Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Kwa hiyo katiba hii ya sasa ya Tanzania inayochota sheria nyingi za kanisa zilizofundishwa pia ktk vyuo vikuu vya elimu ya juu kutoa wanasheria, mahakimu, majaji, wana psycholojia n.k imefeli nchini Tanzania.

Je kufeli kwake ni kutokana sisi kuchukua imani, mafundisho na falsafa mageni yaliyokuja kwa merikebu hivyo ni bora sasa kujaribu yale yaliyofika kwa majahazi au tuamue kuenzi mila tamaduni na elimu za busara za kiAfrika ambazo tumezipuuza na kuzitupa kama siyo kuzizika kabisa ?

Wachambuzi wa sheria za kisekula wanasema katiba na sheria nyingi za nchi mbalimbali zimechota na kukopa sheria za kanisa na kuziweka ndani ya katiba zao.

Hili si jambo geni kwani kanisa kama taasisi kongwe na kubwa ililazimu kuwa na sheria, kanuni na taratibu ili liweze kujiongoza kama taasisi na pia waumini wake .

Ilipokuja mataifa kuundwa wafalme na washauri wao walibaini umuhimu wa taifa au nchi kuwa na utaratibu wa jinsi ya kujiendesha na hivyo watu makini waliokuwa washauri wa wafalme au marais waliamua na kugundua kanisa tayari kwa karne nyingi walikuwa mbele kwa kujiundia na utaratibu wa kujiendesha na kutoa hukumu n.k n.k kuhusu masuala mbalimbali ...

Pepa ya mtanziko baina ya sheria za kidini na zile za ki-secular umefanyiwa utafiti mkubwa na wanazuoni wa University of Chicago nchini Marekani

University of Chicago
https://chicagounbound.uchicago.edu › ...PDF
Conflicts between Religious and Secular Law

by RH Helmholz · Cited by 16 — The canon law claimed the right to decide all such disputes. So did the courts of the King. The common law claimed...
Sheria za kanisa zipi???
 
Mafanikio ni kuakikisha utu wa mtu unaheshimiwa hayo ndio malengo ya qur,an inayo pingwa na robo tatu nanusu ya watu diniani,hao watu wanadhani wamefanikiwa kwa kutunga sheria zao za hovio kama kuhalalisha ushoga usagaji 50kwa 50 wanaume kuoa wanyama wanawake kuolewa na wanyama hayo sio mafanikio bali ni maendeleo mafanikio ni kufuata maalisho ya muumba na kuacha makatazo yake
kuna nchi zaidi ya 37 ambazo ni islamic kiuongozi africa na asia sasa tungechukua hata chache hata 10 kama sample ili tufanye analysis na conclusion ya hoja. Kuhusu kukemea maovu kuna baadhi ya iman hawafuati quran lakini miongozo yao na iman zinakataza uovu je na wao wakisema tufuate iman yao kwa lazima kama vile amri za mungu. Ndoa ya mke 1 na mume 1. tafauti kati ya Mungu wa kwao na wako . Tofauti ya mafundisho ya iman
 
Kwa aina hiyo ya Katiba inayofuata Sharia, maana yake na nchi yetu nayo itatambulika kama ni ya Kiislam bila shaka!!

Mbona nchi za Ulaya na Marekani zina Katiba nzuri tu, na hazitumii sharia? Wewe kubali tu mchawi wetu sisi ni ccm! Huyu ndiye mharibifu wa kila kitu.
Nchi za ulaya katiba zao zina uzuli gani?kuhalalisha ushoga usagaji mbwa kumla dada kaka kumla mg,ombe sio[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Robo tatu ya watu duniani hawataki sheria za qur,an sababu wengi wao ni watenda makosa wanadhani hita wabana
Kwani makosa ni yapi mkuu????? Kumkataa mungu wa kiarabu na quran yake???? Na kukataa utamaduni wa kiarabu mkuu???
 
kuna nchi zaidi ya 37 ambazo ni islamic kiuongozi africa na asia sasa tungechukua hata chache hata 10 kama sample ili tufanye analysis na conclusion ya hoja. Kuhusu kukemea maovu kuna baadhi ya iman
Mkuu umeongea point na tuanzie na sudan kaskazini
 
Nchi za ulaya katiba zao zina uzuli gani?kuhalalisha ushoga usagaji mbwa kumla dada kaka kumla mg,ombe sio[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Vp pale Doha hakuna mashoga au pale mecca hakuna wasagaji???
 
