BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Inawezekana TRA wanatumia server za majaribio.Nimesoma quote ya mtu mmoja hapa jf, imenifurahisha sana. Ni kuhusu sakata la Diamond na TRA. Ni ukweli usiopingika mfumo wa ulipaji Kodi Tanzania bado ni changamoto. Hii efilling system ina watesa sana watu. Nashauri TRA wakae chini walitafakari hili, na kuja na mfumo rahisi na wezeshi kwa kulipa Kodi
Nawasilisha
Ni Mimi mkuu ndio nimeandika mkuu,
Tembelea nchi zote duniani mfanyabiashara huwez kuwa na Kodi mkononi halafu uhangaishwe kuilipia. Yani mfanyabiashara anazunguka TRA aone namna ya kulipa Kodi na deadline inafika anapigwa fine wakati Kodi anayo mkononi.
Hili taifa sijui linaelekea wapi. Huwezi kupata serious investors kuwekeza kwenye taifa lenye mazingira ya kiwekezaji magumu kama hivi.
Ni kweli mwekezaji serious ni ngumu kumpata
Mfumo WA eFilling ni WA hovyo mno
Utafungaje mahesabu kabla hujafanya transactions zote za mwezi wa mwishoHata kuwe na mfumo gani bila kujituma na kuwajibika vema TRA itachukiwa siku zote. Watanzania tumezoea kufanya vitu siku ya deadline na hilo ndio linawagharimu watu sana
Mtu anatakiwa alipe Kodi akiwa amelala sio kwenda kupanga foleni na ujinga wa control number
Ninavyojua deadline ya kusubmit returns ni tarehe 07 ya kila mwezi. Niambie ukweli hapa mahesabu gani ya mwezi yanafika mpaka tarehe saba ya mwezi unaofata?Utafungaje mahesabu kabla hujafanya transactions zote za mwezi wa mwisho
Kuna mtu kapigiwa anaambiwa mwisho Dec 30, je hiyo tarehe Saba ni ipiNinavyojua deadline ya kusubmit returns ni tarehe 07 ya kila mwezi. Niambie ukweli hapa mahesabu gani ya mwezi yanafika mpaka tarehe saba ya mwezi unaofata?
Hiyo ni cooperate tax hulipwa kwa awamu nne…march,June,sept&Dec au unaweza lipa yote.Kuna mtu kapigiwa anaambiwa mwisho Dec 30, je hiyo tarehe Saba ni ipi
Ni kweli kaka wa apaswa kukutumia control number ktk simu na si kwenda kupanga folen kila baada ya miez mitatuMtu anatakiwa alipe Kodi akiwa amelala sio kwenda kupanga foleni na ujinga wa control number
Deadline ya returns ni tarehe 20 ya kila mwezi, shida sio kutuma returns tu Bali baad ya returns kutuma Kodi ikitoka pesa ya kulipa Kodi hiyo unayo? Mfano watu wa kampuni wana supply, terms of payment may be 2 months or 3 months after delivery, Leo nime uza labda tarehe 6 ya mwezi na nime print receipt, uki print efd receipt Ina soma kwenye system ya TRA kuwa huyu mtu kauza na Kuna Kodi yetu hapo, mwezi unao fuata unafanya returns, baadae TRA wana control number ulipe Kodi Yao, wewe hujalipwa na kukusanya hiyo pesa utalipaje hiyo Kodi?Ninavyojua deadline ya kusubmit returns ni tarehe 07 ya kila mwezi. Niambie ukweli hapa mahesabu gani ya mwezi yanafika mpaka tarehe saba ya mwezi unaofata?
Unasema TRA tu wakati kuna mgeni hapa nyumbani kalipia Visa hadi siku 60 alizopewa zimeisha na hajapata. Wabongo kila taasisi mpaka tusumbuaneNi Mimi mkuu ndio nimeandika mkuu,
Tembelea nchi zote duniani mfanyabiashara huwez kuwa na Kodi mkononi halafu uhangaishwe kuilipia. Yani mfanyabiashara anazunguka TRA aone namna ya kulipa Kodi na deadline inafika anapigwa fine wakati Kodi anayo mkononi.
Hili taifa sijui linaelekea wapi. Huwezi kupata serious investors kuwekeza kwenye taifa lenye mazingira ya kiwekezaji magumu kama hivi.
Mfumo WA eFilling ni WA hovyo mno
We mpuuzi huna hata Genge unaongea ujinga.Ninavyojua deadline ya kusubmit returns ni tarehe 07 ya kila mwezi. Niambie ukweli hapa mahesabu gani ya mwezi yanafika mpaka tarehe saba ya mwezi unaofata?
Wewe ni mfanyabiashara. Safi Sana achana na Hilo poyoyo.Deadline ya returns ni tarehe 20 ya kila mwezi, shida sio kutuma returns tu Bali baad ya returns kutuma Kodi ikitoka pesa ya kulipa Kodi hiyo unayo? Mfano watu wa kampuni wana supply, terms of payment may be 2 months or 3 months after delivery, Leo nime uza labda tarehe 6 ya mwezi na nime print receipt, uki print efd receipt Ina soma kwenye system ya TRA kuwa huyu mtu kauza na Kuna Kodi yetu hapo, mwezi unao fuata unafanya returns, baadae TRA wana control number ulipe Kodi Yao, wewe hujalipwa na kukusanya hiyo pesa utalipaje hiyo Kodi?
Case nyingine, labda una fanya biashara na taasisi za serikali mfano janga kubwa liko Temesa, una waletea spares na una print receipt umeuza hivyo tena wana kuambia malipo ni haraka sana lakini unaenda zaidi ya miezi sita zero zero , wewe una fanya returns na control number una tumiwa na TRA hizo Kodi utazilipa vipi? Ndo maana nikasema yawape mawasiliano mazuri kati ya TRA na wafanya biashara, TRA ijue nature za biashara na isikilize wafanya biashara, biashara ni ngumu , kina chotakiwa ni uelewa wa pande mbili na kulipa Kodi pole pole kadri pesa zinavyo ingia , Niki kuambia print control number amount 2M print kiasi hicho achana na issue ya wewe tuna kudai mil50 mbona una lipa mil2? Mimi ndo najua nature ya biashara na mwishowe deni litalipwa na kuisha.
Nimecheka Sana kama mazuri [emoji23][emoji23][emoji23]Unasema TRA tu wakati kuna mgeni hapa nyumbani kalipia Visa hadi siku 60 alizopewa zimeisha na hajapata. Wabongo kila taasisi mpaka tusumbuane