Tanzania na Saudi Arabia kushirikiana kudhibiti Uhalifu Mtandaoni

Wacha weeeeee wacha tuone
 
Riyadh, September 19, 2024, SPA --


Minister of Interior Prince Abdulaziz bin Saud bin Naif bin Abdulaziz received Minister of Home Affairs of the United Republic of Tanzania Eng. Hamad Yussuf Masauni at the ministry headquarters in Riyadh today.

During the meeting, the two sides discussed ways to enhance security cooperation between the two countries and addressed several issues of mutual interest.

Following the reception, Prince Abdulaziz and Masauni signed a security cooperation agreement, and a memorandum of understanding for cooperation in civil defense and protection between the governments of Saudi Arabia and Tanzania.
Source --SPA
 
Riyadh, Saudi Arabia

TANZANIA NA SAUDIA ZATIA SAINI MAKUBALIANO YA UOKOZI NA ULINZI DHIDI YA MAJANGA



Waziri wa Mambo ya Ndani Prince Abdulaziz bin Saud bin Naif bin Abdulaziz akimpokea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Eng. Hamad Yussuf Masauni katika makao makuu ya wizara mjini Riyadh leo.

Katika mkutano huo, pande hizo mbili zilijadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiusalama kati ya nchi hizo mbili na kushughulikia masuala kadhaa yenye maslahi kwa pande zote mbili.

Kufuatia mapokezi hayo, Prince Abdulaziz na Masauni walitia saini makubaliano ya ushirikiano wa kiusalama, na hati ya makubaliano ya ushirikiano katika usalama na ulinzi wa raia dhidi ya majanga na utayari wa uokozi wa raia kati ya serikali ya Saudi Arabia na Tanzania.
Chanzo --SPA
 
How ?

Ni kama watu mna njaa na hamna chakula alafu msimamizi wa mirathi anahangaika kutafuta mbinu za kuwawezesha kwenda Holiday.....; Na katika utafutaji wa mbinu anatumia kahifadhi kenu kadogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…