Mbona Saudi Arabia na Iran zinawatesa Wakristo na huwa tunatoaga support za pesa tuwassuport Wakristo wenzetu.
Taarifa ninazo, hawaruhusiwi kuabudu openly pale Saudia na wanaishi kama vile sio Wasaudia.
Napinga Sharia law maana inaminya uhuru wa kidini na tunapataga taarifa sana kutoka kwa Wakristo wenzetu wa Kiarabu.
Unasema usio yajua ndugu kama ungekuwa karibu ningekuonyesha mafanikio ya wakirito walio yatoa saudia Oman kuweti sema hivio hizo nchi zinapinga ushoga ukahaba ulevi kwa nguvu zote
 
Ugaidi kwa kwenda mbele angalia Sudan wanavyomenyana kwa sababu ya sharia.
Wewe umekunywa viloba duniani nchi inayo tumia sheria za kiisilamu ni 1 nayo wakirito hawalali na wayahudi wanajipanga kuiangusha
 
Mungu sio mmoja bali ni Mungu tu, hahesabiki, kuhusu allah huyo simjui kama anahesabika au la
''BWANA MUNGU WETU NI MUNGU MMOJA, SIKIA EWE ISRAELI''
kumbukumbu ya Taurati 6:4-9
Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. 5Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. 6Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; 7nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo. 8Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.

Marko 12:29

Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli ''Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja''

QAur-an
112:1-5
1.sema Huyo Mungu ni mmoja tu, 2.Huyo Mungu Ndiye anayetegemewa na walimwengu, 3. Hakuzaa, 4.wala hakuzaliwa, 5.Na wala hakuna mfanano wake na yeyote katika viumbe wake.''
 
Mimi nataka iwe kama ya China. Unachagua upigwe kitanzi au uchapwe risasi.
Kupiga risas wamegundua ni gharama mno kwa sabab risas moja mtu mmoja lkn kitanz kimoja kinaweza nyonga hata watu buku km kitatunzwa vzr


Kwa hiyo wameachana na kupiga risas siku hiz ni kamba tu
 
Unasema usio yajua ndugu kama ungekuwa karibu ningekuonyesha mafanikio ya wakirito walio yatoa saudia Oman kuweti sema hivio hizo nchi zinapinga ushoga ukahaba ulevi kwa nguvu zote
Oman wanapinga ushoga???? Upo serious wewe...Saudia na Oman kuna wasagaji na mashoga wengi kuliko afrika mashariki.......Sema wanajificha kwenye kanzu na baibui
 
Unasema usio yajua ndugu kama ungekuwa karibu ningekuonyesha mafanikio ya wakirito walio yatoa saudia Oman kuweti sema hivio hizo nchi zinapinga ushoga ukahaba ulevi kwa nguvu zote
Wakrsto waga wananyanyaswa nchi zote za kiarabu na kiislamu na hata nyumba za ibada wanapangiwa idadi ya makanisa ya kuyajenga.
 
Hapo Iran hao wanwake wenye akili wamegoma kufunika kichwa tu sasa wananyongwa fikilia kumuuwa mtu kisa hataki kufunika kichwa

USSR
Hawataki ukahaba na usgoga,ulitaka waishi kama bongo mume inahesabu watoto 5 kumbe wako 2 tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni mtazamo wako mama yetu .. na tunapaswa kuhuheshimu ingawa maamuzi ya mwisho yatakuwa ya bunge la katiba na rais mwenyewe..

Mimi nadhani pia watu wengine wangetoa maoni yao na mtindo wa katiba wataoutaka.
Mama yako hatakuwa alikunyoyosha miezi sitta sio bule, pongezi kwa mama yako
 
Ni upumbavu wa Hali ya juu.
Kwanza teknolojia ya Iran wameikopi kwa nchi za Wakristo.
Sharia law Yao haikuwapa akili ya kuwa na teknolojia na uchumi imara.
Kama kweli wewe mkiristo mchambia mkaratasi umekopi nn kwa wakirito wenzio wa ulaya?
 
Hiyo ni ya makanisa yanayoruhusu Huo mchezo
Juzi waziri masahuni kafuta usajiri wa kanisa ilala sababu linahubili ushoga na kujipamba usagaji,hii nchi sio muda mrefu itaingia kwenye huo Mtengo sababu makanisa mengi na kazi ya wachungaji ni kusaka pesa kwa hali yoyote
 
Back
Top Bottom