Tanzania na Burundi haziko miongoni mwa nchi zitakazopewa chanjo ya corona

Tanzania na Burundi haziko miongoni mwa nchi zitakazopewa chanjo ya corona

Mfanyakazi mwenzetu kapoteza maisha kutokana na kifua kubana.

Leo wanazika. Kwa kifupi nimeogoba leo kwenda kazini.
"Nimeogopa kwenda kazini" kwa reasom kama hii..labda iwe kazi yako binafsi ila vinginevyo mimi kama bosi wako nitakulima barua hiyo hutakaa usihau kama sio kukupicha chin kabisa kazi..
 
Imagine kwa sasa hivi Tanzania na Burundi zipo katika level moja!
 
Back
Top Bottom