Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Kamugisha since umefufuka umekuwa msumbufu sana, nakumbuka uliaga humu kuwa una ugonjwa huwezi kupona! Umerudi kimya kimya bila hata kutoa mrejesho uliponaje! Now umejipa kazi ya kusambaza chuki dhidi ya Samia
Mwenzio ameshtuka kawachia ujinga wenu wa kusifu na kuabudu...
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Rudi nyumbani mzee kumenoga

Ova
 
Aiseee home kwangu Hadi Binti yangu wa miaka miwili hanaga time na TBC kabisa....sikumbuki mara ya mwisho kuangalia taarifa habari kwangu ilikua lini.

Alikuja Baba Mkwe 2017 kwangu sasa Ikawa inanibidi niwepo home sàa mbili, akawa anapenda sana TBC aagh nikapata kaujasiri Fulani hivi amazing nikamwambia ukweli ....

Hadi Leo na yeye haangalii Wala kufuatilia ujinga, kukiwa na issues ananipigia Nampa taarifa sahihi.

Sasa hivi Nampa updates za Ile kesi fake ya CCM vs Freeman, anafurahi sana
Mimi hata wazo huwa halinijii kuwa kuna channel TBC. Kuna wakati kwenye redio ya gari, ninapo-tune, inaweza kuingia, nikigundua tu, narusha mbele.

TBC ni takataka.

Muda mwingi, mimi ni mtu wa safari. Corona kidogo imenibakiza Tanzania. Nyumbani, sijawahi kumzuia yeyote, lakini hata nikirudi, sijawahi kumwona mtu yeyote akiangalia TBC.
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Sasa wewe umeandika nini

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Umeelewa kilichoandikwa?
 
Hivi upinzani mnahoja gani mpya mnayoweza kumshinda mtu?
Hoja za kuiga kwa wazungu pasipo kuangalia mahitaji yaki ni yapi?
Wewe mvimba macho hutaelewa Ila wanaokupatiaga fulana wanaelewa ndio maana wanadhiti Media
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Comments Bora kabisa
 
Wafuasi wa chadema akili zao ni Sawa na hawa
images.jpg
 
Back
Top Bottom