Hii site ya speedtest ni ya kiwaki sana, yani kui access tu hiyo site imenichukua almost dakika mbili ku load.
Acheni gubu vijana😊Unatoa taarifa au unajigamba ili uonekane yaliyomo yamo?
Sometimes be humble hutapungukiwa na kitu.
Kwanini tgo ndio uwe vizuri kuliko mingine!!?Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
=======
Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
===
Pia soma:
- Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Hatimaye Tigo wameanza kutuma smsMimi swali langu ni:
Kwanini mitandao ya simu haijatuma sms kwa wateja wao kuwa kunashida ya kitaifa ya internet?
Matokeo yake kama mtu anamiliki line zaidi ya moja anajikuta anatumia hela kununua data kwenye lines zingine angali tatizo ni lile lile na mwisho wa siku kama ilinunua data ya muda mfupi itaisha bila yeye kuweza kutumia.
Naelewa kunanjia mbadala ya raia kujua kinachoendelea, ila mwisho wa siku mpaka huyu mtu anapata uelewa ameshatumia hela kununua kitu ambacho hatokitumia.
Je zina ujumbe gani hizo sms.Hatimaye Tigo wameanza kutuma sms
Muda huu: (Sina hakika kama huduma imerejea kwa asilimia zote), ila siyo mbaya kwa package ya 10Mbps, iwapo hii 7Mbps haitoshuka.Hii site ya speedtest ni ya kiwaki sana, yani kui access tu hiyo site imenichukua almost dakika mbili ku load.
Baada ya kumaliza ku load najaribu ku test speed eti inaniambia 34Mbps.
Yani subscription ya Airtel tu niliyolipia ni 30Mbps lakini mitambo ya hiyo site inadai hiyo speed sio ya kawaida ni zaidi ya Mbps 30.
Wakati huo nime husle kufungua hiyo site.View attachment 2989388
Nimepima kwenye fast hii ndio speed halisi View attachment 2989389
Shida ya Tanzania ni siasa.....Tuna wataalamu wa kutusaidia....lakini....Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
=======
Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
===
Pia soma:
- Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Je zina ujumbe gani hizo sms.
Sisi wenye satellite dish hii kitu wala haikua shida,asante sn watoa huduma za internet kwa njia ya satellite we didn’t bother who is downNimejikuta nanunua bando mara mbili kwa Tigo na Voda! Shenzi kabisa dah
Mi mambo bado juu chini kama miguu ya fundi cherehaniJe zina ujumbe gani hizo sms.
Muda huu: (Sina hakika kama huduma imerejea kwa asilimia zote), ila siyo mbaya kwa package ya 10Mbps, iwapo hii 7Mbps haitoshuka.
View attachment 2989640
Kuweni waanagalifu Hidaya asije kuwa yupo huko akawasomba mana sijui kama sio alotung'olea internet yetuJamani ndio tupo chini ya bahari huku tunaendelea na matengenezo tatizo ni kubwa inaweza kuchukua wiki 2 mpaka 3 hivyo tunaomba muwe wavumilivu tunapambana usiku na mchana.
Ahsante kwa ushauri tunajitahidi kuwa makini na mwendelee kuwa na uvumilivu. Huduma itarejea mapemaKuweni waanagalifu Hidaya asije kuwa yupo huko akawasomba mana sijui kama sio alotung'olea internet yetu
Siasa au wizi na kuwaza ma-deals?Shida ya Tanzania ni siasa.....Tuna wataalamu wa kutusaidia....lakini....