Tanzania na Misri wakubaliana juu ya kuendelea na mradi wa uchimbaji wa visima na mabwawa

Sawa Mtaalam Mzalendo.
 
Sawa Mtaalam Mzalendo.
Njabu Ngabu ukiona tunayaongelea humu tunafahamu hila nyingi wanazotumia WaMisri ili tu kuhakikisha kuwa nchi zilizolizunguka ziwa haziyatumii yale maji ya ziwa. Tukikuambia kuwa Misri inapelekewa ripoti on a weekly basis if not daily kuhusu kina cha maji pale Victoria utasema je? Tukikuambia wapo mawaziri wa nchi zinazolizunguka hilo ziwa waliofanyiwa figisu na ujasusi wa kisiasa mpaka wakapoteza kazi zao na kuhatarishiwa maisha kutokana na kuandaa mipango ya kutumia maji ya ziwa Victoria utakuwa tayari kuzipokea au la? Je hujawahi kumskia Misri akidai kuwa alipewa umiliki wa Mto Nile woote including vyanzo vyake na Malkia wa Uingereza? Aisee amkaa!
 
Sipo ignorant namna hiyo mkuu, labda nijiite naive. Nakumbuka Waethiopia walipoamua kujenga mradi wao wa bwawa kubwa la umeme kenye chanzo cha pili cha mto Nile miaka michache nyuma, Wamisri walileta figisu nyingi sana, ikiwemo kutishia vita/kulibomoa. Lakini Waethiopia walipuuza kila kitu.
 
Swala la bwawa ni la juzi tu, yamekuwepo malumbano ya muda mrefu kabla ya mgogoro wa hilo bwawa. Pia ni vyema ufahamu kuwa WaMisri wanalo bwawa lao walilojenga kutumia mto huo huo, lakini hawataki Ethiopia ijenge lao licha ya kuhakikishiwa kuwa wataalamu watahakiksha kuwa ujenzi huo hautawaletea madhara yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…