini kabla hata hao jamaa wa Afrika ya Kusini hawajaletwa na Sumaye. Kwa tafsri ya sheria ya madini, uchimabji huo siyo capital intensive na hivyo hahuitaji special mining Licence. Hata wakiondoka bado uchimaji wa namna hiyo utaendelea kwa vile ulikuwapo tangu zamani. Bila kujali kuwa walitumia kiasi gani katika operations zao, kimsingi hawa-qualify kupata special mining licence.

BTW: Je umepata nafasi ya kusoma sheria ya madini ya Botswana au ya Namibia? Huenda ukishasoma sheria za wenzetu unaweza kuwa more objective katika kutafasri sheria ya Tanzania. Kinachotokea hapa ni kuwa Tanzania tulianza shughuli za madini kiholela na sasa unyooshaji ndiyo unapata resistance kutoka kwa waliozoea uholela wa zamani.
 
Soma tena kipengele hicho vizuri hadi mwisho wake kuhusu maana ya hiyo "free carried interest;" hii ya kutafsiri sheria haraka haraka kwa lugha rahisi rahisi ndiyo inayosababisha misunderstanding.

Narudia tena kuwa ardhi ya Tanzania siyo ya bure, kwa hiyo nchi haitafuti vitu vya bure, inatafuta haki yake utokana na ardhi yake.

Ninaelewa kuwa historia ya Tanzania kuhusu utaifishaji inatumiwa vibaya sana na watu wengine ili kuionea Tanzania katika mambo ya investments.

Naibu Waziri alishatoa tafsiri ya serikali, as I said earlier, kauli ile ilisambaa dunia nzima. watu wanaosoma mitandao ya maswala ya fedha na uwekezaji waliona kauli ile ya Serikali na hata TanzaniteOne walishtushwa kuona serikali inataka ku taifisha hisa 'by a simple announcement.

Hakuna aliyesema ardhi ya Tanzania ni ya bure. Muwekezaji akija kuwekeza on mining na akikulipa kodi na ukidai anachimba bure hiyo ni siasa, sio uchumi wala sio biashara. Ndio maana tangu awali nilishasema sheria hii ni sheria ya kisiasa sio sheria ya kumbomboa Mtanzania kiuchumi kwa kutumia rasilimali za gemstones.
 
Hiyo ni tafsiri yako tu; siyo hivyo.

Eneo la Mererani lilikuwa linachimba Tanzania miaka yote; mimi niliwahi kufika hapo kununua Tanzania miaka ya themanini kabla hata hao jamaa wa Afrika ya Kusini hawajaletwa na Sumaye. Kwa tafsri ya sheria ya madini, uchimabji huo siyo capital intensive na hivyo hahuitaji special mining Licence. Hata wakiondoka bado uchimaji wa namna hiyo utaendelea kwa vile ulikuwapo tangu zamani. Bila kujali kuwa walitumia kiasi gani katika operations zao, kimsingi hawa-qualify kupata special mining licence.

BTW: Je umepata nafasi ya kusoma sheria ya madini ya Botswana au ya Namibia? Huenda ukishasoma sheria za wenzetu unaweza kuwa more objective katika kutafasri sheria ya Tanzania. Kinachotokea hapa ni kuwa Tanzania tulianza shughuli za madini kiholela na sasa unyooshaji ndiyo unapata resistance kutoka kwa waliozoea uholela wa zamani.

Tafadhali fanya utafiti wa mchango wa TanzaniteOne vs mchango wa wachimbaji wadogowadogo.

1)Wafayakazi zaidi ya 600 sasa wana formal employment. kabla ya hapo wafanyakazi karibu wote walikuwa vibarua.
2)Wanalipa kodi kuliko kodi iliyokuwa inalipwa na wachimbaji wadogo
3)Wame invest on international branding

Wakiondoka hayo matatu niliyotaja nayo yataondoka.

Kuna wa Tanzania waliokuwa na migodi Mererani waliohamisha biashara zao Namibia kwa kuwa wameona Namibia inalipa zaidi. Nimepitia sheria za madini za sub Sahara Africa including Tanzania plus Latin America. Tanzania inafanya makosa kwa kuweka siasa zaidi ya uchumi.

Huu si uamuzi pekee wa kisiasa badala ya uchumi kupitishwa na Bunge. Zipo sheria na maazimio mengine, nitakuja tuyajadili moja baada ya jingine na nitashukuru mchango wako na changamoto kutoka kwako.
 
Kinachotokea hapa ni kuwa Tanzania tulianza shughuli za madini kiholela na sasa unyooshaji ndiyo unapata resistance kutoka kwa waliozoea uholela wa zamani.

Sheria hii imenyoosha kitu gani?

Nitajie mafanikio matatu ya sheria hii tangu ianzishwe.

Kuna Mtanzania hata mmoja unayemjua aliyekuwa shareholder wa gemstone mining company kwa ajili ya sheria hii?
 
Back
Top Bottom