kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Hapo sawa Kenya ni majirani,tosha! Sisi ni wanabiashara na biashara + undugu= hasara + dharau.🙂Hehe,hivi ndo watz huwa mnafunzwa Business Education shuleni? Anyway, udungu? Sisi hiyo hapan tambua!
Hatutaki undugu na binadamu wenye roho ya korosho kama nyie.[emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]