Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Ni Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identityKwani mkuu we uliwahi kuamini huyo jamaa Ni jasusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identityKwani mkuu we uliwahi kuamini huyo jamaa Ni jasusi?
Ovyo kabisa...jambo hili dogo tu umeshindwa kuelewa,?kweli?Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Tofauti nyingine Kati yao ni kwamba Chahali kajificha Scotland kaikimbia TzNi Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identity
Eti radio one kila saa ni kurusha nukuu ya rais! Nimewahama kabisa sina mda wa kusikiliza utumboSerikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.
Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.
Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.
What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.
Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?
Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Jasusi aliyezulumiwa na kinana hela za kumpigia kampeni Magu 2015 mitandaoni 😁😁😁😁😁😁Ni Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identity
Who cares? akitaka ajifiche hata chooni.Tofauti nyingine Kati yao ni kwamba Chahali kajificha Scotland kaikimbia Tz
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jasusi aliyezulumiwa na kinana hela za kumpigia kampeni Magu 2015 mitandaoni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mavih tumboni.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Slow Learner
Kanichapa block kitambo 😂😂, jasusi my foot!!!We nae kule twitter unapiga block watu hovyo hovyo tu huo uhuru unaozungumzia ww mbona huanzi nao shame on you.
Kwenda kuishi nje ya nchi haimaanishi kukimbia and kujificha! And angekuwa amejificha kama usemavyo then usingejua yupo nchi ganiTofauti nyingine Kati yao ni kwamba Chahali kajificha Scotland kaikimbia Tz
Kudhulumiwa jambo la kawaida kwenye kutafuta riziki, may be Chief hujawahi kudhulumiwa maisha yako yote, HongeraJasusi aliyezulumiwa na kinana hela za kumpigia kampeni Magu 2015 mitandaoni 😁😁😁😁😁😁
Hahahaha! Ulimfanya nini hadi akakuita Mbwa?
Akiwa kwa mabeberu.Ni Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identity
Watu wengi tu wapo kwa mabeberu na bado wanatumia fake ID, utajuaje kama huyo niliyemjibu may be naye yupo kwa mabeberu?Akiwa kwa mabeberu.
WakukurupukaTatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Usharudi kitengoni mkuu!?Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Wakiwaiga wewe shida yako nini!? Na wewe kaige kwa wengine wasio wazungu.Hivi upinzani mnahoja gani mpya mnayoweza kumshinda mtu?
Hoja za kuiga kwa wazungu pasipo kuangalia mahitaji yaki ni yapi?
Ni uhuru wake kuichukia. Pia usisahau kuna watu wanaipenda.Mada zake zote ni za chuki dhidi ya Serikali ya Samia