Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

basi sawa. lakini hujatuonesha kwa mifano nchi zinazofungamana na imani ya kidini zilivyofanikiwa kuliko zisizo fungamana
Mafanikio ni kuakikisha utu wa mtu unaheshimiwa hayo ndio malengo ya qur,an inayo pingwa na robo tatu nanusu ya watu diniani,hao watu wanadhani wamefanikiwa kwa kutunga sheria zao za hovio kama kuhalalisha ushoga usagaji 50kwa 50 wanaume kuoa wanyama wanawake kuolewa na wanyama hayo sio mafanikio bali ni maendeleo mafanikio ni kufuata maalisho ya muumba na kuacha makatazo yake
 
Mkiristo hamuombi mungu, bali niwanyanganyi nchi zote zilizoko chini yenu zimehalalisha ushoga na usagaji ndio maana hamtaki utawala wa qur,an mnajua ikitawala mtakatwa vichwa
 
Hiyo ni dalili ya uzembe wa akili.....
 
Wakirito wa kiafirika ndio ndio wanao ongoza bara zima ni warafi majizi hata ulete sheria gani wao ndio wakwanza kuivunja bunge lina tunga sheria kisha hao hao wanazipiga robo tatu na nusu ni wakirito kizazi cha kanisa kibaya sana
 
Hapana, siyo kweli, hakuna hilo kwenye "sharia law". Hizo ni sheria za kukataza kuabudu ni za kibinaadam, zinakiuka sharia. Sharia nasema hakuna kukirihishana katika dini.
Wakirito sio watu wakuabudu bahana bali ni wapigaji tu wamejazana serikali kupiga kila kanisa lipo kupiga tu
 
Hatutaki Ukatiri pelekahuko kwa shetani.

Wale vigogo wa china wanaopiga wenzao vitanzi ndio wanaongoza kwa Wizi na matumizi maovu ya mali za china wakihojiwa wanaua wenzao[emoji28][emoji28]
Sio kweli hapa tz hamtaki sababu nyiyi wakina miujiza mtakwesha
 
Wakirito wa kiafirika ndio ndio wanao ongoza bara zima ni warafi majizi hata ulete sheria gani wao ndio wakwanza kuivunja bunge lina tunga sheria kisha hao hao wanazipiga robo tatu na nusu ni wakirito kizazi cha kanisa kibaya sana
Duuh!! Ndo mnavyo fundishwa hivyo msikitini?
 
Hakuna tatizo kujadili kwa kina lililo jema kwa nchi yetu, kama sharia itatufaa na ndiyo itayotuondolea ufisadi na maadili mabovu kwanini tusiifate?
Wakirito wanachekeshaga sana utawasikia heti wanapinga ushoga ufisadi ukiwambia dawa ya hizo tabia chafu ni sheria ya qur,an waanza kulalama tena hawafai hawa hata bule
 
Tanzania sio nchi ya kidini mpaka iongozwe na sheria za kidini .
 
Nchi yetu ina dini na madhehebu mengi tofauti na waumini wa madhehebu tofauti tofaut? Kwa nin katiba yetu ibebwe na uislam?
Waisilamu ndio wenye uwezo wa kuweka usawa kwa sheria zake,mfano shoga kitanzi fisadi kitanzi mzinifu mawe jambazi kata mkono nk

Sheria tunazo tumia sasa ni za kanisa hazina uwezo wa kukomesha hizi tabia mbaya bora tukazifuta tukatumia za qur,an
 
Nchi yetu ina dini na madhehebu mengi tofauti na waumini wa madhehebu tofauti tofaut? Kwa nin katiba yetu ibebwe na uislam?
Sheria tunazo tumia zimetungwa kutoka kwa sheria za kanisa sasa zimeshindwa kudhibiti ufisadi na tabia nyingine chafu,bora tutumie za kiisilamu
 
Tanzania sio nchi ya kidini mpaka iongozwe na sheria za kidini .
Hivyo ndivyo ulivyodanganywa na wewe unataka kudanganya wengine.

Tazama sheria zinazoiongoza Tanzania halafu useme kama sizo zinazoitwa "common laws"?

Nasubiri.
 
Hivyo ndivyo ulivyodanganywa na wewe unataka kudanganya wengine.

Tazama sheria zinazoiongoza Tanzania halafu useme kama sizo zinazoitwa "common laws"?

Nasubiri.
Kwa kutumia sharia sipaswi kufanya mabishano na mwanamke ,so good luck [emoji106]
 
Uko sawa lakini nikuulize ni Nchi gani duniani inayoamini sharia ya Kiislam ni donor Country?
Robo tatu ya watu duniani hawataki sheria za qur,an sababu wengi wao ni watenda makosa wanadhani hita wabana
 
Kwahiyo tufuate utamaduni wa kiarabu na mungu wa kiarabu aitwaye allah????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…