Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Kamugisha since umefufuka umekuwa msumbufu sana, nakumbuka uliaga humu kuwa una ugonjwa huwezi kupona! Umerudi kimya kimya bila hata kutoa mrejesho uliponaje! Now umejipa kazi ya kusambaza chuki dhidi ya Samia
Mwenzio ameshtuka kawachia ujinga wenu wa kusifu na kuabudu...
 
Rudi nyumbani mzee kumenoga

Ova
 
Mimi hata wazo huwa halinijii kuwa kuna channel TBC. Kuna wakati kwenye redio ya gari, ninapo-tune, inaweza kuingia, nikigundua tu, narusha mbele.

TBC ni takataka.

Muda mwingi, mimi ni mtu wa safari. Corona kidogo imenibakiza Tanzania. Nyumbani, sijawahi kumzuia yeyote, lakini hata nikirudi, sijawahi kumwona mtu yeyote akiangalia TBC.
 
Sasa wewe umeandika nini

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Umeelewa kilichoandikwa?
 
Hivi upinzani mnahoja gani mpya mnayoweza kumshinda mtu?
Hoja za kuiga kwa wazungu pasipo kuangalia mahitaji yaki ni yapi?
Wewe mvimba macho hutaelewa Ila wanaokupatiaga fulana wanaelewa ndio maana wanadhiti Media
 
Comments Bora kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…