Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Ovyo kabisa...jambo hili dogo tu umeshindwa kuelewa,?kweli?
 
Eti radio one kila saa ni kurusha nukuu ya rais! Nimewahama kabisa sina mda wa kusikiliza utumbo
 
Ni Jasusi Mbobevu, and tofauti yake na wewe ni kwamba wakati wewe umejificha kwenye ID fake, yeye anatiririka humu kwa real identity
Jasusi aliyezulumiwa na kinana hela za kumpigia kampeni Magu 2015 mitandaoni 😁😁😁😁😁😁
 
Tofauti nyingine Kati yao ni kwamba Chahali kajificha Scotland kaikimbia Tz
Kwenda kuishi nje ya nchi haimaanishi kukimbia and kujificha! And angekuwa amejificha kama usemavyo then usingejua yupo nchi gani
 
Jasusi aliyezulumiwa na kinana hela za kumpigia kampeni Magu 2015 mitandaoni 😁😁😁😁😁😁
Kudhulumiwa jambo la kawaida kwenye kutafuta riziki, may be Chief hujawahi kudhulumiwa maisha yako yote, Hongera
 
Naomba nisimjibu Chahali Kwa sababu Sina uhakika kama yeye ndiye aliyeandika hiyo post au kaandikiwa. Badala ya kumjibu napenda kumwomba atusaidie kwanini space Kenya haina nguvu kama Tanzania? Kenya Kuna Uhuru wa vyombo vya habari hasa tv na radio na hivyo hakuna mtu anatamani kuwekeza kuongelea gizani wakati akiongelea nuruni anasikika.
Msingi wa hoja yangu upo hapo, kwanini Waziri azime Uhuru wa maoni kwenye tv au asisitize sensorship then waziri huyo huyo atamani kupewa MIC kwenye space ambapo anazungumza na watu walewale isipokuwa Kwa kijificha wapiga kura wake kijijini wasimsikie? Kama wanaamini maudhui ya TV zetu yanakidhi kwanini wasiwekeze kuongelea kwenye TV?

Yupo kiumbe kasema namkosoa Mama, napenda kumjulisha kwamba huyu ni mwanamke mwenzangu na natamani kuona anafanya vyema Ili wanawake wengi zaidi wapate Nafasi ya kuibadilisha Dunia kutoka mfumo Dume. Njia moja Wapo yakumfanya afanye vizuri nikurise issues ambazo zitamfanya apate mitazamo hasi na chanya kuboresha utawala wake.
JPM alikosea sana kukubali kusikia upande mmoja wa shilingi , alikosea kuamini watu aliowateua wanamsaidia kumbe walikuwa wanajisaidia. Hawajawahi kumpenda wala kupenda afanikiwe, naamini baada ya kuondoka kwake mliwaona walivyotoka adharani kumdhalilisha Kam vile awakuwahi kufanya- KAZI naye.

Kiuongozi anayetaka kwenda mbele ni yule anayesikiliza sana wabaya wake kuliko watu wake wa karibu. Kumbuka wabaya wa Mama watasema ukweli wakati wote kutokana na kuambiwa na Wazuri wa mama.

Nchi hii vyombo vya habari serious kama star tv na itv vimekufa nakuzaliwa clouds na wasafi ambazo misingi yake ni buruduni. Taifa linaburudika alijadili
 
Wakukurupuka
 
Usharudi kitengoni mkuu!?
 
Hivi upinzani mnahoja gani mpya mnayoweza kumshinda mtu?
Hoja za kuiga kwa wazungu pasipo kuangalia mahitaji yaki ni yapi?
Wakiwaiga wewe shida yako nini!? Na wewe kaige kwa wengine wasio wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…